Naomba ushauri kwa alichofanya mke wangu

labda anahisi huko nje kuna ex atampenda zaidi yangu.. na hao watoto wa 3 majamaa yatapiga na kusepa.. sijui wanawake wanatakaga nini yaani..
 
Ameshazaa watoto watatu hata usiwe na shaka, yeye ndo anatakiwa kuwa na wivu na hofu ya kuibiwa kuliko wewe. Unless una udhaifu mkubwa.
 
Pole mkuu, inaweza kuwa ni tatizo na inaweza kuwa si tatizo vilevile, hii inategemea na wewe unaishi nae vipi I mean how you're treating her.

Kuhusu kuangalia kwa Google ma X zake, take easy mkuu, sisi binaadamu huwaga kuna vitu vingi sana vya ajabu tunafanya tukiwaga tupo wenyewe, wakati mwingine anataka kujua tu what hao ma X zake they are up to kwasasa. Anataka kujua wana maisha gani, wameoa au la, wana watoto etc.

Be a gentleman, acha kupekua mara kwa mara simu ya mwanamke, mueleze kama hujapenda alichokifanya na madhara yake kisha endelea na mishe zingine huku unasoma movements zake kiaina.
 
Huyu mwanamke nipo naye kwenye ndoa mwaka wa sita sasa na tuna watoto watatu. Nilikuwa napitia simu yake katika 'search history' ya Google nikashangaa sana kuona kama wiki mbili sasa anatafuta majina ya X zake tofauti tofauti.

Kwa kuwa ni mtu namfahamu muda mrefu na tulisoma wote, hao watu aliyokuwa akiwatafuta wengi wao ninawafahamu na walishakuwa kwenye mahusiano huko nyuma. Sasa nimeshangaa kuona kwanini anawatafuta ma X wake wa huko nyuma.

Je, kuna tukio anataka anipige nalo au ni nini? Naomba ushauri jamani.
Mimi nitakuwa dokta wako kwa leo. Kumbe hao anaowatafuta unajuwa kuwa aliwahi kuwa na mahusiano nao.Hilo ni tatizo maarufu kwa mwanamke aliyewahi kuwa katika mahusiano kabla yako.Ndio maana mtume wetu Muhammad rehema na amani zimshukie akatuhimiza tuoe wanawake wenye dini na bikra kwanza na wawe wazuri tuliowachagua.Kikawaida binadamu sote wake kwa waume kila mmoja ana upungufu wake.Hao wanawake bikra kutokana na umuhimu wao wamewekewa mihuri ya siri.Ukimpata huyo na mwenye dini basi atakuvumilia kwa mapungufu yako na wewe pia utamvumilia kwa mapungufu yake.Ukiacha hao bikra basi owa mwanamke aliyefiwa na mumewe yaani mjane.Na sio aliyemkimbia mumewe.
Hawa wanawake wa kuwa kwenye mahusiano halafu kwa sababu ndogo tu anakuja kwako hawaaminiki.
 
Mimi nitakuwa dokta wako kwa leo. Kumbe hao anaowatafuta unajuwa kuwa aliwahi kuwa na mahusiano nao.Hilo ni tatizo maarufu kwa mwanamke aliyewahi kuwa katika mahusiano kabla yako.Ndio maana mtume wetu Muhammad rehema na amani zimshukie akatuhimiza tuoe wanawake wenye dini na bikra kwanza na wawe wazuri tuliowachagua.Kikawaida binadamu sote wake kwa waume kila mmoja ana upungufu wake.Hao wanawake bikra kutokana na umuhimu wao wamewekewa mihuri ya siri.Ukimpata huyo na mwenye dini basi atakuvumilia kwa mapungufu yako na wewe pia utamvumilia kwa mapungufu yake.Ukiacha hao bikra basi owa mwanamke aliyefiwa na mumewe yaani mjane.Na sio aliyemkimbia mumewe.
Hawa wanawake wa kuwa kwenye mahusiano halafu kwa sababu ndogo tu anakuja kwako hawaaminiki.

Asante sana mkuu.. nilijua madhaifu yake huko nyuma na kukubali kumuoa na kiukweli hakuwa bikra wakati nakutana naye. Ila nilimpenda sana lakini sasa ndio naona mapungufu ya kuoa mwanamke ambae alishawahi kuwa kwenye mahusiano.. muda mwingine anakaa anawamiss watu wake wa zamani. Hii ni hatari sana kwenye ndoa, ukizingatia anaweza akaharibu ndoa yake kwa tamaa tu ya kutaka kummiss ex wake..
 
Pole mkuu, inaweza kuwa ni tatizo na inaweza kuwa si tatizo vilevile, hii inategemea na wewe unaishi nae vipi I mean how you're treating her.

Kuhusu kuangalia kwa Google ma X zake, take easy mkuu, sisi binaadamu huwaga kuna vitu vingi sana vya ajabu tunafanya tukiwaga tupo wenyewe, wakati mwingine anataka kujua tu what hao ma X zake they are up to kwasasa. Anataka kujua wana maisha gani, wameoa au la, wana watoto etc.

Be a gentleman, acha kupekua mara kwa mara simu ya mwanamke, mueleze kama hujapenda alichokifanya na madhara yake kisha endelea na mishe zingine huku unasoma movements zake kiaina.

Asante pia, sio kwamba nilikua napekua simu yake ila ilitokea tu kwamba nilimuomba simu yake nisearch kitu google kwa kuwa yeye anatumia mtandao tofauti na mimi hivyo internet yake ipo fasta kwa eneo tunaloishi.. ndio akanipa simu yake ile naingia tu google naanza kuona majina ya watu tena mmoja baada ya mwingine.. nilishtuka sana..
 
Mimi nitakuwa dokta wako kwa leo. Kumbe hao anaowatafuta unajuwa kuwa aliwahi kuwa na mahusiano nao.Hilo ni tatizo maarufu kwa mwanamke aliyewahi kuwa katika mahusiano kabla yako.Ndio maana mtume wetu Muhammad rehema na amani zimshukie akatuhimiza tuoe wanawake wenye dini na bikra kwanza na wawe wazuri tuliowachagua.Kikawaida binadamu sote wake kwa waume kila mmoja ana upungufu wake.Hao wanawake bikra kutokana na umuhimu wao wamewekewa mihuri ya siri.Ukimpata huyo na mwenye dini basi atakuvumilia kwa mapungufu yako na wewe pia utamvumilia kwa mapungufu yake.Ukiacha hao bikra basi owa mwanamke aliyefiwa na mumewe yaani mjane.Na sio aliyemkimbia mumewe.
Hawa wanawake wa kuwa kwenye mahusiano halafu kwa sababu ndogo tu anakuja kwako hawaaminiki.
Mkuu hakunaga formula ya kuishi na mwanamke na wala hakuna criteria ya mwanamke bora.

Mwanamke bikra ni mzr kwako psychologically sababu unaamini wewe ndy wa kwanza kulala nae, hii ni kweli lkn kwa kipindi kifupi tu, mara nyingi wanawake wa hv wewe ndy huanza kumfundisha kila kitu, ila siku isiyo na Jina lazima atataka ajue mwanaume wengine wana radha gani sy lazima muwe mnagombana au umemkosea ni curiosity tu ya binaadamu. Sasa usiombe akutane na vitu vitamu kwa mwingine muzee... ! Ni kama dada wa kazi tu day 1 anafika kwako toka village atakuwa na adabu, atakuamkia kutwa mara 10, ukienda sokoni ukirudi shikamoo, ukitoka kwenda chumbani na kurudi sebuleni shikamoo, mwanzoni atavaa nguo zinaburuza ila kadri siku zinavyoenda na yeye aonekane wa town ataanza vaa jeans na suruali mara vimini.

Lakini wanawake waliofanya yooote wakamaliza huwaga wanaona hakunaga jipya, so wengi huwaga watulivu zaidi wakipata health relationship.
 
Asante sana mkuu.. nilijua madhaifu yake huko nyuma na kukubali kumuoa na kiukweli hakuwa bikra wakati nakutana naye. Ila nilimpenda sana lakini sasa ndio naona mapungufu ya kuoa mwanamke ambae alishawahi kuwa kwenye mahusiano.. muda mwingine anakaa anawamiss watu wake wa zamani. Hii ni hatari sana kwenye ndoa, ukizingatia anaweza akaharibu ndoa yake kwa tamaa tu ya kutaka kummiss ex wake..
kwa sababu dozi ya mwanzo imefanya kazi vizuri ngoja nikupe dawa ya mwisho ya kumaliza tatizo lako. Naungana na mwenzangu hapo juu aliyekutaka uwache kufuatilia simu za mkeo.Kufanya hivyo unakaribisha shaka nyingi ambazo iblisi huwa anazifanyia kazi. Iwapo kweli umemuoa na sio kwamba unaishi naye basi usifikirie kumwacha na wala uizipe kipaumbele shaka zake.Hata siku ukiona jina la mwanamme mwengine wewe muulize tu kwa ustaarabu huyu wa nini hapa na wewe ni mke wa watu. Mwanamke anaweza akajidai sana kutaja watu nje ya ndoa kuwa atakwenda kwao hata leo ukimwacha.Hizo ni hasira za kike zipuuze.Muhimu chunga sana asije akamleta huyo anayemtaja kwako iwe ni kwa maneno tu.
Mwanamke anayewachwa huwa anatia huruma sana.Kule anakotaka haendi na huku kwako hakurudiki mwishowe anakuwa ovyo na kunyong'onyea.Kama kweli ulimpenda unaweza ukalia ukimuona anavyodhalilika.
 
Anzisha Akaunti fake ya Facebook, weka jina la moja ya Maex aliowatafuta, weka Picha moja tuu ya ex huyo.
Kisha muombe Friend request huyo Mkeo.

Alafu kausha. Usikilizie upepo wake.

Kama atakutext usiwe mwepesi kumjibu, mjibu Kwa kuchelewa hasa akiwa offline.
Kisha sikilizia anakusudio gani,
Akianza kujilengesha mwambie jinsi unavyompenda alafu mwambie unatamani kuonana naye. Hakikisha usiwe unajibu papohapo.

Alafu mpige kizinga cha elfu 15.
Kisha ukirudi jioni Mpe Mkeo Tsh elfu 30 kama zawadi.
Alafu Asubuhi yake ukitoka mtumie namba isiyo na jina lako akutumie.
Jaribu kuongea maneno mazuri ya kumchochea huruma yake na akumbuke mambo mazuri yako. Kisha kausha.

Alafu leta majibu hapa.
Zoezi Hilo lisiende kila siku ili kuzuia kushtukiwa. Fanya walau Kwa mwezi mmoja.
 
Haupo sahihi kama unaelewa BROWSE HISTORY inavyokiwa kikawaida mtu akiwa ana browse mtandaoni kama hafanyi kitu specific kama biashara basi br9wse yake inakuwa randoly Sana 90% ya history za mtu zikiangaliwa na mtu qmwengine atona makosa na ushukuru ujaona XXX ungemfikilia bibaya ila ukweli ni privacy yabmtu kaaamua ni search hiki hiki

Ichukue browse history yako ya miezi mitano then muoneshe mkeo huone kama hatopata makosa

Ungemkuta na message binafsi kweli ila HISTORY
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom