Hatimaye Damu yetu haikumwagika Bure Uganda, Tunalipwa!

Huu Ni Ujinga Wa hali Ya Juu, Rais Mseven ameona kwamba Kenya tayari imegundua Mafuta yake ardhini, hivyo akapiga hesabu za haraka akaona aweke Bomba hili kuanzia Tanzania-Tanga kama danganya toto, kumbuka Uganda nayo imegundua mafuta, sasa mahesabu ya Mseven ni kwamba, mara tu uzalishaji utakapoanza Uganda, bomba hilo hilo pia litumike kusambaza mafuta yake Tanzania na kutuuzia, hivyo Uganda ndo itapata faida, maana Tutanunua mafuta kutoka kwake, vile vile Tutalipia hilo Bomba lake, hivyo wataalamu wa Uganda, kimahesabu ni kwamba watakuwa wameipiku Kenya au kuiwahi kwa kuteka soko la Tanzania.
Haya mwana uchumi wetu, mfano bomba hilo lingepitishwa Kenya badala ya Tz, tungepata faida na hasara zipi? Vipi likipitishwa Tanzania, kuna faida na hasara zipi?
 
Structured conversation is based on ....
What...?--->So What...?--->Now What...?
=====================
Tukirudi kwenye mada. Tunahitaji justification ya utengenezwaji wa ajira...na tujue hizo ajira zitakuwa za kudumu ama za muda mfupi?


Tuseme ni za muda mfupi, kwa hiyo tuahirishe na tuwakatalie waganda kupitisha Bomba lao kwetu au?
 
Huu Ni Ujinga Wa hali Ya Juu, Rais Mseven ameona kwamba Kenya tayari imegundua Mafuta yake ardhini, hivyo akapiga hesabu za haraka akaona aweke Bomba hili kuanzia Tanzania-Tanga kama danganya toto, kumbuka Uganda nayo imegundua mafuta, sasa mahesabu ya Mseven ni kwamba, mara tu uzalishaji utakapoanza Uganda, bomba hilo hilo pia litumike kusambaza mafuta yake Tanzania na kutuuzia, hivyo Uganda ndo itapata faida, maana Tutanunua mafuta kutoka kwake, vile vile Tutalipia hilo Bomba lake, hivyo wataalamu wa Uganda, kimahesabu ni kwamba watakuwa wameipiku Kenya au kuiwahi kwa kuteka soko la Tanzania.
Mbona hata sisi tunamafuta mkuu?
 
Hawa jamaa si wamegundua mafuta kule kwao? sasa wanataka mafuta mengine ya nini? Hapa kutakuwa na jipu kwenye hili bomba


Duh! Hivi ni kwanini Watu wengi sana hapa Tanzania hawana akili??????????????????
Ni sababu ya kula ugali mweupe na maharage kila siku au nini?????????????


haya ngoja nikusadie sababu kubwa ya Waganda kutaka kujenga Bomba la Mafuta kupitia Tanga ni kwa sababu Tanga kuna bandari ambyo meli huleta na pia husafirisha mizigo, sasa nchi ya Uganda haijabahatika kama sisi kuwa na Bahari ambayo hivyo basi hawan uwezo wa kusafirisha mafuta yao kwenye masoko ya nje!

Hivyo wakijenga Bomba la mafuta ktk Uganda mpaka Bandarini Tanga ina maana mafuta yatapita kwenye Bomba ktk visimani Ug mpka bandarini ambapo yatapakiwa kwenye meli zitakazokuwa zinasubiri na kusafirishwa kwenda nchi za nje kwenye masoko!

Hiyo ndiyo sababu ya kujengwa Bomba la mafuta ktk visimani Ug mpaka bandarini kwetu Tanga!
 
