Prince_mandela
Senior Member
- Jul 29, 2016
- 167
- 117
Mshahara kiasi gani?
Mshahara kiasi gani?
Andika kwa mfumo huu 19940923-51102-00001-20 andika Kama nilivyokuandikia hapo badilisha kulingana na namba Yako ya nidaMsaada wadau namba ya NIDA inaandika invalid,au had uwe na hardcopy?
Dodoso kubwa ni 90000 kwa sikuHuenda ikawa elfu 30 kwa siku.
Umesoma vigezo vyote kwa umakini???. Soma TANGAZO rudia mara nne mpaka mara tano ikiwezekana uwe na peni na karatasi unachukua important notes baada ya kuelewa vizuri vuta pumzi muombe mungu andaa nyaraka zako vizuri na wadhamini hakiki taarifa zako Soma TANGAZO tena mara ya mwisho pumzika baada ya masaa kaza Anza applications. Acha pupa
Nashukuru mkuuAndika kwa mfumo huu 19940923-51102-00001-20 andika Kama nilivyokuandikia hapo badilisha kulingana na namba Yako ya nida
Hilo dodoso kubwa wanafanya makarani au wasimamiziDodoso kubwa ni 90000 kwa siku
Ukisoma hii comment yako unagundua watu wengi humu mna matatizo ya AKILI.Watu wameshaenda kwenye semina tokea jana. Kuna chalii nipo nae kitaa kaondoka jana kwenda kwenye semina Iringa. Hilo tangazo ni geresha tu
Iyo ilikua fraud, tangazo kamili wametoa siku izi karibuni nafikiri.Mbona tangazo limechelewa sana..huku mtaani kwetu vijana walishapeleka Maombi since last week Kama sikosei
KwaniniUkisoma hii comment yako unagundua watu wengi humu mna matatizo ya AKILI.
Watu mnaona vitu ambavyo HAVIPO. Mnaishi kwa fantasies zisizokuwepo.Kwanini
Ingiza na zile alama zake za -Msaada wadau namba ya NIDA inaandika invalid,au had uwe na hardcopy?
Huyo anatafuta atention tu hajui watu tunaumia huku tupate hata hizo miaUkisoma hii comment yako unagundua watu wengi humu mna matatizo ya AKILI.