Mambo yasiwe mengi, kuna cousin brother wangu anahitaji kuongeza mke wa pili.
Vigezo:
Awe mrembo wa sura na umbo pia
Elimu kidogo angalau form six au certifcate
Umri miaka kuanzia 25 mpaka 32
Dini Islam kama ni tofauti awe tayari kubadili.
Kuhusu yeye;
Ni mfanyakazi wa Serikali na...
Wewe sasa ndiyo mdini 100%, watu wanateuliwa kama wamekidhi vigezo husika na si vinginevyo. Ungekuwa na hoja kama ungesema mama Samia kateua huyu au yule lakini si mtanzania, au unaleta ushahidi hapa, ungeeleweka.
Wewe una shida ya Islamophobia, deal nalo hilo kwanza, siku utakapo kuja...
Hakika, yaani suonagi tija ya kulazimisha....!
Ikishindikana kwenye kushawish unaachana nae aende zake! Wengine hawapendi kabisa purukushani au sjui vua nihakikishe!
Mgunda ni kocha mzuri sana kwa team avarage za ligi yetu lkn siyo Simba.
Huwaga team ikizidiwa anakosa mbinu sahihi za haraka kuinusuru team.
Mgunda anabebwa na ubora na uzoefu wa wachezaji, tunataka kocha ambae yuko dynamic kwenye mbinu na siyo mwenye mbinu 1 au 2 zikifeli basi.
Kwamba MO amteue try again kwenye nafasi yake (mwenyekiti wa bodi) kisha awe na ugomvi na CEO as you claimed, ashindwe kumtengua na kumuweka mwingine ili " kumlinda" CEO?
Uwe unatengeneza logic before ya kueneza uongo.
We ain't buying this clap!
Hizi mambo wakati mwingine ni saikolojia tu, kiasili sisi waafrika tunaamini uchawi kuliko sayansi au fact. Ukweli kuna watu wamejaaliwa kipaji cha mapishi .
Unaweza kuta hata huyo mama anaepika vzr na anapika vizuri kweli, hajiamini mpk aweke manjonjo ya kwenda kwa "mtaalamu". Nachojua wapishi...
Kaka mkubwa, naelewa hisia zako na naturally inafaa iwe hivyo, ila amini kitu kimoja siku utakuja gundua kwamba uliishi katika denial ya kumuamini mkeo kwa asilimia zote hizo hiyo disappointment utakayopata kama siyo jasiri unaweza pata msongo wa mawazo au maradhi yasiyoambikiza na pengine kufa...
Yaani uliposema Yanga ndiyo team bora Africa mashariki na kati alafu hukutoa references ku support hoja yako ndipo nikaona mwaka huu mashabiki wa Yanga mtapata wazimu.
Mkuu hakunaga formula ya kuishi na mwanamke na wala hakuna criteria ya mwanamke bora.
Mwanamke bikra ni mzr kwako psychologically sababu unaamini wewe ndy wa kwanza kulala nae, hii ni kweli lkn kwa kipindi kifupi tu, mara nyingi wanawake wa hv wewe ndy huanza kumfundisha kila kitu, ila siku...
Pole mkuu, inaweza kuwa ni tatizo na inaweza kuwa si tatizo vilevile, hii inategemea na wewe unaishi nae vipi I mean how you're treating her.
Kuhusu kuangalia kwa Google ma X zake, take easy mkuu, sisi binaadamu huwaga kuna vitu vingi sana vya ajabu tunafanya tukiwaga tupo wenyewe, wakati...
Ndiyo maana nakwambia bado hujakuwa wewe na inajidhihirisha kwa maandishi yako, anyway kwa kukusaidia huko mbeleni kama umeoa au bado ni hivi, familia upande wa mkeo wanaweza changia dumisha au haribu ndoa, kivipi?
Twende namna hii, chukulia umeoa mwanamke lakini inatokea mmekorofishana...
Hujakuwa bado, ukikuwa hilo la familia utalielewa vzr sana, ni muhimu sana inawezekana kuliko vingine, sababu ndicho kitakacho determine uhai wa ndoa yenu.
Alafu wengi si sijui wanaishi kwa mazoea? Team za Ulaya huwa zinaenda a day before mechi katika Uefa Champions league hakuna muda wa kwenda ugenini kukaa siku 5 sjui.
Walishawahi kuja Pyramids na ndege yao hapa siku moja kabla na Wakaikun'guta Yanga kule Mwanza vzr tu! Pia Al Alhy hvy hvy.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.