Ikulu ni ofice, na hufanya kazi za jamuhuli kuliko kulala tu watu kama wanavo dhaniIkulu Dar es Salaam..
Ikulu Dodoma...
Ikulu Zanzibar....
Zote hizo za nini?
Halafu ya Dodoma bado haijamalizika, washakimbilia kujenga nyingine Zanzibar ya nini?
Ccm wameshatudharauIkulu Dar es Salaam..
Ikulu Dodoma...
Ikulu Zanzibar....
Zote hizo za nini?
Halafu ya Dodoma bado haijamalizika, washakimbilia kujenga nyingine Zanzibar ya nini?
huyu bibi na kina madelu ni janga la kitaifa, jiulize zenji inajengwa ikulu kwanini?Ikulu Dar es Salaam..
Ikulu Dodoma...
Ikulu Zanzibar....
Zote hizo za nini?
Halafu ya Dodoma bado haijamalizika, washakimbilia kujenga nyingine Zanzibar ya nini?
Tofauti ipo bwana. Ya Magu atatumia nani kule Chato? Ya Zanzibar akimaliza yeye raisi mwengine yo yote pindi atakapokwenda Zanzibar ataitumia hiyo Ikulu ndogo.Tofauti ni kwamba JPM alijenga ndani ya nchi wakati Hangaya anajenga nje ya nchi.