Godbless J Lema,
Utii wa sheria na nidhamu ya kizalendo unatafasiriwa kama uoga na wanasiasa wenye uchu wa madaraka.Madhara ya kutotii sheria na maandamano yasionatija yana madhara makubwa kwa maisha ya watu na uchumi wa nchi.Ikumbukwe kuna wananchi walitopeza maisha kwenye siasa hizi uchwara na zenye ulaghai zinazohasisiwa kwenye nchi za maghari.Leo hii wachochezi wanaponda maisha na familia zao huku zile familia zilizoangamia zikibaki zinalia na kusaga meno.
Utii wa sheria na nidhamu ya kizalendo unatafasiriwa kama uoga na wanasiasa wenye uchu wa madaraka.Madhara ya kutotii sheria na maandamano yasionatija yana madhara makubwa kwa maisha ya watu na uchumi wa nchi.Ikumbukwe kuna wananchi walitopeza maisha kwenye siasa hizi uchwara na zenye ulaghai zinazohasisiwa kwenye nchi za maghari.Leo hii wachochezi wanaponda maisha na familia zao huku zile familia zilizoangamia zikibaki zinalia na kusaga meno.