Utapeli na wizi wa 'showroom' za magari DSM

Jaramba

Member
Oct 27, 2008
20
7
Hivi karibuni nikiwa nipo Tanzania kwa mapumziko mafupi,niliamua kuuza gari langu kuukuu nililoliagiza kutoka Japan miaka kadhaa iliyopita.Kwa kuwa muda wa mapumziko yangu ulikuwa mfupi sana nikaona nitafute gari mbadala kutoka kwenye "showroom" za hapo Dsm. Nikaamua kununua gari kwa "MAZRUI COMISSIONING AGENT" maeneo ya Kijitonyama.Jamaa ni WEZI,MATAPELI na WANAFIKI ingawa wanajidai ni wachamungu sana. Makubaliano yalikuwa wao wangeshughulikia mambo yote ya usajili TRA na ndani ya siku nne kila wangekuwa wameshamaliza kila kitu. Sikuamini imechukua zaidi ya mwezi gari kusajiliwa!! Hakuna sababu ya msingi wanayotoa zaidi ya porojo na uongo,cha kusikitisha ni pale usajili ulipokamilika,wakakabidhi faili lenye nyaraka zote zinazohusiana na hilo gari,kijana wangu alipokuwa anakagua nyaraka akashangaa kukuta tofauti ya mailage (kms),wakati gari inaonyesha imetembea kms.52,000,nyaraka za ukaguzi huko Japan zinaonyesha gari hiyohiyo ilikaguliwa April 2008 likiwa limetembea kms 131,000.Ina maana kuna usanii wa kuchezea mailage ili mteja uamini umenunua gari lililokwenda kms chache kumbe hali halisi ni tofauti!Nikiwa nawasiliana na mwanasheria ili niwafungulie kesi,nimeona si vibaya nikiwatahadharisha wananchi wenzangu na huu utapeli/wizi wa kimachomacho.Naomba tusambaze ujumbe huu kwa watu wengi ili wote tuwe makini.MAZRUI NI WEZI!!!
 
Hivi karibuni nikiwa nipo Tanzania kwa mapumziko mafupi,niliamua kuuza gari langu kuukuu nililoliagiza kutoka Japan miaka kadhaa iliyopita.Kwa kuwa muda wa mapumziko yangu ulikuwa mfupi sana nikaona nitafute gari mbadala kutoka kwenye "showroom" za hapo Dsm. Nikaamua kununua gari kwa "MAZRUI COMISSIONING AGENT" maeneo ya Kijitonyama.Jamaa ni WEZI,MATAPELI na WANAFIKI ingawa wanajidai ni wachamungu sana. Makubaliano yalikuwa wao wangeshughulikia mambo yote ya usajili TRA na ndani ya siku nne kila wangekuwa wameshamaliza kila kitu. Sikuamini imechukua zaidi ya mwezi gari kusajiliwa!! Hakuna sababu ya msingi wanayotoa zaidi ya porojo na uongo,cha kusikitisha ni pale usajili ulipokamilika,wakakabidhi faili lenye nyaraka zote zinazohusiana na hilo gari,kijana wangu alipokuwa anakagua nyaraka akashangaa kukuta tofauti ya mailage (kms),wakati gari inaonyesha imetembea kms.52,000,nyaraka za ukaguzi huko Japan zinaonyesha gari hiyohiyo ilikaguliwa April 2008 likiwa limetembea kms 131,000.Ina maana kuna usanii wa kuchezea mailage ili mteja uamini umenunua gari lililokwenda kms chache kumbe hali halisi ni tofauti!Nikiwa nawasiliana na mwanasheria ili niwafungulie kesi,nimeona si vibaya nikiwatahadharisha wananchi wenzangu na huu utapeli/wizi wa kimachomacho.Naomba tusambaze ujumbe huu kwa watu wengi ili wote tuwe makini.MAZRUI NI WEZI!!!

Mkuu Nashukuru kwa huu ujumbe.

Katika hali ya kawaida usajili wa gari unachukua siku mbili ama tatu kama kila kitu kipo sahihi. Kuchukua mwezi mzima lazima kuna mambo yalikua yanafanywa either hawakulipa kodi kabisa, ama hiyo gari ya wizi so umepewa kanyaboya kwa maana record za gari uliyopewa ni tofauti na gari halisi/???? ama ni wahuni tu.

