RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 52,132
- 109,153
Nawashangaa sana wanaosema eti miaka ya nyuma December haikuwa na joto. Kuna watu hawako informed kabisa. Hiki ni kipindi cha joto, nyuzi 30-35c ni kawaida kwa mji kama Dar ni wewe kujua namna ya kujikinga na hilo joto.Huu ndio muda wa joto mkuu tropiki ya kaprikoni na maeneo ya karibu sababu ya jua la utosi na maandalizi ya mvua za masika...
Jua sasa hivi linachapa kweli kweli huku likivukisha maji kwenda mawinguni kutengeneza precipitation itayokuja kuwa mvua miezi kadhaa ijayo...(Jiografia sijui standard gani ile )