Kwanini Felix Tchisekedi wa DRC Haombi Msaada Kwa Russia/Wegner kama Burkinabe, Mali na Niger Ilhali Ameshindwa na Rwanda/M23?

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
45,536
52,594
Ukiangalia kinachoendelea Congo DRC ni wazi unaweza hisi kabisa kwamba aliyeko Madarakani nae ni kibaraka wa Kigali.

Haiwezekani Wananchi wa DRC wanaoteseka Kwa Mauaji,m23 wanateka Miji na Vijijini na kutumikishwa watu kwenye migodi haramu lakini jeshinla DRC/SADC/UN/EAC yote yameshindwa kuwalinda Watu lakini kina Felix wako kimya.

Matukio ya Mauaji yanatokea wakubwa wa West wanaishia kufanya maigizo ya kulaumu Rwanda/m23 lakini hakuna hatua wanachukua.

Tumeona mifano Kwa Bukinafaso,Mali,Niger,nk walipowatimua Wanajeshi wa wasaliti hao wa West Africa wameomba Msaada Kwa Russia/Wegner na wamepata utulivu.


View: https://twitter.com/BusInsiderSSA/status/1786358575025070443?t=bpFFGm-iUB39cwXxldSmdQ&s=19

Swali: Kwa nini Felix Tchisekedi amekausha anajifanya kulalama? Anaogopa nini au nae ni wale wale?

View: https://twitter.com/Jambotv_/status/1786644303613161652?t=xfVeLJXTsmpqvNfujNK1Yw&s=19
 
Hao Warusi ndio hufaidika sana na mavita vita ya Afrika, sijui kwanini huwa mnawashobokea hivi. Mngejua jinsi walivyo, kwanza waliua sana magaidi yenu ya Chechnya.

Hivi sasa hiyo Niger wataitafuna sana tu......
 
Ukiangalia kinachoendelea Congo DRC ni wazi unaweza hisi kabisa kwamba aliyeko Madarakani nae ni kibaraka wa Kigali.

Haiwezekani Wananchi wa DRC wanaoteseka Kwa Mauaji,m23 wanateka Miji na Vijijini na kutumikishwa watu kwenye migodi haramu lakini jeshinla DRC/SADC/UN/EAC yote yameshindwa kuwalinda Watu lakini kina Felix wako kimya.

Matukio ya Mauaji yanatokea wakubwa wa West wanaishia kufanya maigizo ya kulaumu Rwanda/m23 lakini hakuna hatua wanachukua.

Tumeona mifano Kwa Bukinafaso,Mali,Niger,nk walipowatimua Wanajeshi wa wasaliti hao wa West Africa wameomba Msaada Kwa Russia/Wegner na wamepata utulivu.

View: https://twitter.com/BusInsiderSSA/status/1786358575025070443?t=bpFFGm-iUB39cwXxldSmdQ&s=19

Swali: Kwa nini Felix Tchisekedi amekausha anajifanya kulalama? Anaogopa nini au nae ni wale wale?

View: https://twitter.com/Jambotv_/status/1786644303613161652?t=xfVeLJXTsmpqvNfujNK1Yw&s=19

Huyu alitokea Brussels kuja kuwa rais wa DRC. Brussels ni makao makuu ya EU na NATO. Wagner ni kikosi cha mercenaries cha Russia. Russia ni sworn enermy wa EU na NATO so Wagner kuingia North Kivu itachukua muda sana.
 
Huyu alitokea Brussels kuja kuwa rais wa DRC. Brussels ni makao makuu ya EU na NATO. Wagner ni kikosi cha mercenaries cha Russia. Russia ni sworn enermy wa EU na NATO so Wagner kuingia North Kivu itachukua muda sana.
Kwahiyo kuna mchezo gani unachezeka hapo?
 
Unafikiri unaposikia neno MSAADA unadhani ni Bure? Wakiomba RUssia ujue malipo yake pia ni gharama kubwa. wanaweza kuambiwa tukija kuwapiga M23 tutachimba madini kwa miaka 20 mfululizo bila kuingiliwa wala kukaguliwa.
Bora apambane hivyo hivyo.
 
Ukiangalia kinachoendelea Congo DRC ni wazi unaweza hisi kabisa kwamba aliyeko Madarakani nae ni kibaraka wa Kigali.

Haiwezekani Wananchi wa DRC wanaoteseka Kwa Mauaji,m23 wanateka Miji na Vijijini na kutumikishwa watu kwenye migodi haramu lakini jeshinla DRC/SADC/UN/EAC yote yameshindwa kuwalinda Watu lakini kina Felix wako kimya.

