ID yangu ni hii hii mzee sijawahi badili na sijawahi tumia majina tofauti ya kujificha itakua unanihisi au kuhisi mtu tofauti.Nakupongeza baada ya Kuikacha Chadema Umebabadilisha ID na Una Support Harakati za Chama kilicho Madarakani.
Poisemapinduzi daima ,
Mkuu,
Hayo ndiyo makosa.
Heka.zimepotea aliyemtoa idhini ni aliyetuguliwa sasa PCCB inafanya uchunguzi wa nini wakati hela zimetumbuliwa na mwenye idhini ni uyo huyo aliyetenguliwa!?
Any way, tuliishakosea njia. Ngoja tupotee hadi mwisho ila badae tutaanza safari kwa upya ...
Anajitahd sana PM kuwatumikia WananchiKweli nmeamin Kasimu Majaliwa akisema amesema !!.
Na pia napongeza mazuri yanayofanywa na serikali si tu mazuri yanayofanywa na chama kilichopo madarakani hata ingekua chadema na imefanya mazuri ningepongeza wewe ulitaka nimtetee huyo mkurugenzi kua kafanya mazuri kuibia wananchi wake? Na pia kuibia serikali kwa uaminifu na dhamana aliyopewa na Rais ushabiki mwingine wakizamani watu wanapewa dhamana wanaiba afanyweje sasa abembelezwe eti usiibe tena au afundishwe wajibu wake na majukumu yake?ID yangu ni hii hii mzee sijawahi badili na sijawahi tumia majina tofauti ya kujificha itakua unanihisi au kuhisi mtu tofauti.
wewe hujawai kuonga au kuongwa?Magu jitengue mwenyewe, umebadhirifu mabilioni ( Madege, kuhonga wapinzani, kuhonga wakamata ndege, chaguzi uchwara ).
- Tumekuchokaaaaaa
wale watuhumiwa wa mh Nassari vipi ?Habari wanaJF,
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI, Selemani Jafo ametangaza kuwa Rais Dkt John Magufuli ametengua uteuzi wa Mkurugenzi wa halmashauri ya Butiama mkoani Mara Solomoni Ngiliule kuanzia leo kutokana na ubadhirifu wa fedha za umma.
Unaniaibisha nshomile, relies ni nini, nshomile, pull up your socksNangojea press relies maanaa siku hizi kila mtu ni msemaji wa ikulu
Nahonga pesa zangu nilizotafuta kwa jasho, SIYO Pesa wa WALIPAKODI wavuja jasho wanalipa wanagugumia maumivu wewe unagawa mabumba barabarani kama zwazwawewe hujawai kuonga au kuongwa?
Mafisadi wanakimbilia chadema!Km tutaendelea kuteuana sababu wewe ni shabiki wa chama cha kijani hatutopata maendeleo milele.
Kila siku itabaki kuteua na kutengua.
BadoVipi kuhusu CEO of TBA hajamtumbua bado?
Duh.. unataka wananchi wakiamuka subuhi tu wanaenda kwa mkurugenzi kumuuliza kafanya nini?Ukifikiria kwa upana, utaona tatizo ni la kimfumo. Ni vigumu sana kwa wateuliwa kuwa accountable kwa wananchi. Unahitajika mfumo ambao wananchi wanakuwa ndiyo wenye mamlaka katika kuwawajibisha watumishi wa umma.
Muhusika mkuu hapo ni yule aliye mteua mtumbuliwa kwa mbwembwe na leo anatengua wajinga mnashangilia!Noted
Kudos to the President and PM
Fedha nyingi za Umma zinapotelea huko kwenye Halmashauri zetu kutokana na Usimamizi mbovu wa miradi na Uongozi usiojali Wananchi ambao ndio walipa Kodi.