Kuna kitengo TRA cha kuomba status ya gari unaenda na copy ya Road license yako( sticker unayopewa kwa ajili ya kubandika kwenye kioo) watakuambia kama imelipiwa ushuru, kama kuna tatizo lolote ambalo wao walishaambiwa watakujulisha na hapo unaweza kuwachukulia hatua zaidi hao wandugu. Ni hayo tu
 
Duh! Hiyo ndo Bongo Darisalaaam...umecheki na engine yake? Inabidi ukague vizuri ... hayo ndo mamboz ya kina Dudez.

Kazi kweli kweli next time agiza gari mwenyewe kutoka Japan.
 
Ebwana hizi showroom tumezishtukia siku nyingi,wanapata pesa wasiyoitolea jasho ndiyo maana kila siku unawasikia wakidhamini bendi ili japo waimbwe.
Kwa ushauri,Kuagiza gari japan ni rahisi sana tuache kununua kwa wahuni hawa.Japo inachukua muda kidogo kupata gari lako lakini unapata angalau kitu cha uhakika.
 
Hivi karibuni nikiwa nipo Tanzania kwa mapumziko mafupi,niliamua kuuza gari langu kuukuu nililoliagiza kutoka Japan miaka kadhaa iliyopita.Kwa kuwa muda wa mapumziko yangu ulikuwa mfupi sana nikaona nitafute gari mbadala kutoka kwenye "showroom" za hapo Dsm. Nikaamua kununua gari kwa "MAZRUI COMISSIONING AGENT" maeneo ya Kijitonyama.Jamaa ni WEZI,MATAPELI na WANAFIKI ingawa wanajidai ni wachamungu sana. Makubaliano yalikuwa wao wangeshughulikia mambo yote ya usajili TRA na ndani ya siku nne kila wangekuwa wameshamaliza kila kitu. Sikuamini imechukua zaidi ya mwezi gari kusajiliwa!! Hakuna sababu ya msingi wanayotoa zaidi ya porojo na uongo,cha kusikitisha ni pale usajili ulipokamilika,wakakabidhi faili lenye nyaraka zote zinazohusiana na hilo gari,kijana wangu alipokuwa anakagua nyaraka akashangaa kukuta tofauti ya mailage (kms),wakati gari inaonyesha imetembea kms.52,000,nyaraka za ukaguzi huko Japan zinaonyesha gari hiyohiyo ilikaguliwa April 2008 likiwa limetembea kms 131,000.Ina maana kuna usanii wa kuchezea mailage ili mteja uamini umenunua gari lililokwenda kms chache kumbe hali halisi ni tofauti!Nikiwa nawasiliana na mwanasheria ili niwafungulie kesi,nimeona si vibaya nikiwatahadharisha wananchi wenzangu na huu utapeli/wizi wa kimachomacho.Naomba tusambaze ujumbe huu kwa watu wengi ili wote tuwe makini.MAZRUI NI WEZI!!!

Exactly Bongo Darisalama! Kila kitu ni ujanja ujanja na wizi.

Nadhani usihangaike kuwapeleka mahakamani. Mwone mwanasheria wako muwachimbe mkwara wakupe pesa yako na fidia ya usumbu uagize gari JP. Ukiwapeleka mahakamani watalipa hiyo hela waliyokuibia na issue yako itapata suluhu 2015 wakati tunachacharika na uchaguzi!!!

Ingawa JP nao wana usanii kidogo ila unapata kitu cha maana! Hizi gari za Bongo na zile zinazotoka Dubai ni kanyaboya (vimeo tupu!!). Jambo la kusikitisha ni kuwa WaTz tunajichimbia kaburi kwa kupoteza imani ya wateja! Watu wataendelea kuabudu na kununua bidhaa za nje (hasa uropa) kuliko za kwetu, hata kwa vitu vidogo kama nyembe na pini!!
 