Huu Ni Ujinga Wa hali Ya Juu, Rais Mseven ameona kwamba Kenya tayari imegundua Mafuta yake ardhini, hivyo akapiga hesabu za haraka akaona aweke Bomba hili kuanzia Tanzania-Tanga kama danganya toto, kumbuka Uganda nayo imegundua mafuta, sasa mahesabu ya Mseven ni kwamba, mara tu uzalishaji utakapoanza Uganda, bomba hilo hilo pia litumike kusambaza mafuta yake Tanzania na kutuuzia, hivyo Uganda ndo itapata faida, maana Tutanunua mafuta kutoka kwake, vile vile Tutalipia hilo Bomba lake, hivyo wataalamu wa Uganda, kimahesabu ni kwamba watakuwa wameipiku Kenya au kuiwahi kwa kuteka soko la Tanzania.
Ndo vilivyo WATZ kama tumelogwa vile....sometimes najuta zaliwa nchi kama hii ya kitapeli...sema pia naogopa kufru kwa Mwenyenzi Mungu mwingi wa rehema
 
Raisi Museveni wa Uganda amesema sababu za nchi yake kuamua kupitisha bomba la mafuta nchini mwetu ktk Tanga mpaka Uganda badala ya nchi ya Kenya ni kulipa fadhila kwetu kwa kazi kubwa na isiyo ya kibinafsi tulioifanya huko Uganda ya kumtoa Idi Amini!

Leo hii Uganda ni nchi nzuri inayostawi kwenye ngazi zote, uchumi wake unakuwa kwa kasi kubwa na hii yote ni kwa sababu tulijitoa mhanga kwa ajili yao, hivyo kama tusemavyo Waswahili wema hauozi, hatimaye Raisi Museveni amelitambua hilo!

Hili Bomba kwa mujibu wa Raisi Magufuli lina thamani ya 4 bilion US dollars na litazalisha ajira kwa watu zaidi ya elfu 15! TanZania ya viwanda hiiyo inajongea kwa kasi kabisa!

Sasa Bandari yetu ya Tanga itapata kazi na kuwa busy na hii ni neema kubwa kwa Mji na Mkoa wa Tanga!

Come babe come!!!!!

HAPA KAZI TU!
Isije ikaishia kuwa Siasa tunataka kuona mambo yakitokea kwa kasi tunayotaraji
 
duhh!! Huyu ndugu haoni faida ya bomba la mafuta kupita nchini kwetu kweli? Siamini ninachokisoma. Tuwe tunafanya tafiti kabla ya kujirusha hewani. Wengine tunachafukwa roho haraka, tusaidiane kwani hatupendi kurusha makombora.
VIPI KAMA UKICHIMBA MAFUTA YA KWAKO. WE UNASHABIKIA MWENZIO AKIPITISHA BOMBA AUZE HALI WEWE UNAACHA KUCHIMBA YAKO. HAPO HAUCHEFUKI enhee....
East AFRIKA kuna mafuta. Kama Uganda yapo. Kenya yapo haiwezekani Tanzania yakakosekana. HAYA CHEFUKA sasa na point yangu
 
VIPI KAMA UKICHIMBA MAFUTA YA KWAKO. WE UNASHABIKIA MWENZIO AKIPITISHA BOMBA AUZE HALI WEWE UNAACHA KUCHIMBA YAKO. HAPO HAUCHEFUKI enhee....
East AFRIKA kuna mafuta. Kama Uganda yapo. Kenya yapo haiwezekani Tanzania yakakosekana. HAYA CHEFUKA sasa na point yangu


Kwa hiyo kama ungekuwa wewe ndiyo Raisi ungefanyaje labda? Ungewakatalia Uganda kujenga Bomba la mafuta na kutumia Bandari ya Tanga?
 
Raisi Museveni wa Uganda amesema sababu za nchi yake kuamua kupitisha bomba la mafuta nchini mwetu ktk Tanga mpaka Uganda badala ya nchi ya Kenya ni kulipa fadhila kwetu kwa kazi kubwa na isiyo ya kibinafsi tulioifanya huko Uganda ya kumtoa Idi Amini!

