Simba SC wanaenda kuharibu

Mbabani

JF-Expert Member
Jun 20, 2022
1,171
3,359
Habari wanamichezo.

Hivi karibuni zimeibuka tetesi Simba SC wanahitaji kuajiri kocha mkuu na kocha anaepewa nafasi kubwa ni yule Mbrazil wa Vipers.

Kwa mtazamo wangu naona Simba SC wanajiandaa kuivuruga timu na kuanza moja.

Kuhitaji kocha mpya kwa sasa huku timu ikiwa kwenye mbio za ubingwa ni kurudisha nyuma maendeleo ya timu hasa kiuchezaji, bado siku 40+ michuano ya klabu bingwa ianze je Simba SC wanatarajia nini?

Ikumbukwe ujio wa kocha mpya kwa sasa kunaweza kuathiri viwango vya baadhi ya wachezaji hivyo kupelekea timu kufeli kufikia malengo.

Kocha Mgunda anatosha vyema, kinachotakiwa kwa sasa Simba ni kujaza nafasi walizo puyanga katika usajili wa dirisha kubwa. Kikosi cha Simba kimekosa Mshambuliaji mahiri na kiungo mkabaji mahiri.

Wachezaji hawa walikuja kujaza nafasi tu ila viwango vyao ni vya kawaida.

1. Dejan (Mshambuliaji) ameshaondoka.
2. Outtara (beki wa kati)
3. Nelson Okwa (Kiungo mshambuliaji)
4. Victor Akpan (Kiungo mkabaji) usajili mbovu kabisa (uwezo anazidiwa na Majogoro)

Iwapo Simba SC itasajili wachezaji wa viwango vya juu kuziba nafasi hizo 4 ambapo nafasi moja tayari Ntibazonkiza ameshasajiliwa basi haina haja ya kocha mpya.

Watu wanaohusika kwenye usajili watazame pia nafasi hizi:-

1. Beki wa kulia (Kapombe hana mbadala sahihi)

2. Beki wa kushoto (Gadiel Michael uwezo wake umeshuka)

3. Beki wa Kati (Onyango sio kuaminika sana, Kennedy amefeli kushindana na Onyango)

4. Kiungo Mkabaji wa viwango vya CAF (hizi tetesi za kutaka kumsajili Nashon wa Geita Gold naona Simba hawapo siriazi kabisa)

Mgunda akipewa wachezaji sahihi na imani ataifikisha timu mbali.

Kama ni habari za kocha mpya, subirini msimu uishe ndiyo muajiri kocha mpya lakini pia aje na wasaidizi wake.
 
Habari wanamichezo.

Hivi karibuni zimeibuka tetesi Simba SC wanahitaji kuajiri kocha mkuu na kocha anaepewa nafasi kubwa ni yule Mbrazil wa Vipers.

Kwa mtazamo wangu naona Simba SC wanajiandaa kuivuruga timu na kuanza moja.

Kuhitaji kocha mpya kwa sasa huku timu ikiwa kwenye mbio za ubingwa ni kurudisha nyuma maendeleo ya timu hasa kiuchezaji, bado siku 40+ michuano ya klabu bingwa ianze je Simba SC wanatarajia nini?

Ikumbukwe ujio wa kocha mpya kwa sasa kunaweza kuathiri viwango vya baadhi ya wachezaji hivyo kupelekea timu kufeli kufikia malengo.

Kocha Mgunda anatosha vyema, kinachotakiwa kwa sasa Simba ni kujaza nafasi walizo puyanga katika usajili wa dirisha kubwa. Kikosi cha Simba kimekosa Mshambuliaji mahiri na kiungo mkabaji mahiri.

Wachezaji hawa walikuja kujaza nafasi tu ila viwango vyao ni vya kawaida.

1. Dejan (Mshambuliaji) ameshaondoka.
2. Outtara (beki wa kati)
3. Nelson Okwa (Kiungo mshambuliaji)
4. Victor Akpan (Kiungo mkabaji) usajili mbovu kabisa (uwezo anazidiwa na Majogoro)

Iwapo Simba SC itasajili wachezaji wa viwango vya juu kuziba nafasi hizo 4 ambapo nafasi moja tayari Ntibazonkiza ameshasajiliwa basi haina haja ya kocha mpya.

Watu wanaohusika kwenye usajili watazame pia nafasi hizi:-

1. Beki wa kulia (Kapombe hana mbadala sahihi)

2. Beki wa kushoto (Gadiel Michael uwezo wake umeshuka)

3. Beki wa Kati (Onyango sio kuaminika sana, Kennedy amefeli kushindana na Onyango)

4. Kiungo Mkabaji wa viwango vya CAF (hizi tetesi za kutaka kumsajili Nashon wa Geita Gold naona Simba hawapo siriazi kabisa)

Mgunda akipewa wachezaji sahihi na imani ataifikisha timu mbali.

Kama ni habari za kocha mpya, subirini msimu uishe ndiyo muajiri kocha mpya lakini pia aje na wasaidizi wake.
Kwa hiyo umeanzisha uzi kutokana na tetesi? Kumbuka Simba ndio timu pekee ambayo taarifa zake za usajili huwa hazivuji.
 
Simba iko vizuri tatizo ni mayele tu,bila mayele simba ingekuwa inaongoza ligi,angalia goal difference ya simba ndio utajua simba iko vizuri.
Mayele afanyiwe figisu auzwe au akae bench kama phiri
Yanga bila mayele kocha wao angeshafukuzwa
Mna roho mbaya sana. Mipango yenu miovu juu ya mayele imebuma sasa mnakuja na suala la kuuzwa.
Eti figisu auzwe. Mnataka mumuuze wapi, Kaizer Chiefs?
 
Mna roho mbaya sana. Mipango yenu miovu juu ya mayele imebuma sasa mnakuja na suala la kuuzwa.
Eti figisu auzwe. Mnataka mumuuze wapi, Kaizer Chiefs?
Hatumtaki nchini aende hata china huko kwani lazima achezee bongo,yule ndio anafanya simba ionekane mbovu,nina imani hata kocha nabi anamshukuru sana ,
Anatakiwa kuvunjwa mguu au atafute nchi ya kuchezea
 
Simba iko vizuri tatizo ni mayele tu,bila mayele simba ingekuwa inaongoza ligi,angalia goal difference ya simba ndio utajua simba iko vizuri.
Mayele afanyiwe figisu auzwe au akae bench kama phiri
Yanga bila mayele kocha wao angeshafukuzwa
Au kama vipi Mo apande dau amsajili huyo Mayele, ili asaidiane na Kibu Dennis. Hela si ipo?

Hayo mawazo ya kumvunja mguu, achana nayo. Maana yamekaa kichawi chawi hivi!
 
Habari wanamichezo.

Hivi karibuni zimeibuka tetesi Simba SC wanahitaji kuajiri kocha mkuu na kocha anaepewa nafasi kubwa ni yule Mbrazil wa Vipers.

Kwa mtazamo wangu naona Simba SC wanajiandaa kuivuruga timu na kuanza moja.

Kuhitaji kocha mpya kwa sasa huku timu ikiwa kwenye mbio za ubingwa ni kurudisha nyuma maendeleo ya timu hasa kiuchezaji, bado siku 40+ michuano ya klabu bingwa ianze je Simba SC wanatarajia nini?

Ikumbukwe ujio wa kocha mpya kwa sasa kunaweza kuathiri viwango vya baadhi ya wachezaji hivyo kupelekea timu kufeli kufikia malengo.

Kocha Mgunda anatosha vyema, kinachotakiwa kwa sasa Simba ni kujaza nafasi walizo puyanga katika usajili wa dirisha kubwa. Kikosi cha Simba kimekosa Mshambuliaji mahiri na kiungo mkabaji mahiri.

Wachezaji hawa walikuja kujaza nafasi tu ila viwango vyao ni vya kawaida.

1. Dejan (Mshambuliaji) ameshaondoka.
2. Outtara (beki wa kati)
3. Nelson Okwa (Kiungo mshambuliaji)
4. Victor Akpan (Kiungo mkabaji) usajili mbovu kabisa (uwezo anazidiwa na Majogoro)

Iwapo Simba SC itasajili wachezaji wa viwango vya juu kuziba nafasi hizo 4 ambapo nafasi moja tayari Ntibazonkiza ameshasajiliwa basi haina haja ya kocha mpya.

Watu wanaohusika kwenye usajili watazame pia nafasi hizi:-

1. Beki wa kulia (Kapombe hana mbadala sahihi)

2. Beki wa kushoto (Gadiel Michael uwezo wake umeshuka)

3. Beki wa Kati (Onyango sio kuaminika sana, Kennedy amefeli kushindana na Onyango)

4. Kiungo Mkabaji wa viwango vya CAF (hizi tetesi za kutaka kumsajili Nashon wa Geita Gold naona Simba hawapo siriazi kabisa)

Mgunda akipewa wachezaji sahihi na imani ataifikisha timu mbali.

Kama ni habari za kocha mpya, subirini msimu uishe ndiyo muajiri kocha mpya lakini pia aje na wasaidizi wake.
Umeongea fact sana ......japo Mimi siyo kolo wizard fans lkn kumleta kocha mpya katikati ya mbio za ubingwa ni kitu hatari.....

Kwanza ataanza kugawa wachezaji

Itachukua muda kuimaster league

Figisu Kwa makocha aliowakuta

Baadae mje mseme GSM anahusika kumleta ubingwa kwa wananchiiii....
 
