Laptop ipi itanifaa kati ya hizi ?

Habari wana jukwaa, Leo nilikwenda town (city center) kununua new brand laptop. Baada ya kupitia maduka kadhaa kuna brand kama 4 hivi nimevutiwa nazo japo specifications zake zinafanana lakini zimatofautiana bei, nikaamua nisitishe zoezi kwanza ili nipate ushauri.

Brand nilizopata ni Dell 3521, processor, INTEL CORE i3 ambayo bei yake ni 635,000, Hp 2000 INTEL CORE bei yake ni 510,000, Accer E1-531, INTEL DUAL CORE, bei yake ni 515,000, na Lenovo G500 INTEL CELERON, bei yake ni 520,000.

Specifications zake nyingine zinafanana: screen ni 15.6", Ram 2 gb hdd 500 gb.

Naombeni ushauri nichukue ipi ambayo haina usumbufu.chukua dell mzee by danford
 
Baada ya kutumia Dell kwa mwaka mmoja, sina hamu nayo tena! Mbaya zaidi natembelea Dell Community Page nakuta tatizo langu na issue ya wateja wengi, hapo hapo nika-conclude kwangu haikuwa bahati mbaya but the problem with Dell is there!!!

dell zipo bomba tofauti na hp na toshiba.. matatizo ni mengi kwa vile dell wameuza mashine kwa wingi sana.. na pia forum yao ni ya uhakika.. yaani ina members wengi. ishu tu ya driver and support portal ya dell ni mwisho wa matatizo. hebu nenda katafute driver ya hp kwenye portal yao uone ilivyo ovyo. dell wanakupa full info kuhusu product husika sio kama hizo brand zingine.
 
Fahari ya macho..Nataka nivute one of these beautiful ladies
Screenshot_20181114-081617.jpeg
Screenshot_20181114-081310.jpeg
Screenshot_20181113-224343.jpeg
inauzwa-20181112-0001.jpeg
laptopcitytanzania_-20181113-0001.jpeg
dar_laptops-20181113-0001.jpeg
dar_laptops-20181113-0005.jpeg
laptopcitytanzania_-20181113-0002.jpeg
 
Habari wana jukwaa, Leo nilikwenda town (city center) kununua new brand laptop. Baada ya kupitia maduka kadhaa kuna brand kama 4 hivi nimevutiwa nazo japo specifications zake zinafanana lakini zimatofautiana bei, nikaamua nisitishe zoezi kwanza ili nipate ushauri.

Brand nilizopata ni Dell 3521, processor, INTEL CORE i3 ambayo bei yake ni 635,000, Hp 2000 INTEL CORE bei yake ni 510,000, Accer E1-531, INTEL DUAL CORE, bei yake ni 515,000, na Lenovo G500 INTEL CELERON, bei yake ni 520,000.

Specifications zake nyingine zinafanana: screen ni 15.6", Ram 2 gb hdd 500 gb.

Naombeni ushauri nichukue ipi ambayo haina usumbufu.
Unataka kwa ajili ya matumizi yapi mostly...? Nitarudi...
 
Shida ya dell feni yake imegeukia chini kwa huo ukiweka Sehemu kama kitanda ni inaoverheat ila HP ina feni na vents pembeni,
 
Shida ya dell feni yake imegeukia chini kwa huo ukiweka Sehemu kama kitanda ni inaoverheat ila HP ina feni na vents pembeni,

laptop Fan zote zimegeukia chini(Horizontal), ila tofauti ni upande wa Vents. Laptop nyingi zina inlet -Vent kwa chini na outlet-vent kwa pembeni au nyuma.
 
Back
Top Bottom