Ki uhandisi zaidi iko namna hii,
KVA = Kilo Voltage Ampere
KW = Kilo Watt
Watt= Voltage (V) * Ampere (A) i.e W= VA
Kwa ufupi KVA ni sawa na KW ni namna ya rating tu ila kitu kile kile.
Kama matumizi yako ni 2.5 KW ni vizuri ukanunua generator yenye ukubwa zaidi ya 2.5 KVA kwa sababu ya...
Nakushauri usijisumbue kununua gari kwenye Show Room za Bongo (DSM).
Nilishauriwa kama ninavyokushauri ila sikusikia,kilichonipata sitokuja kusahau.
Miaka kadhaa iliyopita nilinunua gari kwenye show room ya "MAZRUI" pale nyuma ya Break Point - Kijitonyama,nilifanya malipo yote kama...
Katika pita pita zangu kwenye mtandao nikakutana na forum hii http://www.stockskenya.com/newsite/stkForumTopic.aspx?stk=0&top=14228 ambapo wenzetu wa Kenya wanafukuzia kununua hisa za CRDB but kilichoniumiza ni jinsi wanavyoilinganisha CDRB na Ukulima Saccos ya Kenya. Je kuna haja ya kuwa na...
Inasemekana kuwa wengi wa hao makungwi wa hizo sherehe,hawako kwenye ndoa,hawajawahi kuolewa au wameachika,sasa najiuliza kama wao ni walimu wazuri kwa nini walishindwa kwenye ndoa zao?
Mkuu barabara inaweza kuwa ni tatizo,lakini tatizo kubwa ni uzembe wa watumiaji wa barabara na ubovu wa magari ni tatizo kubwa sana,hii ya Arusha inasemekana breki za lori zilifeli,ya Tashrif tulisikia basi lilitoka Dar likiwa bovu,tusipobadilika tutakwisha kwa hizi ajali.
Dah hizi ajali zitatumaliza jamani,mwezi mmoja tu na haujaisha bado, watu zaidi ya sabini wamepoteza maisha kutokana na ajali hizi.
Mungu azilaze roho za marehemu mahali pema peponi
Huu mjadala unanichanga sana,najiweka kwenye nafasi ya Mpalestina,na pia najiweka kwenye nafasi ya Muisraeli!!Mimi sio padre na wala sio shehe ila najiuliza karne zote zilizopita kutokana na historia toka kwenye maandiko matakatifu yanavyosema ni nani amemkuta mwenzake kwenye ardhi ile?
Hivi...
Mliopita pale miaka ya tisini mwishoni mnamkumbuka mama Karen Scheiffer Mtaalam wa Maths?
Miss.Emma White Physics
Mr.Luku Inorganic Chem huyu alikuwa mdau wa arsenal.
Hivi kina Mwl.Msabila,Mutawajibu,Msuka na wengineo wako wapi.
R.I.P Wibonele
Masatu asante sana kwa update zako,hii ya kwako ndio inaitwa laivu bila zengwe!Maana nipo Sudan kusini maeneo ya JUBA jamaa walikuwa wanachonga kweli sasa wametulia tuliiiiii,kidume napeta ndani ya jezi yangu ya Tanzania. Wadau mnaonaje tukiwa na jina mahsusi kwa timu yetu kama wenzetu wana...
Anaitwa Isack Kasanga,ni mlezi wa umoja wa vijana wa CCM(sikumbukitawi/wilaya ya Kinondoni),aliichangia CCM Tshirt,Kofia kipindi cha uchaguzi mkuu na ilirushwa kwenye luninga.Watanzania tufungue macho,kuna ufisadi mwingi zaidi ya ule wa EPA unaendelea Tanzania,kanuni ni mwenye nacho anaongezewa...
Hivi karibuni nikiwa nipo Tanzania kwa mapumziko mafupi,niliamua kuuza gari langu kuukuu nililoliagiza kutoka Japan miaka kadhaa iliyopita.Kwa kuwa muda wa mapumziko yangu ulikuwa mfupi sana nikaona nitafute gari mbadala kutoka kwenye "showroom" za hapo Dsm. Nikaamua kununua gari kwa "MAZRUI...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.