Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,272
- 34,246
jingalao cocochanel njooni tusherekee ushindi wa bwana yule...
Naambiwa hiz ndo comment za vijana wa lumumba ambazo zilikua zinasubiriwa kwny huu uzi humuWaingereza hawawezi kumpa Rais Magufuli walizoea kuiba rasirimali zetu na Magufuli kawabana hawafurukuti lakini kwa kuwa watz tunamkubali weenda na tuzo zao huko!!
Ushindi ni kura ...Influence ya Magufuli Afrika sio jambo dogo hasa ukizingatia amekuwa kwenye Urais kwa miaka miwili na miezi kadhaajingalao cocochanel njooni tusherekee ushindi wa bwana yule...
Hahahahaaa ningeshangaa sana kama magufli angeshinda!!!Ushindi ni kura ...Influence ya Magufuli Afrika sio jambo dogo hasa ukizingatia amekuwa kwenye Urais kwa miaka miwili na miezi kadhaa
Eeeeeeeeh mmebadilisha gia tenaMagufuli alishasema ukiona adui anakusifia jiangalie umekosea wapi?
Mimi nilimpigia Kagame kwa hasira!!Vyuma vimekaza hata muda wa kupiga kura sina.
Kwanza umechapia hii kauli ni ya nyerere, magu hana akili ya kitoa kauli kama hii!!Magufuli alishasema ukiona adui anakusifia jiangalie umekosea wapi?
Watalia si unawajua manamba kazi yao kumlilia bosiNasubir comments za manamba wa lumumba
lima matikiti maji na nanasi yanalipa sanaHili la ukuzaji uchumi naungana nao, NI KWELI KABISA!!
Hali mbaya sana mtaani!!
Teteh!Daaaaah Mungu mkubwa, kweli huu mwaka umeanza vizuri sana!!!
NIngeshangaa sana Magufuli angeshinda kwa haya yanayoendelea nchini!!
Hongera sana Kagame kwa ushindi!!!