na danford
raia mmoja nchini pakistan amenusurika kifo baada ya kutoa ushuzi wenye sauti kubwa uliodhaniwa ni bomu.taarifa kutoka kwa mtu huyo aliyenusurika kifo amesema kuwa alivyoona amebanwa sana na majambazi waliotaka kumua kwa mapanga aliamua kujamba.majambazi hao ambao anasema walikuwa...
By danford
Baadhi ya wasanii wa Bongo fleva wakiwa kwenye mkutano.
Duh! Kama ulikuwa unaamini kuwa lile bifu la wakali wawili wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ?Diamond Platnumz? na Ali Saleh Kiba, limekwisha, basi umenoa baada ya jamaa hao kukutana ukumbini na kuchuniana.
Ishu hiyo ilijiri kwenye...
By danford
kuna jamaa mmoja kila siku anapita na gari yaje bank usiku then anapiga honi mlinzi akitoka jamaa anaondoka
baada ya kupita muda yule mlinzi akakasirika maana jamaa anamsumbua.. siku moja akamuwekea mtego mpaka
akamkamata.
mlinzi: kwa nini kila siku unapita hapa unanipigia honi...
Jamani danford nataka niwatume Ulaya na Marekani mara muende mkawatafute hawa wachagga warudi Kilimanjaro tangu wameondoka hawataki kurudi kwao Kilimanjaro na Krismas ndiyo imekaribia waje kuhesabiwa majina yao haya hapa
>R KELLY MUSHI
>BEYONCE MINJA
>JAY Z KILEO
>RONALDO MOSHA
>LADY GAGA...
kwa jina natwa danforHeri ya Mwaka Mpya wataalamu na wadau wote wa jukwaa hili.
Nimesoma kwa masikitiko makubwa kwamba Microsoft watasimamisha support ya Windows xp mwezi wa nne mwaka huu.
Hizi habari kwangu ni pigo kubwa kwa sababu mimi ni mpenzi mkubwa wa windows xp. Nimetokea kuipenda sana...
ukitaka kuwa hacker computer yeyote inakufaa ila angalia yenye uwezo zaidi kama hii unaweza kuchukua computer ya dell au hp zenye uwezo huu
,?processor pentium d au r yenye kuanzia 2.8 ghz kwenda juu/ram chukua kuanzia 1gb na angalau iweze kubeba window 7 ok na mengneyo kama ukubwa betri na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.