Huu ndio wa hovyo kabisaaKama huu uwanja wa Dodoma taa zake hafifu sana hata haifurahishi kuangalia kwenye TV.. naangalia mpira wa Yanga na Dodoma jiji hapa yaani picha hovyo kabisa sababu taa hafifu
Fursa hiyo ya kujenga vyako.Uwezo mnao ila viwanja vyenu vinatia aibu fremu nje za mamilioni ndani uwanja nyasi kichefu chefu. Vyenye taa mwanga kama wa torch havifai kwa game za usiku.
Hela mnazo tuibia rudisheni basi kama fungu la kumi kwenye kukarabati uwanja.
Punguza ushangingi jimama tamu tamu....viwanja mmehodhi ila kuviendeleza mtihani... Rudisheni serikalini viendelezwe kwa kodi zetuFursa hiyo ya kujenga vyako.
Usingoje kila kitu kufanyiwa. Kipaumbele chako siyo cha mwenzako.
Mpe mchongo basi...kujenga viwanja ni kama tu kujenga lodge au?Fursa hiyo ya kujenga vyako.
Usingoje kila kitu kufanyiwa. Kipaumbele chako siyo cha mwenzako.
Jimama huwa halitumiagi akili...hayo ndio madhara ya kujibu jibu kila kitu kwa kutetea lazma upate upofuMpe mchongo basi...kujenga viwanja ni kama tu kujenga lodge au?
Mwaka jana walichota pesa za serikali wakaweka taa na chenji mfukoni.Uwezo mnao ila viwanja vyenu vinatia aibu fremu nje za mamilioni ndani uwanja nyasi kichefu chefu. Vyenye taa mwanga kama wa torch havifai kwa game za usiku.
Hela mnazo tuibia rudisheni basi kama fungu la kumi kwenye kukarabati uwanja.
CCm hivi viwanja bora waingie ubia na watu...watu wataweka Gym zao na pia watavikarabati vizuri..maana viko vingi katikati ya mijiMwaka jana walichota pesa za serikali wakaweka taa na chenji mfukoni.
Kiwanja cha wizi kisha unaingia ubia na mwizi!CCm hivi viwanja bora waingie ubia na watu...watu wataweka Gym zao na pia watavikarabati vizuri..maana viko vingi katikati ya miji