Jaramba
Member
- Oct 27, 2008
- 20
- 7
Katika pita pita zangu kwenye mtandao nikakutana na forum hii http://www.stockskenya.com/newsite/stkForumTopic.aspx?stk=0&top=14228 ambapo wenzetu wa Kenya wanafukuzia kununua hisa za CRDB but kilichoniumiza ni jinsi wanavyoilinganisha CDRB na Ukulima Saccos ya Kenya. Je kuna haja ya kuwa na Jumuia ya Afrika Mashariki?