Yeth lottah
JF-Expert Member
- Dec 7, 2017
- 1,406
- 2,227
This time itatafuna chatoDhambi hiyo mbona haikututafuna Hai kwa mwenyekiti wa Chama...?
Expecting too much !!
This time itatafuna chatoDhambi hiyo mbona haikututafuna Hai kwa mwenyekiti wa Chama...?
Expecting too much !!
Ni bora wangempa Wenje hiyo kinondoni.
Nini kifanyike ili ccm iwe imeshinda kihalali!
CCM itashinda kwa 98% kwa sababu CCM inapendwa sana Ubungo na Siha.Ni strong hold za CCM.Wana CCM tujianndae kukata mauno kwa furaha ya ushindi mkubwa.Nini kifanyike ili ccm iwe imeshinda kihalali!
Kwa hiyo mnaposhindwa Tatizo ni kutokukubalika kwa Mgombea sio mengineyoSalum anaheshimika mno atashinda asubuhi tu!!
Kwa hiyo mnaposhindwa Tatizo ni kutokukubalika kwa Mgombea sio mengineyo
Salum hata kura hawezi kujipigia!Salum anaheshimika mno atashinda asubuhi tu!!
Yaani we acha tu!Tatizo hawapendi kuambiwa ukweli.
Oyoooo KIGAMBONI etieeCCM itashinda kwa 98% kwa sababu CCM inapendwa sana Kigamboni na Siha.Ni strong hold za CCM.Wana CCM tujianndae kukata mauno kwa furaha ya ushindi mkubwa.
hahahaOyoooo KIGAMBONI etiee
Umevua kofia kame. Mwalimu hapo hapiti.Ngoja waje wahusika maana hii imekuwa hoja ya matumaini.
Kweli tupu. Sidhani kama anacho kichinjio.Salum hata kura hawezi kujipigia!
Kuna utani kuwa kura yake ameisahau Zanzibar!!
Haya.Salum Mwalim - Kinondoni 2018
Wewe ni mpuu.zi tu na hicho chama chakoNawauliza tena swali hili!