Recent content by properties

  1. P

    Simba sports club KIDUME

    [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87]
  2. P

    Walimu kazi mnayo, wanafunzi wanajiandaa kwelikweli!

    Hakuna haja ya kujipanga maana nao walipitia haya mafunzo.....
  3. P

    Ushauri: Jinsi ya kufuta meseji ya WhatsApp uliyokosea kutuma

    Just block her number ....akija kuwa online akapotea tena online mu unblock haitafika.
  4. P

    Kaniacha bila sababu, moyo unaniuma

    Huyo ni kama wangu.....mimi nilichokifanya nikimpotezea.....saiv anasumbuka tu....kupiga afu mim namjibu kama dada sina habari.....wew fanya akil yako isiwe mtumwa....wa mapenzi.
  5. P

    Unampenda lakini hakupendi

    Kipi ni bora ...umwambie nenda zako au uuchune?
  6. P

    Maana ya msemo wa "kinyume na maumbile

    Akil yako inashida....mfano watu wasiokuwa na mikono wanakula kwa kutumia miguu wanakula kinyume na maumbile? Ngono pekee inafanya viitwe vimetumika kinyume na maumbile.
  7. P

    Anaomba nizame chumvini, inaniwia vigumu

    Mim nawakomeshaga nazamishaga koni huko uvinza then namwambie shika mike endelea na kuchana singeli....akichana nazama tena uvinza napiga push up tatu nne namwambie tena endelea kurapu....ili ngoma iwe draw.....
  8. P

    Baada Ya Kumfunua Sasa..!

    Maisha ya kwao yanakuhusu nin....wew oa mke tengeneza family bora yako sio kusubr walizotwngeneza wenzako.
  9. P

    Zimebaki Wiki Mbili (2) tu; Hebu Tujikumbushe Ya 06.05.2012.

    Wakiiona hii thread watani zako watakufungulia mashitaka ya shambulio la aibu.
  10. P

    Zimebaki Wiki Mbili (2) tu; Hebu Tujikumbushe Ya 06.05.2012.

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  11. P

    Kwanini Wasukuma wanachukuliwa kama kabila la kipekee Tanzania?

    Tabia inaathiriwa na mazingira pia na nature ya mtu.....bloodly wasukuma wako na sifa hizo ulzosema haijalishi umekulia wap .
  12. P

    Gharama za ujenzi wa nyumba vyumba vitatu(3)

    Wew hujaeah kujenga ndio tatizo.
  13. P

    Gharama za ujenzi wa nyumba vyumba vitatu(3)

    Nyati cement mfuko tshs 15000 unatoa tofali 30.....mifuko 30 inatoa tofali 900 ambazo unajenga nyumba vyumba 3....gharama mifuko 30 ni 450000.
Back
Top Bottom