Simba mara hii wameonesha wivu wa wazi wazi kwa Yanga

Waiseme tu vibaya siku Zote Ila sisi Tushaipenda Timu yetu.. wapunguze mchecheto
 
Kikosi cha Yanga isiyofungika nyumbani cha msimu huu na uliopita kimewatesa sana wana simba walio wengi na nadhani kosa kubwa hapa kwa simba ni kukosea katika usajiri misimu yote miwili hii

Ubora wa Yanga hii na Simba kufungwa na Azam kumezidi kuibua chuki na hasira nyingi kwa mashabiki wa simba dhiri ya timu ya Yanga

Mifano ipo hai hata humu humu jf jukwaa la michezo someni hizo topics utaona nyingi ni simba wakiisema vibaya na kuiombea mabaya yanga!

Mechi iliyoisha Yanga alitoka suluhu simba walicheka na kushangilia sana...unajiuliza shida iko wapi?

Yanga anacheza kimataifa..anawakilisha taifa pia
Yanga ndiye bingwa wa nchi hata sasa,tena bingwa ambaye hajapoteza mchezo msimu unaenda wa pili huu...
Yanga ndiyo timu bora kuliko yeyote hapa afrika mashariki(na hili halina ubishi)
Kwanini somba wasikubali hayo?chuki za nini?hata akitolewa yanga huko Tunisia nini cha ajabu?barcelona huyoo anaenda europa kuna ajabu gani sasa?

Simba acheni chuki
Bado mnabebwa kwa kila namna,eti mnawewa msicheze hadi jumatano siku ambayo yanga anaingia dimbani.

Kuna tetesi kuwa mmefikia hatua ya kutumia nguvu za giza kuidhoofisha timu ya yanga na wachezaji wake wasipate matokeo katika michezo yake yote

Acheni hizo chezeni mpira mnashindwa hata na wale simba queens.ambao unawaona wanafight kutafuta matokeo
,

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Kimpira azam walimfunga yanga japo kimatokeo walidraw, kama una akili za kutosha hutabisha katika hili

Kimpira yanga alidraw na geita gold lakin kimatokeo yanga alishinda, kama una akili za kutosha hutabisha katika hili

Kwa mifano hiyo miwili, kaa, tulia jifikirie ni kwanini jicho la kimpira linatofutiana na matokeo yaliyopatikana?

Hapo ndipo utagundua kuwa ushindi au sare za yanga ndani yake kuna walakini wa kimpira na hapo mtaendelea kuumia linapokuja suala la michuano ambayo walakini wenu huo haufui dfu
 
Kikosi cha Yanga isiyofungika nyumbani cha msimu huu na uliopita kimewatesa sana wana simba walio wengi na nadhani kosa kubwa hapa kwa simba ni kukosea katika usajiri misimu yote miwili hii

Ubora wa Yanga hii na Simba kufungwa na Azam kumezidi kuibua chuki na hasira nyingi kwa mashabiki wa simba dhiri ya timu ya Yanga

Mifano ipo hai hata humu humu jf jukwaa la michezo someni hizo topics utaona nyingi ni simba wakiisema vibaya na kuiombea mabaya yanga!

Mechi iliyoisha Yanga alitoka suluhu simba walicheka na kushangilia sana...unajiuliza shida iko wapi?

Yanga anacheza kimataifa..anawakilisha taifa pia
Yanga ndiye bingwa wa nchi hata sasa,tena bingwa ambaye hajapoteza mchezo msimu unaenda wa pili huu...
Yanga ndiyo timu bora kuliko yeyote hapa afrika mashariki(na hili halina ubishi)
Kwanini somba wasikubali hayo?chuki za nini?hata akitolewa yanga huko Tunisia nini cha ajabu?barcelona huyoo anaenda europa kuna ajabu gani sasa?

Simba acheni chuki
Bado mnabebwa kwa kila namna,eti mnawewa msicheze hadi jumatano siku ambayo yanga anaingia dimbani.

Kuna tetesi kuwa mmefikia hatua ya kutumia nguvu za giza kuidhoofisha timu ya yanga na wachezaji wake wasipate matokeo katika michezo yake yote

Acheni hizo chezeni mpira mnashindwa hata na wale simba queens.ambao unawaona wanafight kutafuta matokeo
,

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Kwani hao Simba Queen Fc unaowalinganisha na Simba SC si Simba pia!!!???? Utopwa kuna namna hamko sawa vichwani.
 
Muosha huoshwa, nyie si ndio mlikuwa mnapokea watu airport?
Hivi kupokea watu Airport ni kosa? Au ni mara ya kwanza kufanyika? Mbona mnaifanya ionekane kama kitu cha ajabu sana?

Hili swala mbona lipo karibu Dunia nzima hasa kwa timu pinzani.
Misimu mi 2 nyuma mamelod alipokelewa Egypt pale na Zamalek.
 
Kimpira azam walimfunga yanga japo kimatokeo walidraw, kama una akili za kutosha hutabisha katika hili

Kimpira yanga alidraw na geita gold lakin kimatokeo yanga alishinda, kama una akili za kutosha hutabisha katika hili

Kwa mifano hiyo miwili, kaa, tulia jifikirie ni kwanini jicho la kimpira linatofutiana na matokeo yaliyopatikana?

Hapo ndipo utagundua kuwa ushindi au sare za yanga ndani yake kuna walakini wa kimpira na hapo mtaendelea kuumia linapokuja suala la michuano ambayo walakini wenu huo haufui dfu
Kimpira Msimu uliopita Simba alitoa sare na Geita pale Kwa Mkapa Kwa goli la kichwa la George mpole lililo kataliwa na refa bila Sababu, kimpira Azam walinyimwa ushindi na Penalty baada us Kibu kuudaka mpira ndani ya 18 ya Simba Kwa kuogopa kupigwa kanzu.
Kimpira Tanzania prison alitoka sare na Simba kwakua goli la Simba alilofunga Mkude mpira ulikua umesha toka nje kabla ya Kibu ku irudisha ndani na Mfungaji(Mkude) kunufaika na tukio ilo.
Yapo mengi ukitaka ntakufukulia
 
Kl
Kikosi cha Yanga isiyofungika nyumbani cha msimu huu na uliopita kimewatesa sana wana simba walio wengi na nadhani kosa kubwa hapa kwa simba ni kukosea katika usajiri misimu yote miwili hii

Ubora wa Yanga hii na Simba kufungwa na Azam kumezidi kuibua chuki na hasira nyingi kwa mashabiki wa simba dhiri ya timu ya Yanga

Mifano ipo hai hata humu humu jf jukwaa la michezo someni hizo topics utaona nyingi ni simba wakiisema vibaya na kuiombea mabaya yanga!

Mechi iliyoisha Yanga alitoka suluhu simba walicheka na kushangilia sana...unajiuliza shida iko wapi?

Yanga anacheza kimataifa..anawakilisha taifa pia
Yanga ndiye bingwa wa nchi hata sasa,tena bingwa ambaye hajapoteza mchezo msimu unaenda wa pili huu...
Yanga ndiyo timu bora kuliko yeyote hapa afrika mashariki(na hili halina ubishi)
Kwanini somba wasikubali hayo?chuki za nini?hata akitolewa yanga huko Tunisia nini cha ajabu?barcelona huyoo anaenda europa kuna ajabu gani sasa?

Simba acheni chuki
Bado mnabebwa kwa kila namna,eti mnawewa msicheze hadi jumatano siku ambayo yanga anaingia dimbani.

Kuna tetesi kuwa mmefikia hatua ya kutumia nguvu za giza kuidhoofisha timu ya yanga na wachezaji wake wasipate matokeo katika michezo yake yote

Acheni hizo chezeni mpira mnashindwa hata na wale simba queens.ambao unawaona wanafight kutafuta matokeo
,

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app

Kikosi cha Yanga isiyofungika nyumbani cha msimu huu na uliopita kimewatesa sana wana simba walio wengi na nadhani kosa kubwa hapa kwa simba ni kukosea katika usajiri misimu yote miwili hii

Ubora wa Yanga hii na Simba kufungwa na Azam kumezidi kuibua chuki na hasira nyingi kwa mashabiki wa simba dhiri ya timu ya Yanga

Mifano ipo hai hata humu humu jf jukwaa la michezo someni hizo topics utaona nyingi ni simba wakiisema vibaya na kuiombea mabaya yanga!

Mechi iliyoisha Yanga alitoka suluhu simba walicheka na kushangilia sana...unajiuliza shida iko wapi?

Yanga anacheza kimataifa..anawakilisha taifa pia
Yanga ndiye bingwa wa nchi hata sasa,tena bingwa ambaye hajapoteza mchezo msimu unaenda wa pili huu...
Yanga ndiyo timu bora kuliko yeyote hapa afrika mashariki(na hili halina ubishi)
Kwanini somba wasikubali hayo?chuki za nini?hata akitolewa yanga huko Tunisia nini cha ajabu?barcelona huyoo anaenda europa kuna ajabu gani sasa?

Simba acheni chuki
Bado mnabebwa kwa kila namna,eti mnawewa msicheze hadi jumatano siku ambayo yanga anaingia dimbani.

