Ndugu unajua tulio wengi tunaliangalia hili kwa juujuu sana. Si mda dunia itaimba wimbo mmoja.
Hivi km tunao makanisa kibao na manabii,mitume,wachungaj na maaskof wengi tu,hujiuliz why not hawajashupalia kulipinga kwa nguvu zao zote!!!!?? Coz they know clearly what's coming.
Wanaliongelea...
Hii issue iko tricked na ina macho makali ya mbali,watu wakae kwa tahadhari pana. Sijui sn lkn nionavyo itakuja ing'oke na watawala na vyama vya siasa vimetawala miaka mingi (hasa wataojifanya rigid).
Nijuavyo wale jamaa hajawah ku fail wanapolitaka jambo lao.
Kwa mbalii nayaona yakirejelea ya...
Binafsi kaniacha nikimshangaa kuona hajijui km yey ndiye mwenye tatzo licha ya kukiri kuwa alikuwa kajaza stress kichwan. Alitarajia yule mwamba afanye kaz mbili kwa wakat mmoja,yaan amuondolee stress then amfikishe kileleni😀🤣🤣
Hakuna mwanaume angeweza hilo
Hata km angekuwa PM bado siyo busara kusimamisha magari masaa 2. Hii nchi taratibu inajiresha kwenye u mangi mtu. Ukizuia barabara ni kusimamisha uchumi kwa mda huo kwan hapo kuna watu wanawahi hosptalin,kwenye masoko n.k
Siyo sawa kabisa!
Ninapopitia maoni ya watu juu ya huyo Bwana mdogo hadi nashawishika kudhani km huko gerezani ndiyo uliko usalama kwake kuliko akija uraiani. Ni kama vile Arusha ile haikuwah kumshuhudia mtu katili zaid ya Sabaya....duh🤭
Ilijengwa Chato mkanyamaza,leo ikajengwe Zenj mshaanza kupuliza😄wabongo aliyeturoga alishakufa na kaburi lake halijulikan liko wp.
Tena habr itanoga nikickia hata uwanja wa ndege utajengwa huko...acheni double standard
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.