Joto la sasa la Dar linaweza vunja rekodi

Huu ndio muda wa joto mkuu tropiki ya kaprikoni na maeneo ya karibu sababu ya jua la utosi na maandalizi ya mvua za masika...

Jua sasa hivi linachapa kweli kweli huku likivukisha maji kwenda mawinguni kutengeneza precipitation itayokuja kuwa mvua miezi kadhaa ijayo...(Jiografia sijui standard gani ile )
Nawashangaa sana wanaosema eti miaka ya nyuma December haikuwa na joto. Kuna watu hawako informed kabisa. Hiki ni kipindi cha joto, nyuzi 30-35c ni kawaida kwa mji kama Dar ni wewe kujua namna ya kujikinga na hilo joto.
 
Wewe utakuwa mgeni Dar. Miaka yote joto Dar linakuwa kuanzia December hadi March wiki ya 2 au ya 3 kabla ya mvua za masika kuanza. Generally December, January na February ni miezi ya joto pwani yote ya Tanzania especially Dar
Kuna watu wanaongea vitu wasio na uhakika navyo, eti December haikuwa na joto labda wanazungumzia nchi za magharibi huko USA,UK etc
 
Nawashangaa sana wanaosema eti miaka ya nyuma December haikuwa na joto. Kuna watu hawako informed kabisa. Hiki ni kipindi cha joto, nyuzi 30-35c ni kawaida kwa mji kama Dar ni wewe kujua namna ya kujikinga na hilo joto.

Heri ya mwaka mpya kamanda...
 
Habari wadau.

Joto la Dar sasa hivi linarange kati ya 33 • C hadi 35•C lakini unapata feeling ya 41•C kutokana na humidity.

Kwa kweli hali hii ni mbaya sana ambayo kama huna air condition iwe kwenye usafiri au nyumbani kwako kwako maisha yatakuwa ya taabu sana.

Tips muhimu za kuishi maisha ya hali hii ya joto ni pamoja na;

1. kunywa maji na vimiminika kwa wingi
2. Kuepuka kukaa kwenye jua moja kwa moja
3. Kuvaa nguo nyepesi

Hope TMA wataliongelea hili and hope hizotips zimesaidia
View attachment 2858039

Hiyo 41 cha mtoto, ulishawahi kwenda uarabuni! Kuna nchi nyuzi joto inafika 50 na ushee, ndio maana wakija huku wanaona kawaida tu.
 
Wewe utakuwa mgeni Dar. Miaka yote joto Dar linakuwa kuanzia December hadi March wiki ya 2 au ya 3 kabla ya mvua za masika kuanza. Generally December, January na February ni miezi ya joto pwani yote ya Tanzania especially Dar
Hii ni hali ya joto ya December mwaka jana. Ni vyema tukaongea vitu kwa takwimu na siyo hisia.
IMG_20240102_142225.jpg
IMG_20240102_142436.jpg
IMG_20240102_142421.jpg
 
Kiongozi mimi nimefunga A/C chumbani kwangu nnafeni vyumba vya watoto na friji umeme wa 5000 kwa siku unaisha ambapo ni unit 14 kwa siku sasa huyu ananiambia unit tatu kwa siku ? Aisee maana nimefatilia kama utawasha A/c masaa yote na vitu vingine basi kila lisaa inaweza ikala unit moja
Yaani nilitaka nitafute fundi AC aisee, maana me kwa kawaida nikiwasha AC kwa masaa 4 tu unit 5 mpaka 7 zinakatika
 
Hivi chumba cha 5 x6m kinahitaji ac ta btu ngapi?
1. Kama ukuta wa chumba haupigwi sana na jua na kuchemka. 2. Hukai ghorofani top floor yenye paa la zege tu 3. Uchumi wa kawaida sana, Btu 9000 inatosha. Kinyume chake chukua btu 1200. Hakikisha ni inverter.
 
1. Kama ukuta wa chumba haupigwi sana na jua na kuchemka. 2. Hukai ghorofani top floor yenye paa la zege tu 3. Uchumi wa kawaida sana, Btu 9000 inatosha. Kinyume chake chukua btu 1200. Hakikisha ni inverter.
Inveter ndio kitu gani mazee
 
Back
Top Bottom