Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

Umesoma vigezo vyote kwa umakini???. Soma TANGAZO rudia mara nne mpaka mara tano ikiwezekana uwe na peni na karatasi unachukua important notes baada ya kuelewa vizuri vuta pumzi muombe mungu andaa nyaraka zako vizuri na wadhamini hakiki taarifa zako Soma TANGAZO tena mara ya mwisho pumzika baada ya masaa kaza Anza applications. Acha pupa
 
Jamani hivi hawa makarani na wasimamizi wanahitajika wangapi? Nombeni mnifahamishe hasahasa Hawa wasimamizi
 
Mbona tangazo limechelewa sana..huku mtaani kwetu vijana walishapeleka Maombi since last week Kama sikosei
 
wakuu nilijaribu kumsaidia mtu kumtumia maombi, sasa nikakosea email naona nitashindwa kupata zile password na username, nimejaribu kuwapigia nbs naona namba inatumika toka kulipokucha na nikiwapata hawapokei simu.
nifanye nini niweze kupata hizo username mana hata email niliyoandika ni invalid?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom