Mpaka muda hii Kitayose hawajatokea uwanjani kupasha misuli. Bado dkk 18 mpira uanze.
---
Kitayosce FC ilianza mechi dhidi ya Azam ikiwa na wachezaji nane [8], Bodi ya Ligi tulipokea uthibitisho kutoka TFF kuwa wachezaji nane [8] tu wa Kitayosce ndio wanastahili kucheza mechi ya Ligi.
Kikanuni...
Wakuu nina simu imekufa kioo. Nataka nipate baadhi ya data zilizomo kwene cm tatizo nikiweka kwene computer inanambia folder empty ili hali picha zipo na data zingine zipo naomba msaada wakuu.
Wakuu tafadhali kisimbuz changu cha Azam kinaniandikia No program nimekitumia takribani mwaka, jana kuna dogo kaminyaminya rimoti sijui hata kafanyeje leo nawasha nakuta no program. Msaada tafadhari.
Ukifuatilia kwa umakini ukurupukaji uliofanywa na mkuu wa mkoa ni dhahiri kuna kituo fulani cha tv kilimshauri afanye hivo au amekua mfatiliaji mzuri wa media hiyo. Yale yote aliyoyatenda yamekuwa yakijadiliwa mara kadhaa na kituo hicho,,
Hata season ya jana ukiangalia wale wahusika(watoto)...
Kutokana na vitendo wanavyotufanyia ta.n.esco tuwape ushauri wabadilishe utaratibu wa uendeshaji lisiwe shirika la uzalishaji tena bali iwe mamlaka ya kukata na kurudisha italeta tija kwa taifa maana wao ndio wenye mamlaka ya kuamua ni muda gani tunahitaji nishati...
kuna hii TV aina ya byDesigne {mtumba} from hongkong, haikubali picha toka cable wire hailet hata search option but nikitumia dish inakubali. naombeni ufumbuz wa hii kitu
inasemekana kuna mdada alikuwa akitokea mwenge na mijihela akiwa kwene daladala kashuka morroco wazee wa gun wamepiga ya hewani na kuepa na mzigo dada yuko salama.
nimesikia hawa jamaa watatoa hii huduma kwa wateja wao, mwenye experience na hii huduma hebu afunguke kidogo jinsi itakavo operate hapa nchini maana wateja wabongo uaminifu ni F, supplier wenyewe magumashi na bank zenyewe majanga.
nimepigiwa cm na hawa jamaa kuna interview wataiendesha ni kama graduate trainee hivi, msaada yeyote anaejua kuhusiana na hiyo kitu na maswali wanayouliza, in short mtu yeyote aliyewahi kulink na hawa radal wakoje?
naomba nisaidieni mwenye kuweza niunganisha au naweza fanyaje nipate intership kwene bank yeyote hapa nchini coz ajira ni ngumu sana. may be this can lead me into employment
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.