Nimekumbuka mbaaaaali hasaaa mji wa NOVOSIBIRSK ndan ya NOVOSIBIRSK OBLAS
Kuna masanga ni hatar kama watumiaji wa masanga bas wapo hapo,
Jamaa hiyo mitaa ya mablack wanapokwenda kuburudika utakutana na wabongo wengi tu ila wanaigeria ni wengi zaid hapo. Na wapo ambao wana marafiki wabongo na...
NADHANI,LABDA,HUENDA,INAWEZEKANA NDIO WENYE UWEZO MKUBWA WA KUTUMIA SMART PHONE HALAFU SI UNAJUA KUWA WALINUNUA SMART LILE BOOM LA KWANZA, KWA HIYO WANA MAUJANJA YA KUTUMIA SMART KITAMBOOOOOO!!!!????
nimekufuatilia vzr kama huwa unaachwa with no reasons, una tatzo na jini mahaba yaan pepo la ngono ambalo halihitaji uendelee na mahusiano na wanaume wengine so waweza ni pm namba yako au utafte mtumishi wa MUNGU aliye nguvu za kuharibu huyo pepo.
Msaada zaid upo ila nawe ubadilike na kuishi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.