Za ndani kabisa: Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Kampuni ya Simba SC haelewani na Afisa Mtendaji Mkuu wake

Taarifa za ndani ya Simba SC zinaripoti kuwa, Mwenyekiti wa bodi ya Wakurugenzi ya kampuni ya Simba SC, Abdallah Salim 'Try Again' haelewani na Afisa Mtendaji Mkuu wake Barbara Gonzalez kwenye uendeshaji wa mambo katika klabu hiyo. Inaelezwa MO Dewji anamkingia kifua CEO.

source: @FutbalPlanetUpdates
Wabongo wakibanwa mwanya wa kupiga Pesa za mchongo lazima wakutengenezee zengwe ionekane hufai, hata viongozi waafilifu huteseka Sana kutegewa mitego mingi ikiwemo mpaka ya kienyeji
 
Shida ya madam CEO inaweza kuwa KUBANA MATUMIZI KULIKOPITILIZA.

Imagine tumekaa muda kotambo hatuna kocha wa viungo na wa magolikipa. Tukakaa tena kitambo bila kocha mkuu (Mpaka sasa Mgunda ni KAUMU KOCHA MKUU)

Haya, matola ameondoka kwenda masomoni wakamvuta mgosi akae pale bench😂.


Hii BARBARA unu😔
 
Shida ya madam CEO inaweza kuwa KUBANA MATUMIZI KULIKOPITILIZA.

Imagine tumekaa muda kotambo hatuna kocha wa viungo na wa magolikipa. Tukakaa tena kitambo bila kocha mkuu (Mpaka sasa Mgunda ni KAUMU KOCHA MKUU)

Haya, matola ameondoka kwenda masomoni wakamvuta mgosi akae pale bench😂.


Hii BARBARA unu😔
Huyu Babra kila siku Yuko nje ya nchi sijui anabana matumizi Gani
 
Waambie wabishe tena
1670687170712.jpg
 
Taarifa za ndani ya Simba SC zinaripoti kuwa, Mwenyekiti wa bodi ya Wakurugenzi ya kampuni ya Simba SC, Abdallah Salim 'Try Again' haelewani na Afisa Mtendaji Mkuu wake Barbara Gonzalez kwenye uendeshaji wa mambo katika klabu hiyo. Inaelezwa MO Dewji anamkingia kifua CEO.

source: @FutbalPlanetUpdates
Ikawa kweli.
 
Back
Top Bottom