Wakuu,, Sasa hivi home kwangu natumia Dishi ya Azam inayotumia docoder ya kawaida..
So naweza kupata Cam card pekee ili niweze kuweka kwenye TV yangu bila kutumia decorder.. maana hii CamCard...
Kwa kazi zangu za mtandaoni mara kwa mara na sim yenye kasi na uwezo wa kuhifadhi vitu vingi na inayokaa na chaji sana nishaurini tafadhali ninunue sim gani kwa hiyo bajeti
Jamani out of nowhere tu TV yangu aina ya Skyworth imezingua na kuzima na ukiwasha inaanza kisha kuzima tena; Fundi kaja ananiambia iyo internal system yote inabidi ibadilishwe 180k; yaani mafundi...
Wakuu endapo Nitakuwa na app na kifaa nilicho ainisha hapo chini je endapo nitainunua app nitafanikiwa kuscan code za gari yoyote Ile ambayo niyakuanzia 2000. Note nataka iwe kama huduma ya kibiashara
Habari wanajamvi,
Natumai siku hii ya alhamisi imeenda vizuri. Binafsi Mungu amenipa uzima na nia ya kuandika hivi nnavyotaka kuvidondhosha hapa.
Nilikuwa namsikiliza dada mmoja Youtube leo...
Wakuu kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu
kuwa mimi ni web developer kwa miaka takribani 5
ninafahamu PHP, Javascripty,Mysql,CSS,
pia nafahamu laravel na codeignter kwa ufasihi mkubwa pia...
Maswali yangu
1) Ni Kampuni gani inaweza kunitungia Fibre au huduma ya internet kwangu ambayo Ni affordable zaidi
2) Je, kifurishi au package kwa mwezi inakuwaje
3) Je, idadi ya watumiaji ikiwa...
Habarini ndugu zangu
Niende kwene mada,nina simu yangu ambayo kutokana na uwezo wake kuwa mdogo niliamua kununua memory card Ili niweze kuongeza storage katika simu yangu.Nilipoweka hio memory...
Habari, nimejiunga na mtandao wa UPWORK hivi karibu. Swali langu kwa wazoefu, Je nitumie bank gani ya uhakika kati ya NMB na CRDB kwa ajili ya kutoa pesa payoneer?
Ndugu zangu nilijiunganisha na airtel 5g unlimited internet nikajua kwamba hawana limit ya volume kumbe unahesabiwa gb na GB zikiisha speed ya internet inapungua. Mimi nilitoka kuwa na speed ya...
Wakuu Salaam,
Naomba msaada kujua mtandao gani kati ya Vodacom, Tigo, Airtel, na Halotel wana gharama nafuu ya POSTPAID INTERNET CONNECTION na wenye kasi nzuri.
Asante.
Airtel kuna kitu wanaendelea kuwafanyia Wateja wao kwenye hizi router zao za 5G siyo kizuri.
Wanakwambia kuwa internet ni unlimited ila ukitumia kwa siku 20 internet wanaishusha speed, mfano mimi...
Binafsi najifunza programming just for fun and enjoyment ya kupata maarifa mapya.
Nimeanza na HTML pamoja na CSS kadri siku zinavyoenda tutapeana updates ya jinsi darasa linavyoenda.
Site...
A HARD WAY TO BE 1337 HACKER..
Leo Nitashare mawazo yangu hapa au tuseme ushauri ambao nina uhakika utakwenda kukufungua mindset yako juu ya Tasnia hii changa hapa Tanzania yaani tasnia ya Cyber...
OpenAI, the creator of ChatGPT is back with a new text-to-video AI generator Sora. It can create videos of up to 60 seconds featuring highly detailed scenes, complex camera motion, and multiple...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.