Hatumtaki nchini aende hata china huko kwani lazima achezee bongo,yule ndio anafanya simba ionekane mbovu,nina imani hata kocha nabi anamshukuru sana ,
Anatakiwa kuvunjwa mguu au atafute nchi ya kuchezea
Mayele analindwa na Mungu, muumba mbingu na nchi, hiyo mipango yenu miovu itawarudia nyinyi wenyewe. Phiri, Isra, Banda, Inonga, na mkiendelea tena wataongezeka watano.
 
Mgunda ni kocha mzuri sana kwa team avarage za ligi yetu lkn siyo Simba.

Huwaga team ikizidiwa anakosa mbinu sahihi za haraka kuinusuru team.

Mgunda anabebwa na ubora na uzoefu wa wachezaji, tunataka kocha ambae yuko dynamic kwenye mbinu na siyo mwenye mbinu 1 au 2 zikifeli basi.
 
Siungi mkono hoja yako mgunda ni kocha mzuri sana but kocha ambae timu ikizidiwa hana plan B wana simba tusijidanganye kuzifunga de agosto na big bullets zle timu za kawaida sana tangu mgunda apewe timu sijah kuoana akifanya hata sub technically
 
Mgunda ni kocha mzuri sana kwa team avarage za ligi yetu lkn siyo Simba.

Huwaga team ikizidiwa anakosa mbinu sahihi za haraka kuinusuru team.

Mgunda anabebwa na ubora na uzoefu wa wachezaji, tunataka kocha ambae yuko dynamic kwenye mbinu na siyo mwenye mbinu 1 au 2 zikifeli basi.
Yeah upo sahihi kocha hana plan B nashangaa wanasimba wenzangu wanakwama wap hawana jicho la mpira ni kocha mzuri iLa hapana kwa kweLi
 
Habari wanamichezo.

Hivi karibuni zimeibuka tetesi Simba SC wanahitaji kuajiri kocha mkuu na kocha anaepewa nafasi kubwa ni yule Mbrazil wa Vipers.

Kwa mtazamo wangu naona Simba SC wanajiandaa kuivuruga timu na kuanza moja.

Kuhitaji kocha mpya kwa sasa huku timu ikiwa kwenye mbio za ubingwa ni kurudisha nyuma maendeleo ya timu hasa kiuchezaji, bado siku 40+ michuano ya klabu bingwa ianze je Simba SC wanatarajia nini?

Ikumbukwe ujio wa kocha mpya kwa sasa kunaweza kuathiri viwango vya baadhi ya wachezaji hivyo kupelekea timu kufeli kufikia malengo.

Kocha Mgunda anatosha vyema, kinachotakiwa kwa sasa Simba ni kujaza nafasi walizo puyanga katika usajili wa dirisha kubwa. Kikosi cha Simba kimekosa Mshambuliaji mahiri na kiungo mkabaji mahiri.

Wachezaji hawa walikuja kujaza nafasi tu ila viwango vyao ni vya kawaida.

1. Dejan (Mshambuliaji) ameshaondoka.
2. Outtara (beki wa kati)
3. Nelson Okwa (Kiungo mshambuliaji)
4. Victor Akpan (Kiungo mkabaji) usajili mbovu kabisa (uwezo anazidiwa na Majogoro)

Iwapo Simba SC itasajili wachezaji wa viwango vya juu kuziba nafasi hizo 4 ambapo nafasi moja tayari Ntibazonkiza ameshasajiliwa basi haina haja ya kocha mpya.

Watu wanaohusika kwenye usajili watazame pia nafasi hizi:-

1. Beki wa kulia (Kapombe hana mbadala sahihi)

2. Beki wa kushoto (Gadiel Michael uwezo wake umeshuka)

3. Beki wa Kati (Onyango sio kuaminika sana, Kennedy amefeli kushindana na Onyango)

4. Kiungo Mkabaji wa viwango vya CAF (hizi tetesi za kutaka kumsajili Nashon wa Geita Gold naona Simba hawapo siriazi kabisa)

Mgunda akipewa wachezaji sahihi na imani ataifikisha timu mbali.

Kama ni habari za kocha mpya, subirini msimu uishe ndiyo muajiri kocha mpya lakini pia aje na wasaidizi wake.
Umeongea sahihi sana tena kiuanamichezo
 
Mgunda ni kocha mzuri sana kwa team avarage za ligi yetu lkn siyo Simba.

Huwaga team ikizidiwa anakosa mbinu sahihi za haraka kuinusuru team.

Mgunda anabebwa na ubora na uzoefu wa wachezaji, tunataka kocha ambae yuko dynamic kwenye mbinu na siyo mwenye mbinu 1 au 2 zikifeli basi.
Anabebwa na tiGO Pesa mkuu
 
Back
Top Bottom