Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 10,319
- 35,767
- Thread starter
- #41
Kama hujui tu, mvuta bangi ndio ana uhalali mkubwa zaidi wa kumuumbua muongo na mnafiki kuliko asiyevuta bangi.Unacho sema ni sahihi lakini nani anapaswa kuwaonya hao 🌝 maana mvuta bangi hawezi kumwambia mwenzake aache bangi😁 hata akimwambia hawezi kumfokea vikali
Asanteni ☺️
Haihitaji kuwa mwema au mbaya ili kumuonya anayekosea ili kuwalinda wengine. Tusiogope kuwanyoshea kidole wale wote wanaoharibu taswira ya imani zetu kisa sisi pia sio wasafi. Uovu upingwe na watu wote.