Rais wa Senegal Abdulaye Wade amekubali matokeo katika mzunguko wa pili wa uchaguzi wa urais. Wade ambaye ana miaka zaidi ya 80 alibadili katiba ili aweze kugombea mara ya tatu.
Mwanakijiji ameanzisha mada ya kukumbushia nyimbo bora zenye majina ya kike. Ndani ya mada hii nimeweza kupata mashairi ya nyimbo nyingi za zamani zilikuwa zinavuma miaka ya 70, 80 na mwanzoni wa miaka ya 90.
Ili kuleta uwiano katika mada ya Mwanakijiji, nimeanzisha mada hii yenye kuangalia...
Ubalozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini unapenda kuwatangazia watanzania wanaoishi katika jimbo la Gauteng kuwa kutakuwa na mkutano wa watanzania wanaoishi katika jimbo hilo utakaofanyika tarehe 24 oktoba, 2009 saa nane na nusu mchana hadi saa kumi na moja jioni katika ukumbi wa Pretoria...
I saw this on drfaustine.blogspot.com and thought I should share it with you.
This is an article was read by a Caucasian, one Dee Lee on a New York radio station.
THEY ARE STILL OUR SLAVES We can continue to reap profits from the Blacks without the effort of physical slavery Look at the...
Maoni: Watalamu washeria tusaidieni kama adhabu ni stahili kwa kukosa lililotendwa au ndio ya mnyonge na maskini?
MFUNGWA Yahaya Shariff aliyekuwa akitumikia kifungo cha miaka 15 jela kwa kosa la unyanganyi wa kutumia silaha juzi, aliongezewa adhabu hiyo na kufikia miaka 30 jela baada ya...
Zambian President Levy Mwanawasa is being treated for a mild stroke in the Egyptian resort of Sharm el-Sheikh, Zambia's vice-president has said.
Mr Mwanawasa's condition was described as stable.
The president, 59, was rushed to hospital on Sunday with sharp chest pains ahead of an African...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.