Ukute dada zako na mama zako wana gongwa na kuzalishwa na hao hao unaowatukania Dini yao...Binafsi kwa sababu najua koo zetu siku hizi zinamchanganyiko wa Dini huwa najiepusha sana na malumbano ya Dini.
Uwezo mnao ila viwanja vyenu vinatia aibu fremu nje za mamilioni ndani uwanja nyasi kichefu chefu. Vyenye taa mwanga kama wa torch havifai kwa game za usiku.
Hela mnazo tuibia rudisheni basi kama fungu la kumi kwenye kukarabati uwanja.
Moja ya ubwege nao upigiaga kelele ni huo....Yaan mpaka huwa najiuliza hivi viwanja si vya ccm? Na vingi vina fremu za biashara kwa nje..Yaan wanakosaje kuchimba visima vya milion ishirin kila kiwanja ndani yake kwa ajali ya maji ya vyooni na umwagiliaji?
Saa nyingine unaweza kufuru Mungu kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.