Taifa stars walipocheza na Moroco wimbo wa Taifa haukuimbwa kwa wakati muafaka,Rais wa TFF bwana Tenga kwa aibu akamtoa kafara msemaji wa wakatio huo FLORIAN KAIJAGE,waziri anayehusika kama kawaida ktk nchi ya wajinga akasema hajui chochote,leo sijui TENGA atasemaje maana KAIJAGE kama angekuwa...
Ukitaka kujua mke wako atazaa mtoto wa jinsia gani fanya hivi,mchukue mtoto wa miaka miwili wa kiume mwambie amlalie mke wako juu ya tumbo lake,ukiona ako katoto kana kunja miguu yake ujue atamzaa boyfriend na kama ako katoto hakata kunja miguu ujue atazaa wale wanao vaa naiti dress mchana wk...
Habari za jumatatu Great Thinkers wakati tukisubiri kumtoa mpiganaji wetu Mbowe nimeona tumpe hongera huyu kijana wa kikatoliki,bingwa wa HISABATI kwa kusimikwa kuwa Askofu wa Jimbo la Mbinga nianze mimi kwa kusema hongera sana JOHNI NDIMBO.Akanono!!
Jamani habari za jumapili!nimeanza kufanya mazoezi kwa mwili wangu na sasa ni kama wiki moja lakini MISULI ya mapaja yote inaumasana,naomba Doctors mnipe msaada wa kutuliza maumivu,Nb mimi ni mvulana wa miaka 30.Naomba kuwasilisha asante.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.