Ukiwa mvuta bangi ni vema kumshauri mtu ambaye havuti bangi sababu mvuta bangi anafahamu athari zake vyema,, lakini mvuta bangi hawezi kumshauri kitu mvuta bangi mwenzie,, hapa hataweza kumwambia mwenzake acha bangi atasema "tuache" bangi,, kama hadi hapa hujanielewa basi bhn 😂😂
Yapo mengi makubwa kuliko hata hilo la ndoa ☺️ tena hayo mazito yanafanywa na wachungaji, maaskofu, mapadri, masheikh, manabii, na mitume ni makubwa kuliko hilo ndoa lakini hakuna anaye wakemea hao ila ni vile tu wanajitahidi kuyaficha sana,, ni makanisa mengi sana yana behind the scenes ila...
Viongozi wadini ni wengi sana na wameona haya lakini hawawezi kupaza sauti zao kwa sababu nao wanayo yakwao na yanajulikana ila yamehifadhiwa tu..
Ni sahihi kuwaonya lkn nani wakuwaonya hata wewe kupost huku JF haisaidii chochote ndioo maana najaribu kukueleza hivi haya tutajadili huku na...
Avoid pointing to someone 😐 jinyoshee kidole wewe mwenyewe,, naweza kusema hizi ni nyakati ambazo kila mtu anakosea ila tumetofautiana tu aina ya makosa(dhambi ) ila zote ni dhambi tu
Ni vema kila mtu akajichunguza mwenyewe kwa nafasi yake,, kwa wasanii hawa tuchukue lile lililo jema kwa ajili ya kujijenga sisi wenyewe,, no one is always perfect kuna wale wanao fanya makosa lakin anafahamu kuwa nikosa ila ni vile tu msukumo umekuwa mkubwa kufanya anacho kifanya msukumo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.