Hivi karibuni nikiwa nipo Tanzania kwa mapumziko mafupi,niliamua kuuza gari langu kuukuu nililoliagiza kutoka Japan miaka kadhaa iliyopita.Kwa kuwa muda wa mapumziko yangu ulikuwa mfupi sana nikaona nitafute gari mbadala kutoka kwenye "showroom" za hapo Dsm. Nikaamua kununua gari kwa "MAZRUI COMISSIONING AGENT" maeneo ya Kijitonyama.Jamaa ni WEZI,MATAPELI na WANAFIKI ingawa wanajidai ni wachamungu sana. Makubaliano yalikuwa wao wangeshughulikia mambo yote ya usajili TRA na ndani ya siku nne kila wangekuwa wameshamaliza kila kitu. Sikuamini imechukua zaidi ya mwezi gari kusajiliwa!! Hakuna sababu ya msingi wanayotoa zaidi ya porojo na uongo,cha kusikitisha ni pale usajili ulipokamilika,wakakabidhi faili lenye nyaraka zote zinazohusiana na hilo gari,kijana wangu alipokuwa anakagua nyaraka akashangaa kukuta tofauti ya mailage (kms),wakati gari inaonyesha imetembea kms.52,000,nyaraka za ukaguzi huko Japan zinaonyesha gari hiyohiyo ilikaguliwa April 2008 likiwa limetembea kms 131,000.Ina maana kuna usanii wa kuchezea mailage ili mteja uamini umenunua gari lililokwenda kms chache kumbe hali halisi ni tofauti!Nikiwa nawasiliana na mwanasheria ili niwafungulie kesi,nimeona si vibaya nikiwatahadharisha wananchi wenzangu na huu utapeli/wizi wa kimachomacho.Naomba tusambaze ujumbe huu kwa watu wengi ili wote tuwe makini.MAZRUI NI WEZI!!!

Nakupa pole kwa hilo, na mara nyingine uwe makini sana na hawa jamaa wa ma-showroom, binafsi nam-recommend jamaa mmoja wa Kariakoo anaitwa Abdul, mara nyingi hujitangaza katika Advertising Dar. Huyu anakuagizia gari kutoka Japan na anakupa data zote kabla hajaileta na gharama zake ni nafuu kweli. Utampata katika 0754-484384. Mwambie Dar. ndie aliempigia debe.
 
Nakupa pole kwa hilo, na mara nyingine uwe makini sana na hawa jamaa wa ma-showroom, binafsi nam-recommend jamaa mmoja wa Kariakoo anaitwa Abdul, mara nyingi hujitangaza katika Advertising Dar. Huyu anakuagizia gari kutoka Japan na anakupa data zote kabla hajaileta na gharama zake ni nafuu kweli. Utampata katika 0754-484384. Mwambie Dar. ndie aliempigia debe.

JF Tangazo la biashara, if the worse get into worst wafanyabiashara wengi wa Dar ni matapeli, kuna jamaa yangu alimlalamika pia kuhusu huyu Abdul.
 
can u imagine ni watu wangapi wameshapiga hiyo namba ? mpaka sasa hivi na pengine kuingia mkataba kabisa na amemhusisha na advertising dar - pale advertising dar wameshaandika kabisa sheria zao kuhusu biashara hizi
 
can u imagine ni watu wangapi wameshapiga hiyo namba ? mpaka sasa hivi na pengine kuingia mkataba kabisa na amemhusisha na advertising dar - pale advertising dar wameshaandika kabisa sheria zao kuhusu biashara hizi

Kwa maneno mengine unataka kutoa ujumbe gani?
 
JF Tangazo la biashara, if the worse get into worst wafanyabiashara wengi wa Dar ni matapeli, kuna jamaa yangu alimlalamika pia kuhusu huyu Abdul.

duh si mchezo naye ni dudez balaa juu ya balaa.
Bora uwaone AUTOREC nao vp?wanaofisi zao samora pale.
 
hiyo ndo bongo darisalaaaam.....akili kumkichwa ukilemaaa umeachwa feri
aliyeuziwa cheni katoa hela bandia,na aliyetoa hela kapewa cheni bandia!!
hapo sasa
 
duh si mchezo naye ni dudez balaa juu ya balaa.
Bora uwaone AUTOREC nao vp?wanaofisi zao samora pale.