Matukio ya Mauaji yanatokea wakubwa wa West wanaishia kufanya maigizo ya kulaumu Rwanda/m23 lakini hakuna hatua wanachukua.

Tumeona mifano Kwa Bukinafaso,Mali,Niger,nk walipowatimua Wanajeshi wa wasaliti hao wa West Africa wameomba Msaada Kwa Russia/Wegner na wamepata utulivu.


View: https://twitter.com/BusInsiderSSA/status/1786358575025070443?t=bpFFGm-iUB39cwXxldSmdQ&s=19

Swali: Kwa nini Felix Tchisekedi amekausha anajifanya kulalama? Anaogopa nini au nae ni wale wale?

View: https://twitter.com/Jambotv_/status/1786644303613161652?t=xfVeLJXTsmpqvNfujNK1Yw&s=19


hapo ni mambo ya neccessary evil.. unahis huko chad na mali huo unaoita msaada ni bure.. yaani wameamua kuahama kutoka kuwatumikia west.. wakahami kwa mrusi.. Belive me hao west unaosema wanatoa lawama tu..

wanafaidika pakubwa na kinachoendele huko Congo.. its very simple.. kukiwa hakutawaliki hapo maana yake nini.. maana yake bidhaa inayotoka hapo wao ndio watakuw wana regulate bei.. sbabau itauzwa kimagendo kwenye dark world.. so walanguzi itabid wauze kwa bei ya chini kuliko bidhaa safi ambayo inatoka inakujulikaana..

dhahabu ya SA au TZ au Botwasana.. haina bei sana na dhabahu ya Congo maana ya congo haiko clean inabidi ipitie njia za magendo ikageuzwa originality iwekwe mastemp ya nchi ingine .. kama vile chohcote kile kinachouzwa kimagendo hakiwez kuzidi au kuwa sawa bei na kile kllichokuwa verified

hapo pakitawalika maana yake congo itajiwekea terms za mtu kuja kuchukua colbat na madini mengine.. ila pakiwa shamba la bibi bei anapanga mnunuzi. manaa ataleta visingizo kuwa inabidi aingie gharama ya kuweza kuhakikisha inakubalika kwa kuandaa madocument feki..

wote wanaioba madini huko kuanzia rwanda, na vikundi vingine congo pengine had watu wa serilikali yao wenyewe.. wanaenda kuuza kwa wanunuzi wale wale.. west and china /asia kupitia middle mens wa dark world network


ukitaka kuelewa kwa nini africa na viongoz wake migogoro ya ndan inawashina angalia documentary ya MAFIA GOLD youtube utaelewa
 
hapo ni mambo ya neccessary evil.. unahis huko chad na mali huo unaoita msaada ni bure.. yaani wameamua kuahama kutoka kuwatumikia west.. wakahami kwa mrusi.. Belive me hao west unaosema wanatoa lawama tu..

wanafaidika pakubwa na kinachoendele huko Congo.. its very simple.. kukiwa hakutawaliki hapo maana yake nini.. maana yake bidhaa inayotoka hapo wao ndio watakuw wana regulate bei.. sbabau itauzwa kimagendo kwenye dark world.. so walanguzi itabid wauze kwa bei ya chini kuliko bidhaa safi ambayo inatoka inakujulikaana..

dhahabu ya SA au TZ au Botwasana.. haina bei sana na dhabahu ya Congo maana ya congo haiko clean inabidi ipitie njia za magendo ikageuzwa originality iwekwe mastemp ya nchi ingine .. kama vile chohcote kile kinachouzwa kimagendo hakiwez kuzidi au kuwa sawa bei na kile kllichokuwa verified

hapo pakitawalika maana yake congo itajiwekea terms za mtu kuja kuchukua colbat na madini mengine.. ila pakiwa shamba la bibi bei anapanga mnunuzi. manaa ataleta visingizo kuwa inabidi aingie gharama ya kuweza kuhakikisha inakubalika kwa kuandaa madocument feki..

wote wanaioba madini huko kuanzia rwanda, na vikundi vingine congo pengine had watu wa serilikali yao wenyewe.. wanaenda kuuza kwa wanunuzi wale wale.. west and china /asia kupitia middle mens wa dark world network


ukitaka kuelewa kwa nini africa na viongoz wake migogoro ya ndan inawashina angalia documentary ya MAFIA GOLD youtube utaelewa
Uwe Bure au usiwe Bure Cha msingi usalama upatikane.

View: https://twitter.com/bbcswahili/status/1787453598269419681?t=Z_GI1dATKT9mL_w20QFhXA&s=19
 
Back
Top Bottom