SHORT STORY: Nipo Mbeya karibu sita sasa, kutokana na eneo nililokuwa nimefikia kulikuwa nje kidogo ya mjini ko sikuweza kuwa na optin nyingine zaidi ya 3000 kwa siku kupitia mitandao afu hakuna kupakua mafile nikajitahid mwezi huu nikahamia sehemu nyingine ambayo ipo katikati ya jiji nikagundua...
Chief mkwawa amewahi ongea hiki kitu lakin sikumtilia maanan ilala sasa ndo nimejua kwann aliaema hivi baada ya kujaribu internet zote alizo pendekeza yupo 100% right [emoji1374]
Afu kuna issue wanasema kuanzia saa nne usiku hadi 12 asubuhi kwakupakua vitu vikubwa unaweza panga file zako kushusha maana data hazihesabiwi, sa sijajua ni yakweli hii kitu?
Mkuu umesema kweli nimejaribu na kuwauliza wqmesema bado ipo ila kulipia miez 11 ndo upewe kit bure afu cost za installation 250000 kwa engineer wao ukimtumia kama unaweza au unamjua mtu anayeweza funga hiyo cost ya installation hutolipia.
hii kama ofa wanayo bado kwa tuliopo kijijini tuanze nahawa tu maana huku nilipo hakuna cha copper wala harufu ya fiber na bando la simu ndo hivyo tena [emoji29]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.