Fidel80

Dudez Mstaraabu, unajua sisi wa bongo wakati mwingine tunapenda slope sana ( Y increase over X increase) Abdul anachokifanya nikuagiza kupitia website, kitu ambacho mtu yeyote anaweza kukifanya. Anaweka faida yake anakukabidhi goma lako, Abdul Aliisha mdhulumu mdada mmoja Kastarlet kake hadi leo wansumbuana, bora uagize kwenye kampuni kubwa kama Autorec ama V.WEST co. Kuweni makini na kampuni za kwenye mifuko ya Rambo.
 
Booooongo Eeeeeh Bongo Darisalaaaama utalialial ndani ya Darisalama x3 nakumbuka wimbo wa Lady Jay D
 
Kama unataka kununua gari Usipate shida ya kwenda kote huko. Nchini Uganda kuna Yard nyingi sana zinazouza magari yaliyotumika kama Dubai tena kwa gharama kama ya Dubai au tofauti kidogo tu.
Kwa wajanja waliokwisha jua huwa hawaendi tena mbali huko bali wanakwenda Uganda na unachagua gari yako na kuja kuilipia tax na duty kisha unakuja unaendesha nyumbani.
Epukana na matapeli wa Dar hao.
 
Gharama zote za kununua gari hapa Dar zinaweza zikakupeleka Japani na kurudi na karandinga.Na wako jamaa wa Kipemba kule wanazungumza hata kijapani wa takupeleka kwenye minada na vichochoro vinavyouza magari utajichagulia kwa nafasi yako.
 
Au agizieni kupitia

Bokassacomissioningagent

Hawa jamaa wazuri sana, Ofisi zao ziko mtaa wa luthuli pale daresalama!!!!!!
 
Kama unataka kununua gari Usipate shida ya kwenda kote huko. Nchini Uganda kuna Yard nyingi sana zinazouza magari yaliyotumika kama Dubai tena kwa gharama kama ya Dubai au tofauti kidogo tu.
Kwa wajanja waliokwisha jua huwa hawaendi tena mbali huko bali wanakwenda Uganda na unachagua gari yako na kuja kuilipia tax na duty kisha unakuja unaendesha nyumbani.
Epukana na matapeli wa Dar hao.

Mzee mwenzangu hapa sikubaliani na wewe.

Kwako pakiharibika ni wajibu wako kupatengeneza na sio kuhamia kwa jirani.
 
Nakupa pole kwa hilo, na mara nyingine uwe makini sana na hawa jamaa wa ma-showroom, binafsi nam-recommend jamaa mmoja wa Kariakoo anaitwa Abdul, mara nyingi hujitangaza katika Advertising Dar. Huyu anakuagizia gari kutoka Japan na anakupa data zote kabla hajaileta na gharama zake ni nafuu kweli. Utampata katika 0754-484384. Mwambie Dar. ndie aliempigia debe.



Hakuna haja ya kumtumia mtu kuagiza gari Japan, kuna makampuni yayoeleweka Dar ambayo unayapa katika mtandao na kumalizana nayo. Kampuni nyingi za kijapan zina wawakilishi Dar, we waone hao hao unaagiza mwenyewe kwenye mtandao bila commission wala mission town. Usimuamini mbongo yoyote kukuagizia gari, Utamaduni wetu umebadilika sana kila kitu mtu anaona deal.

Mimi niliagiza gari Japan mwenyewe kupitia kwenye mtandao wa AUTOREC tena nikiwa nje ya Tanzania na gari lilifika likiwa salama na nililipeleka jamaa wakalicheki lipo safi na mpaka leo lipo quality.

Nilitumia wiki kulitoa bandarini na siku tatu registration. Tusipende mkato ndugu zangu. Show room nyingi Bongo ni kanyaboya, watu wanaendesha magari yao bongo yakipata mzinga wanayatengeza na kurudisha showroom.

Yaani mimi mentali yangu ni kwamba mbongo don't trust hata kidogo tumekuwa kunguru kinoma kila mtu anataka kuwa tajiri kwa shortcut. Mpaka tutakapokuja kujua kuwa Biashara ni uhusiano, kwamba ukiniuzia kizuri leo na kesho nitakuja tena au kumleta mtu ndiyo tutakapokuwa na sustainable businesses.

Vinginevyo hizi showroom zote zitakufa kifo cha kawaida kwa kuji-demarket na ujanja wao wa kupata leo hawaangalii future.
 
Back
Top Bottom