Kuna tetesi kuwa mmefikia hatua ya kutumia nguvu za giza kuidhoofisha timu ya yanga na wachezaji wake wasipate matokeo katika michezo yake yote

Acheni hizo chezeni mpira mnashindwa hata na wale simba queens.ambao unawaona wanafight kutafuta matokeo
,

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Umekula mihogo lakini?
 
Yaani uliposema Yanga ndiyo team bora Africa mashariki na kati alafu hukutoa references ku support hoja yako ndipo nikaona mwaka huu mashabiki wa Yanga mtapata wazimu.
 
Timu iliyokosea usajili ingekuwa makundi CAF..ila sishangai kuna mihogo mingine michungu inalevya.
 
images - 2022-11-02T222037.106.jpeg
 
Aliye wasaidia Simba Kwa 50% kuchukua ubingwa ni Makonda, Kitendo Cha Simba kumhujumu Manji kupitia Makonda kuli idhohofisha sana Yanga nikama walikua wakipigana na bondia aliyefungwa mikono.

Kwasasa Yanga na Simba zote Zina Matajiri na mzani ukiwa hivi, Simba hawezi kubeba kikombe chochote Cha mashindano kinacho andaliwa na Tff. Hii Hali itaishi Kwa miaka mingi ijayo.
Kilicho Baki ni malalamiko tu,hawana pa kujificha na Kadri siku zinavyo kwenda Yanga wanazidi kuimarisha timu na sehemu za ufundi.
Mbumbumbu fc watapata tabu sana.

ivi ndivyo akili zenu zilivyo na ndo uwezo wakufikiri umeishia hapo
 
Aliye wasaidia Simba Kwa 50% kuchukua ubingwa ni Makonda, Kitendo Cha Simba kumhujumu Manji kupitia Makonda kuli idhohofisha sana Yanga nikama walikua wakipigana na bondia aliyefungwa mikono.

Kwasasa Yanga na Simba zote Zina Matajiri na mzani ukiwa hivi, Simba hawezi kubeba kikombe chochote Cha mashindano kinacho andaliwa na Tff. Hii Hali itaishi Kwa miaka mingi ijayo.
Kilicho Baki ni malalamiko tu,hawana pa kujificha na Kadri siku zinavyo kwenda Yanga wanazidi kuimarisha timu na sehemu za ufundi.
Mbumbumbu fc watapata tabu sana.

ivi ndivyo akili zenu zilivyo na ndo uwezo wakufikiri umeishia hapo
 
Mashabiki wa utopolo na mihogo fc kwa sasa ni wa kuonewa huruma maana moja haikai mbili haisimami hapo kwao. Wanatafuta mada za kujifariji.
 
Aliye wasaidia Simba Kwa 50% kuchukua ubingwa ni Makonda, Kitendo Cha Simba kumhujumu Manji kupitia Makonda kuli idhohofisha sana Yanga nikama walikua wakipigana na bondia aliyefungwa mikono.

Kwasasa Yanga na Simba zote Zina Matajiri na mzani ukiwa hivi, Simba hawezi kubeba kikombe chochote Cha mashindano kinacho andaliwa na Tff. Hii Hali itaishi Kwa miaka mingi ijayo.
Kilicho Baki ni malalamiko tu,hawana pa kujificha na Kadri siku zinavyo kwenda Yanga wanazidi kuimarisha timu na sehemu za ufundi.
Mbumbumbu fc watapata tabu sana.
Mwiko unakuja huko tunisia
 

Attachments

  • 20221106_213922.jpg
    20221106_213922.jpg
    37.1 KB · Views: 2
Hivi unapata wapi guts za kujifananisha na Simba Sports Club?

Timu pekee inayofanya vizuri kuanzia timu yake ya Wanawake na ya Wanaume?

Mara ya mwisho Yanga kucheza Makundi ilikuwa bado naishi Kwa Wazazi hadi Sasa naishi kwangu na Wajukuu nimepata 🤪
 
Hivi kupokea watu Airport ni kosa? Au ni mara ya kwanza kufanyika? Mbona mnaifanya ionekane kama kitu cha ajabu sana?

Hili swala mbona lipo karibu Dunia nzima hasa kwa timu pinzani.
Misimu mi 2 nyuma mamelod alipokelewa Egypt pale na Zamalek.
sasa ntoa uzi analalamika nini?
 
Kikosi chenu ni fake , hakuna muunganiko.
Ushindi wenu ni wa kimagumashi tu wala hakuna maajabu.
Tigopesa Fc
 
Back
Top Bottom