wewe ndo mpumbavu kabisa
Unaleta udaku tu hapa
Nenda Arusha leo uone inavyojengwa, kuna miradi ya barabara, maji, kwani ccm ndiyo inaingoza halmashauri?
Mnapenda kuishi kwa udaku tu
Alikuwa upinzani kwa kazi maalumu
NCCR unaiona ina nguvu gani sasa hivi?
Ni hesabu tu, Nyarandu anapiga mzigo, anampasia Lowasa, Lowasa anapeleka kunakohusika!
Nafikiri juzi uliona wakati anawasilisha ripoti
Hayo ni maono au ndoto?
Siasa za matusi hazina nafasi kipindi hiki
.Na siyo kwamba watanzania ni waoga, hapana
Siyo wapinzani au wananchi, sote tulimuomba Mungu tupate Rais jasiri, asiyependa rushwa
Asiye mzururaji
Mwenye kiu ya maendeleo,Naam tulipigia kura mabadiliko!
Ushauri kwa upinzani...
Yericko Nyerere Hata pale tulipomshutumu Mbowe kumuuzia chama lowasa na kutamba kuwa amebadili gia angani,, we ni miongoni mwa watu waliofuraia hiyo dili!
Kama ni uzoba wengi wako upande wako, hata demokrasia unayoidai ingeanzia kwenye chama chako!
Salum Mwalimu alipigiwa kura na nani kwenye kura za maoni hadi akatangazwa?
Kinondoni nzima hakuna mwanachadema mwenye sifa hadi muazime mzanzibari?
Ccm walikosea sana, lkn na chadema wamekosea zaidi
Chadema na cuf mtagawana za upinzani, kura za ccm huwa hazipotei!
Anzeni kutafuta...
Pasco mbona hujatuambia uhuni wa chadema?
Walituambia hawatashiriki uchaguzi hadi kasoro walizoziona wao kwenye uchaguzi wa marudio zifanyiwe kazi na tume!
Je kasoro hizo zimefanyiwa kazi na tume?
Mbona chadema haileti mrejesho kwa wananchi kuwa hizo kasoro zimefanyiwa kazi?
Je aliyeoongoza...
Ndiyo maana vyama vyao vimekufa, kwa hiyo unataka chadema ife kwa style hiyo?
Binadamu tunaishi kwa kubadilika, usipobadilika mazingira au wakati vitakubadilisha!
Labda Lisu aniambie Lowasa amevunja katiba au kifungu kipi ndani ya chama au nchi
Sioni tatizo raia tena PM mstaafu kama anavyoitwa kuonana na rais wake!
Kwanza PM mstaafu yoyote ni mshauri wa serikali iliyopo
Lisu, lema, Mbowe tambueni kuwa Lowasa kwenu ni high level, mambo ya chama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.