Kikwete: Sihusiki Zanzibar

....wameshinikiza kufutwa uchaguzi zenj na kusababisha matatizo makubwa zenj....sasa nafsi zinawasuta....wazanzibari inabidi wakeshe misikitini wakisali...ili ajulikane aliyesababisha madhila yote haya...na Mungu hakika atajibu kwa namna ya ajabu....Inafika mahali kwa kweli mambo mengine anaachiwa Mungu.....maana kibinadamu yanakwamishwa na wanaadamu....
 
Mwenyekiti wa CCM rais Mstaafu Jakaya Kikwete amesema hausiki na kufutwa kwa matokeo ya uchaguzi mkuu Zanzibar October 28 mwaka jana.

.....
Mwenyekiti wa CCM anataka kutuaminisha wananchi wa Tanzania na dunia kwamba yeye hakuwa Amiri Jeshi Mkuu wakati JWTZ ilipovamia na kukiteka kituo cha kutangazia matokeo ya uchaguzi huko Zanzibar?

Kama Yeye Mstaafu hakuwa Amiri Jeshi Mkuu au hakutoa maelekezo, amri au kubariki uvamizi wa kituo hicho cha "Tume huru/ ZEC" uliofanywa na JWTZ ni vyema atuambie nani alikuwa anakaimu Uamiri Jeshi mkuu au ni nani alitoa amri kwa JWTZ kubaka demokrasia (kuingilia uhuru wa ZEC kwa kuzuia isimalizie kutangaza kitaifa matokeo ya majimbo yaliyobaki na matokeo ya nafasi ya urais wa Zanzibar)?
 
Hiyo ni link, ingia ndani usome. Wanaojua wanampa ushahidi kuwa anahusika. Mstaafu hawezi kuukimbia "mkwamo" alioutengeneza kwa amri au kwa kubariki.
Huku kwangu hiyo link haifunguki hebu nieleweshe tu wewe mwenyewe
 
Huku kwangu hiyo link haifunguki hebu nieleweshe tu wewe mwenyewe
Mkwepa Kodi uhondo wote utaupata na ushahidi utaupata ukiingia na kujisomea. Kama haifunguki kwako tosheka na post # 103 au mwombe Nguruvi3 akuhabarishe.
 
Mwenyekiti wa CCM anataka kutuaminisha wananchi wa Tanzania na dunia kwamba yeye hakuwa Amiri Jeshi Mkuu wakati JWTZ ilipovamia na kukiteka kituo cha kutangazia matokeo ya uchaguzi huko Zanzibar?

Kama Yeye Mstaafu hakuwa Amiri Jeshi Mkuu au hakutoa maelekezo, amri au kubariki uvamizi wa kituo hicho cha "Tume huru/ ZEC" uliofanywa na JWTZ ni vyema atuambie nani alikuwa anakaimu Uamiri Jeshi mkuu au ni nani alitoa amri kwa JWTZ kubaka demokrasia (kuingilia uhuru wa ZEC kwa kuzuia isimalizie kutangaza kitaifa matokeo ya majimbo yaliyobaki na matokeo ya nafasi ya urais wa Zanzibar)?
Labda Mwamunyange kwa utashi wake mwenyewe. JK tumekusikia lakini hueleweki.
 
kwahili nakupinga asilimia zote... kilichotokea siku ya uchaguzi wa ccm hata jakaya hakutegemea.... ripoti ya ndani inasema baada ya washindani watatu kuingia kwenye kinyang'anyiro kura za maruhani zilimpitisha yule mama mzanzibar baada ya kuziomba kura hizo ktuka kundi la LOWASA. na ndipo JAKAYA akafuta matokeo na kueleza kuwa uchaguzi umeahirishwa mpaka kesho.
maamuzi yakafanyika ndipo kukawa hakuna jinsi apewe MAKUFULI kitu ambacho hakikuwa ni hesabu ya wanaharakati wa CHAMA.
sasa mbona umekubali kuwa amehusika kumweka magu?
 
Mkuu wasipoelewa na hapa basi yaani umeeleza kinagaubaga hilo lipo wazi na ndio maana walikua wanasema ataongozwa na "remote from msoga" Nashangaa leo hii wanatubadilikia kwamba JPM sio chaguo la JK. Wakati Magufuli mwenyewe hakuwa hata na wazo la kuchukua fomu JK ndio kamwaambia tena kwa masharti afanye "kimya kimya" na SHOW kaisimamia mwanzo mwisho JPM mwenyewe hakuna alichokua anajua siri za ushindi alikua nazo JK,Kinana na akina Mangula ivi wanafikiri JK angeamua Membe awe rais ingeshindikana nini?
Sema CCM wanacheza ngoma wanzopigiwa kwa wakati huu ilibidi wampate Magufuli ili kurudisha matumaini kwa wananchi yalikaanza kupotea. Na Magufuli anamuhitaji sana JK sababu ndio Mfumo uliomuweka pale kama ilivyokawa kwa JK miaka yake ya mwanzo akina Rostam na Lowasa ndio walikua wanamcontrol lakini baadae alijua mfumo akawatumbua na kuwa na mfumo wake hata JPM baada ya miaka 5 ndio anaweza kumtumbua JK.
of course inawezekana kwa maelezo haya , JK ni mafia
 
Mwenyekiti wa CCM anataka kutuaminisha wananchi wa Tanzania na dunia kwamba yeye hakuwa Amiri Jeshi Mkuu wakati JWTZ ilipovamia na kukiteka kituo cha kutangazia matokeo ya uchaguzi huko Zanzibar?

Kama Yeye Mstaafu hakuwa Amiri Jeshi Mkuu au hakutoa maelekezo, amri au kubariki uvamizi wa kituo hicho cha "Tume huru/ ZEC" uliofanywa na JWTZ ni vyema atuambie nani alikuwa anakaimu Uamiri Jeshi mkuu au ni nani alitoa amri kwa JWTZ kubaka demokrasia (kuingilia uhuru wa ZEC kwa kuzuia isimalizie kutangaza kitaifa matokeo ya majimbo yaliyobaki na matokeo ya nafasi ya urais wa Zanzibar)?
daaah safi saana, we kweli nonda
 
Haiwezekani Uwe rais alafu usihusishwe kwenye tukio kubwa namna hii. Lazima alielezwa na akaafiki lasivyo walimdharau.
Rais gani uchaguzi unafutwa bila yawewe kuhusika katika kutoa idhini,kwanini viongozi wanapenda kutuongopea sana?
Nilichukizwa sana alipowahi kusema hawajui KAGODA na Tena hawajui RICHMOND!!! inamaana huwa hanamuda kujua mambo muhimu ya nchiyake? Intelijensia aliitumia kujua vitugani?
Mambo mengine kuliko kusema bora ukae kimya maana yanashusha hadhi ya u Rais. Inaudhi sana
 
Naona anajaribu kushusha chuki ya watanzania kwake.Hatudanganyiki kamwe
 
Back
Top Bottom