Kiwanja kinauzwa ivumwe mbeya karibu na tazama pipeline kina urefu 33m na upana 17m. Kimepemwa na kipo katika mpango mji. Barabara ipo mbele ya kiwanja, umeme na maji vipo. Bei mil 12 ukihitaji ni pm kwa maelekezo zaidi.
Nataka na nipo mbeya kaka ila kabei kamechangamka....Nilidhani maeneo hayo viwanja vilivyopimwa havizidi 5mil???!!!
Ingekuwa hiyo bei niliyotaja NINGEKUNJUKA
Nataka na nipo mbeya kaka ila kabei kamechangamka....Nilidhani maeneo hayo viwanja vilivyopimwa havizidi 5mil???!!!
Ingekuwa hiyo bei niliyotaja NINGEKUNJUKA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.