Unasafirisha nje ya Iringa?Iringa
yakivunjika itakuaje??Ndio nasafirisha vizuri tu
Pm kufanya nini,?Soko la mayai ya kienyeji linahitajika haraka. Bei ya jumla kuanzia Tray 10 Chini ya hapo utauziwa leja leja. Mzigo unapitaka mara moja kwa week kama upo serious njoo pm tuongee. Mzigo wa kutosha.
vip, inahitaji kiasi gani nikuletee me nipo kasulu, nahisi hapo ni karibu kwa usafirishaji,yakivunjika itakuaje??
Malipo nitafanya yakifika kigoma
Mi nipo kigoma
Bei mkuu ngumu mwingine anataka umsafilishie hadi alipo hapo yeye anachukia mayai mazima bei inatofauttiana ila kama unasafirisha mwenyewe jumla 13500 tray!Pm kufanya nini,?
Hiyo ni biashara weka hapa Bei, utaratibu wa kufikia mteja.
Wapo watakaotaka kutotolesha mayai unakusanya kwa muda gani
Ndugu hiyo bei ni hatari Dar hapa manunuzi ni 12000 kwa tray mojaBei mkuu ngumu mwingine anataka umsafilishie hadi alipo hapo yeye anachukia mayai mazima bei inatofauttiana ila kama unasafirisha mwenyewe jumla 13500 tray!
Ya kienyeji au chotara?Ndugu hiyo bei ni hatari Dar hapa manunuzi ni 12000 kwa tray moja
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app