Leo hii Uganda ni nchi nzuri inayostawi kwenye ngazi zote, uchumi wake unakuwa kwa kasi kubwa na hii yote ni kwa sababu tulijitoa mhanga kwa ajili yao, hivyo kama tusemavyo Waswahili wema hauozi, hatimaye Raisi Museveni amelitambua hilo!

Hili Bomba kwa mujibu wa Raisi Magufuli lina thamani ya 4 bilion US dollars na litazalisha ajira kwa watu zaidi ya elfu 15! TanZania ya viwanda hiiyo inajongea kwa kasi kabisa!

Sasa Bandari yetu ya Tanga itapata kazi na kuwa busy na hii ni neema kubwa kwa Mji na Mkoa wa Tanga!

Come babe come!!!!!

HAPA KAZI TU!
Mkuu hongera kwa Post Nzuri pia yenye Uzalendo....
Naomba kujua mambo kadhaaa
Ni jambo jema limezungumzwa na ninalikubali 100%.
Nina maswali kadhaa,hivi muda fulani mwaka jana au juzi Museveni walipanga kujenga kupitia Kenya na nadhani walikubaliana au ni Politics sijui,mazungumzo yale yaliishia wapi?
Pili...Ni wakati wa kuweka siasa pembeni,ni wazi kupitia Kenya ni Gharama kubwa 1600km from Kenye to Uganda,ukilinganisha na 1120KM From Tanga to Uganda unaweza ukaona wapi ni economic Viable...
Napenda pia kujua/Kuona wapi wametiliana SAINI/SIGNATURE,Hapo ndo tutapata uhakika wa makubaliano yao na sio Politics....Faida za Mradi tunazijua wengi tuuu,na baadae tungependa kujua wamepata Main contractors?
na Lini wanategemea kuanza Mradi /Angalau Feasibility study...
 
Mkuu hongera kwa Post Nzuri pia yenye Uzalendo....
Naomba kujua mambo kadhaaa
Ni jambo jema limezungumzwa na ninalikubali 100%.
Nina maswali kadhaa,hivi muda fulani mwaka jana au juzi Museveni walipanga kujenga kupitia Kenya na nadhani walikubaliana au ni Politics sijui,mazungumzo yale yaliishia wapi?
Pili...Ni wakati wa kuweka siasa pembeni,ni wazi kupitia Kenya ni Gharama kubwa 1600km from Kenye to Uganda,ukilinganisha na 1120KM From Tanga to Uganda unaweza ukaona wapi ni economic Viable...
Napenda pia kujua/Kuona wapi wametiliana SAINI/SIGNATURE,Hapo ndo tutapata uhakika wa makubaliano yao na sio Politics....Faida za Mradi tunazijua wengi tuuu,na baadae tungependa kujua wamepata Main contractors?
na Lini wanategemea kuanza Mradi /Angalau Feasibility study...


Mwanzoni huwo ndiyo ulikuwa mpango yaani kupitishia Bomba Kenya lkn kikwazo kikubwa kwenye hili wala siyo Raisi Museveni bali ni kampuni ya Total ambayo ndiyo wawekezazi, wao hawataki kabisa kupitishia Kenya kwa sababu ambazo wamezisema za kiusalama!

Wanahofia usalama wa mali zao huko Kenya hivyo CEO wa Total siku zote alitaka kupitishia Bomba Tanzania badala ya Kenya lkn sasa nafikiri siasa za kenya na Uganda zikawa zinaingilia kumbuka kwamba Uganda na Kenya wako karibu zaidi klk walivyo na sisi!

Lkn sasa mtoa hela ameshakataa kuweka fedha Kenya na anataka kwetu na hivyo Musevenei hana budi kukubali!

Maswali mengine ya khs mkataba au sahihin siwezi kuyajibu kwa sababu sifahamu majibu yake, ila mpaka sasa hivi hali ndiyo hiyo!
 
Back
Top Bottom