Zimebaki Wiki Mbili (2) tu; Hebu Tujikumbushe Ya 06.05.2012.

sembo

JF-Expert Member
May 25, 2011
4,350
3,451
06.05.2012 ni siku ngumu sana kusahaulika miongoni mwa mashabiki na wanachama wa Simba SC.
Kwangu mimi hii kumbukumbu imejenga makazi ya kudumu kichwani mwangu.
Kwanini?
1. Mnyama alimkung'unta bila huruma Mtani 5-0, wafungaji wakiwa ni 0kwi magoli 2, Felix Sunzu, Juma Kaseja na Patrick Mafisango (marehemu).
2. Mnyama alikabidhiwa ndoo ya ubingwa wa ligi kwa mara ya 24, mbele ya refa wao, kocha wao, mashabiki wao pia uwanja wao.

Tujikumbushe Mapicha Picha ya siku hiyo;

1473996559023.jpg

Kikosi cha Mnyama ambacho kilipeleka vilio, simanzi na majonzi mitaa ya Jangwani.
1473996789755.jpg

Kikosi cha Yanga kilichofungwa 5-0.. Hilo pozi..
1473996884689.jpg

'CR7 wa Uganda' siku hiyo alimgeuza huyu beki bora kabisa toka 'mtaa wa pili' uchochoro.
1473997042479.jpg

Mashabiki wa Mnyama wakimuuliza 'Mtani'.. "Huko kwenu vipi??"
1473997184555.jpg

'Mtani' anajifanya hajasikia swali.. Naona akaamua kutupa mgongo kabisa.
1473997312111.jpg

Mpaka 'refa wao' anamaliza mpira, matokeo yalikua ni 5-0.. Kilichofata baada ya hapo
1473997404835.jpg

1473997419999.jpg


Ombi langu kwa Mtani;
Kwa dozi mliyoandaliwa kupewa 01.10.2016, tafadhari msije Taifa ili muweze kuepusha aibu kama mliyopata 06.05.2012... Mkikaidi shauri yenu.

SIMBA SPORTS CLUB, NGUVU MOJA
 
Hivi hawa simba wanaoishi kwa historia, wamesahau tangu wamebahatisha goli tan o mpaka leo hawajawahi tena kuifunga yanga, na tangu wamechukua ubingwa mara ya mwisho mtoto wangu wa kwanza alikuwa hajazaliwa na sasa anaanza shule darasa la kwanza
 
Hivi hawa simba wanaoishi kwa historia, wamesahau tangu wamebahatisha goli tan o mpaka leo hawajawahi tena kuifunga yanga, na tangu wamechukua ubingwa mara ya mwisho mtoto wangu wa kwanza alikuwa hajazaliwa na sasa anaanza shule darasa la kwanza
Wahenga walishawahi kunena;

"If you don't know history, then you don't know anything. You are a leaf that doesn't know it is part of a tree."

Kama unabishana na wahenga.. Sawa.
 
Tangu 2012 hakuna kikombe, hata cha chai au cha kahawa.
Hawa simba tushawazoea wakishinda mabonanza kama vile mtani jembe wanajiona wanaweza kweli, ngoja hyo tarh moja, afu nataka tujuane humu siku hyo tunakaa pamoja vip tuone nani mbabe
 
Msimu huu tunachukua makombe 4, ili kufidishia misimu tuliyotoka kapa.
Unaongelea makombe yapi na kwa Simba ipi? Ngao ya hisani haipo tayari, makombe ya mchangani labda.

Wahenga walishawahi kunena;

"If you don't know history, then you don't know anything. You are a leaf that doesn't know it is part of a tree."

Kama unabishana na wahenga.. Sawa.

endeleeni kuishi kwa matumaini, kama mnaishi kwa historia, basi toka 2012 hadi sasa ni 4 years, ongeza miaka mingine 4 ya kuishi kwa ukata bila kikombe.
 
Unaongelea makombe yapi na kwa Simba ipi? Ngao ya hisani haipo tayari, makombe ya mchangani labda.



endeleeni kuishi kwa matumaini, kama mnaishi kwa historia, basi toka 2012 hadi sasa ni 4 years, ongeza miaka mingine 4 ya kuishi kwa ukata bila kikombe.
Msimu huu, Simba SC wanaenda kuchukua ubingwa wa;
1. VPL
2. FA Cup
3. Mapinduzi Cup
4. Mtani Jembe
Yaani kinachofanyika Msimu huu.. Ni tunaenda kushinda kila kombe tutakaloshiriki.

Ila kwa kuanzia, kitu gani kinakuijia kichwani mwako, nilipokukumbusha kuhusu tarehe 06.05.2012 [maana najua utakua umesahau]?
 
Muulize Omog anaomba apate dharura kwao ili mechi hiyo asimamie chizi mayanja ...
 
Hivi hawa simba wanaoishi kwa historia, wamesahau tangu wamebahatisha goli tan o mpaka leo hawajawahi tena kuifunga yanga, na tangu wamechukua ubingwa mara ya mwisho mtoto wangu wa kwanza alikuwa hajazaliwa na sasa anaanza shule darasa la kwanza
Luqui ulichoandika si kweli kabisa, Tokea huo mwaka 2012 Simba imeifunga Yanga mara nyingi zaidi kuliko Yanga ilivyoifunga Simba, Zikiwemo mtani jembe mara zote, ligi kuu mara kadhaa, ikiwemo mita 40 ya Okwi ambayo ilifanya Yanga waache kumpanga Barthez kwa muda mrefu, kumbu kumbu zangu zinaonyesha Yanga tokea kipindi hicho imeifunga Simba mara mbili tu, na hiyo ilikuwa kwenye ligi kuu msimu uliomalizika 2015/2016
 
Mnapopigwa nje ndani mbona hamtangazi. Tuonane Oct 1 mara tu baada ya mechi kisha uje na kauli hiyo.
 
Wewe Endelea Tu Kuwaliza Vyura FC Manake Unawatonesha Kidonda Kwa Kuwakumbusha Kiganja (5) Ambacho Hawatoweza Kukisahau
:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D
 
Timu yangu kipenzi simba imekamilika kucheza na timu yoyote africa hii ila kasoro nayoiona ni striker mavugo na blagnon bado sana
 
Back
Top Bottom