Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

JF Prefixes:

Wakuu,, Sasa hivi home kwangu natumia Dishi ya Azam inayotumia docoder ya kawaida.. So naweza kupata Cam card pekee ili niweze kuweka kwenye TV yangu bila kutumia decorder.. maana hii CamCard...
1 Reactions
12 Replies
430 Views
Naomba mnisaidie app au website ambayo naweza kupakua hd movies kwenye simu ya android
1 Reactions
7 Replies
476 Views
Kwa kazi zangu za mtandaoni mara kwa mara na sim yenye kasi na uwezo wa kuhifadhi vitu vingi na inayokaa na chaji sana nishaurini tafadhali ninunue sim gani kwa hiyo bajeti
4 Reactions
12 Replies
682 Views
Jamani out of nowhere tu TV yangu aina ya Skyworth imezingua na kuzima na ukiwasha inaanza kisha kuzima tena; Fundi kaja ananiambia iyo internal system yote inabidi ibadilishwe 180k; yaani mafundi...
1 Reactions
24 Replies
574 Views
Hello Natafuta mtu anaeweza kunitengenezea Script ya Python au Java itakayonisaidia kujaza taarifa kutoka Excel kwenda Mtandaoni.
0 Reactions
2 Replies
160 Views
Ni vyuma vya pelleting machine vimeshika sana kutu hivyo nataka kuvirudisha kwenye hali yake ya kawaida
0 Reactions
16 Replies
370 Views
Wakuu endapo Nitakuwa na app na kifaa nilicho ainisha hapo chini je endapo nitainunua app nitafanikiwa kuscan code za gari yoyote Ile ambayo niyakuanzia 2000. Note nataka iwe kama huduma ya kibiashara
0 Reactions
9 Replies
244 Views
Habari wanajamvi, Natumai siku hii ya alhamisi imeenda vizuri. Binafsi Mungu amenipa uzima na nia ya kuandika hivi nnavyotaka kuvidondhosha hapa. Nilikuwa namsikiliza dada mmoja Youtube leo...
2 Reactions
2 Replies
151 Views
Wakuu kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu kuwa mimi ni web developer kwa miaka takribani 5 ninafahamu PHP, Javascripty,Mysql,CSS, pia nafahamu laravel na codeignter kwa ufasihi mkubwa pia...
13 Reactions
110 Replies
3K Views
Ukipata ukifanikiwa usisite kunibless ata ya soda basi dah! Wana mna roho ngumu haki ya nani! 😂👇👇
1 Reactions
19 Replies
651 Views
Maswali yangu 1) Ni Kampuni gani inaweza kunitungia Fibre au huduma ya internet kwangu ambayo Ni affordable zaidi 2) Je, kifurishi au package kwa mwezi inakuwaje 3) Je, idadi ya watumiaji ikiwa...
2 Reactions
49 Replies
4K Views
Habarini ndugu zangu Niende kwene mada,nina simu yangu ambayo kutokana na uwezo wake kuwa mdogo niliamua kununua memory card Ili niweze kuongeza storage katika simu yangu.Nilipoweka hio memory...
0 Reactions
7 Replies
129 Views
Habari, nimejiunga na mtandao wa UPWORK hivi karibu. Swali langu kwa wazoefu, Je nitumie bank gani ya uhakika kati ya NMB na CRDB kwa ajili ya kutoa pesa payoneer?
1 Reactions
13 Replies
526 Views
Ndugu zangu nilijiunganisha na airtel 5g unlimited internet nikajua kwamba hawana limit ya volume kumbe unahesabiwa gb na GB zikiisha speed ya internet inapungua. Mimi nilitoka kuwa na speed ya...
8 Reactions
88 Replies
4K Views
Wakuu Salaam, Naomba msaada kujua mtandao gani kati ya Vodacom, Tigo, Airtel, na Halotel wana gharama nafuu ya POSTPAID INTERNET CONNECTION na wenye kasi nzuri. Asante.
0 Reactions
5 Replies
747 Views
1. Research ChatGPT YouChat Perplexity Copilot Gemini 2. Image Leap AI Copilot Segmind Midjourney Stable Diffusion 3. CopyWriting Rytr Copy AI Writesonic Adcreative AI 4. Writing Jasper HIX...
6 Reactions
8 Replies
437 Views
A
Anonymous
Airtel kuna kitu wanaendelea kuwafanyia Wateja wao kwenye hizi router zao za 5G siyo kizuri. Wanakwambia kuwa internet ni unlimited ila ukitumia kwa siku 20 internet wanaishusha speed, mfano mimi...
3 Reactions
7 Replies
298 Views
Binafsi najifunza programming just for fun and enjoyment ya kupata maarifa mapya. Nimeanza na HTML pamoja na CSS kadri siku zinavyoenda tutapeana updates ya jinsi darasa linavyoenda. Site...
2 Reactions
88 Replies
5K Views
A HARD WAY TO BE 1337 HACKER.. Leo Nitashare mawazo yangu hapa au tuseme ushauri ambao nina uhakika utakwenda kukufungua mindset yako juu ya Tasnia hii changa hapa Tanzania yaani tasnia ya Cyber...
7 Reactions
50 Replies
5K Views
OpenAI, the creator of ChatGPT is back with a new text-to-video AI generator Sora. It can create videos of up to 60 seconds featuring highly detailed scenes, complex camera motion, and multiple...
1 Reactions
4 Replies
346 Views
Back
Top Bottom