Hivi kwa nini wanaume hawapendi kuwasindikiza wake zao CLINIC,HOSPITAL?naomba kuwasilisha asante.
Mimi nampeleka hata saloon.
Hivi kwa nini wanaume hawapendi kuwasindikiza wake zao CLINIC,HOSPITAL?naomba kuwasilisha asante.
Huko ni kumchunga, si mbaya lakini.Mimi nampeleka hata saloon.
Hahahahaaa sasa nani ataandalia watoto chakula?Mbona nyie hampendi kutusindikiza bar
Hivi kwa nini wanaume hawapendi kuwasindikiza wake zao CLINIC,HOSPITAL?naomba kuwasilisha asante.
I disagree with you!..wengi ninaowaona mimi wanasindikizwa clinic na wanaume wao. Haimaniishi wasiposindikiza kila clinic ni tatizo!!
bahati mbaya sijaoa, ningeoa ningemsindikiza hadi uani!! Siriaz.Hivi kwa nini wanaume hawapendi kuwasindikiza wake zao CLINIC,HOSPITAL?naomba kuwasilisha asante.
mzima weye BJ lakini siku ingi mimi shindwa ona wewe...