Mtandao wetu unajihusisha na matangazo ya kibiashara,
Watu wanao kodisha kumbi za sherehe na mikutano mbalimbali wamekuwa wakiuliziwa na wasomaji wetu kwani tuna kipengele kama hicho kwenye...
Vitu vilivyoorodheshwa hapo juu vinauzwa
HP: HP 250 G1 Notebook PC Laptop specs bei yake ni tsh 500,000
pamoja na apple ipad ni tsh 500,000
anayehitaji vitu hivyo tuwasiliane kwa namba 0717 268...
Shamba heka kumi linauzwa milioni 15 tsh. maelewano if serious buyer.Shamba lipo Kijiji cha Msinune, Bagamoyo/Msata road karibu na Kiwangwa. Lipo kilomita 7 kutoka barabara ya Bagamoyo/Msata, njia...
Habari zenu humu ndani?
Kwa mara nyingine tena naleta tangazo juu ya vitabu vya Joram Kiango ambavyo vipo sokoni kwa sasa. Vitabu hivyo ni ROHO YA PAKA, NAJISIKIA KUUA TENA & ROHO YA PAKA. Vitabu...
nyumba ipo kigamboni Toangoma dsm mita 150 kutoka barabara ya lami.
bei ni milioni 35 ila maelewano yapo
ina vyumba vitatu vya kulala, kimoja kina masterroom
ina sebule
ina jiko
ina dinning...
NYUMBA ZIPO ZA UBORA NA UKUBWA TOFAUTI ZINAUZWA MAENEO YA KIGAMBONI TOANGOMA. ZIPO ZENYE HATI MILIKI NA ZISIZO NA HATI. BEI YA NYUMBA INAANZIA MILIONI 35 NA KUENDELEA. NYUMBA AMBAZO ZIKO CHINI YA...
viwanja vyenye ukubwa wa mita za mraba 400 na kuendelea vinauzwa kigamboni toangoma kuanzia milioni nne na nusu na kuendelea.
viwanja vipo katika mpangilio na gari inafika katika viwanja vyote...
Toangoma- kigamboni
1. Block 2, 1339 square meter, bei milioni 50, ila maelewano yapo kina hati miliki
2. Block 1, 700 square meter, bei milioni 40, ila maelewano yapo-kina hati...
Bidhaa mpya!
Ni dawa za kuku kuwakinga na kideli, dawa za ng'ombe, mbuzi, nguruwe nk. Kwaajili ya minyoo.
Binadamu: Zipo dawa za meno, tumbo kujaa gesi, kunyonga, n.k. Dawa za fangasi na m-ba...
Oyoo oyooo ni mwendo wa kubwagaa tu mpaka kieleweke
IPhone 6+ 124gb used a month nakupa kwa 1.2m, comes with charger.
Samsung s5 black kwa 650000 comes with charger
Ni check 0652871546
Whatsapp...
Habari za jioni wadau!
Nina Tv ya Samsung,MODEL:UE46C6530UK imevunjika kioo.
Tafadhali naomba kujuzwa ni wapi naweza pata kioo kingine na gharama za kubadilisha kwa ujumla.
Thanx
We provide installation of electric fence and CCTV Cameras at the following areas,Residential Houses,Apartments,Godowns,Game Reserves,Mining AreasWe design,supply and install electric fence...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.