Soma au Sikiliza neno la Mungu katika simu yako ya mkononi kwa kutumia app ya Biblia Takatifu na Sauti.
1. Biblia hii inakuwezesha kusoma au kusikiliza sauti bila intaneti. (HAITUMII BANDO)
2...
App inakuwezesha kusoma PDF faili na pia ina nyenzo nyingi za PDF za bila malipo ambazo zinafanya kazi bila kutumia intaneti
Unaweza kufanya yafuatayo
Kupunguza ukubwa wa faili la PDF (Compress...
Je, wewe ni mmiliki wa hospital, shule ama micro-finance yoyote na unahitaji huduma zetu tupo kwaajili yako.
Zendela company limited ni kampuni ya IT iliyopo dar es salaam na iliyojikita katika...
Je, wewe ni mmiliki wa BIASHARA ambaye ni Mkazi wa Maeneo TAJWA hapo JUU?
Je, unataka kuweka biashara yako mtandaoni ili iwe ya kisasa na kurahisisha mawasiliano yako?
Je, wewe ni mmiliki wa...
Pata huduma za serikali zaidi ya 130 kama vile Kupata cheti cha kuzaliwa, kupata namba ya nida, kutuma maombi ya mkopo wa elimnu ya juu, kutuma maombi ya chuo TCU, kutengeneza tin number, kuhakiki...
Moja ya mambo muhimu katika ukuwaji wa biashara ni utunzaji makini wa kumbukumbu za biashara yako, kuanzia mauzo, matumizi, taarifa za stock uliyonayo, taarifa za madeni ya wateja, na repoti...
Kama unahitaji software hii basi check me on 0713388317/0757749641.
Iko complete from Source documents to Final financial statements. Na imefuata sheria zote za kiuhasibu IFRS/IPSAS!
Karibu...
Kulingana na taarifa ya Mamlaka ya bima nchini (TIRA) Watoa Huduma walielekezwa kuanzia Tarehe 01.04.2021 Kutumia Stika za kielektroniki badala ya stika za kawaida zilizokuwa zikitumika awali...
Kuna jamaa (nimsahau) alisema ametengeneza software inayoweza kutumika na kanisa Katoliki kwenye taarifa za waumini kuhusu
1. Jina
2. Jumuiya
3. kanda
4 ULIPAJI zaka na michango mbalimbali
4...
Habari, tunatoa huduma za ku bypass iCloud kwenye iPhone yako. Huduma ni Kama zifuatavyo
iCloud activation = Huduma hi ni pale iwapo umesahau email na password za iCloud. Na huwezi kuendelea...
Elimutube ni jukwaa ambalo utapata fursa ya kusoma kupitia notes na videos kutoka kwa walimu mahiri, wanaoaminika, na wenye uzoefu mkubwa Tanzania kuanzia kidato cha kwanza hadi kidato cha sita...
Habari!, ndugu wana JF natumai wote ni wazima.
Mimi ni graduate niliyemaliza Bsc Computer science , nime base kwenye web development baada ya kuona uwezo na mapenzi niliyonayo katika upande huo...
Habari Wadau wa Jamii Forum,
Nimeanzisha biashara ya usalama wa vyombo vya moto kupitia GPS na ninahitaji support yenu.
Kama mnavofahamu, biashara katika sector ya usafiri imepamba moto...
Wakuu Nawasalimu kwa mpigo popote mlipo mnapolijenga taifa.
Mie ni mtaalam wa masuala ya fedha kwa kiasi chake, nimetengeneza spreadsheet template ambayo inawezesha ku-manage/track bidhaa/stock...
Kama ulikua na ndoto ya kumiliki Blogs,Personal Website au Portfolio kwa kuonyesha kazi zako Mbali mbali ila ulikua hujui jinsi ya kuanza au umekutana na watu waliokutajia gharama kubwa
Solution...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.