Weka tangazo,mahali ulipo bei ya tv na aina yake pamoja na namba ya simu
karibuni.
Vigezo vya msingi unavyopaswa kuzingatia kabla hujaweka tangazo;
Elezea huduma/bidhaa unayouza kwa maelezo...
Wakuu,
Penye wengi, pana mengi pia. Jukwaa hili pamoja na kuwa na matangazo mengi, lakini wengine ni matapeli wakubwa sana. Tafadhali, tulishatoa angalizo na tunasisitiza tena:
Mnapoamua kufanya...
Kumekuwa na matangazo mengi sana yahusuyo mauzo ya simu na vitu vingine ila mimi nitaongelea zaidi kwenye simu.
Simu nyingi zinazouzwa humu ni vimeo utakuta mtu anajua kimeo kinaelekea kumfia...
Hodi hodi jukwaani kwa Waungwana wana JF,
Nitumaini kwa ukarimu wenu nyote mmesema karibu mgeni.
Nami naingia na kuanza kutoa shukrani za dhati kwa Uongozi wa Jamii Media Inc kwanza...
Ndugu wadau wa Jukwaa la Matangazo Madogo,
Tunafarijika kuona mnaendelea kutumia vizuri jukwaa hili katika kufanya biashara.
Hata hivyo, kuna changamoto kwa baadhi ya wenzetu kushindwa...
Viatu vya aina zote karibu uchague unachokipenda then ntakufikishia popote ulipo ndani ya Dar es salaam kwa garama zangu mwenyewe.
Kwa walio Dar es salaam nakuletea free na mikoani unatumiwa kwa...
Wakuu habari zenu,
Hii ni mada maalum ajili ya wauza magari kukutana na wanaotaka kununua magari.
Vigezo vya msingi unavyopaswa kuzingatia kabla hujaweka tangazo;
Elezea Gari unayouza kwa...
2024 | NUNUA BIDHAA TOKA MATAIFA MBALIMBALI DUNIANI NA MZIGO UTAKUFIKIA MAHALA ULIOPO
UTANGULIZI
Je, kuna bidhaa unataka kununua toka nje ya nchi kwa sababu hapa Tanzania umetafuta na hukupata...
Tuna bidhaa za majumbani na ofisini tupo Kariakoo Msimbazi karibu na DDC hall (manyema St.) tuna fanya free delivery ndani ya Dar es Salaam pia tuna tuma mikoa yote Tanzania kwa umakini ulio...
Karibu kwenye ukulasa wa Dovillen Property.
Kwa mahitaji ya kuuza au kununua nyumba, viwanja,yard, maeneo ya kujenga petrol station nk
POSTA,UPANGA, MASAKI, MSASANI, MIKOCHENI, MBEZI BEACH...
Ndugu mdau uliyekuwa ukitufuatilia kupitia mnakasha huu, tunapenda kukufahamisha kuwa kutokana na mabadiliko ya sera zetu, tumelazimika kufungua mnakasha mpya kwa ajili ya magari yanayotoka moja...
Apartment & nyumba zinazojitegemea za kupanga, viwanja, Fremu za biashara, Mashamba, GODAUNI,
nyumba ZINAZOUZWA Mwanza, OFFICE vyote vinapatikana hapa KWA dalali wetu @ nyumbanzuribeinzuri...
Mpendwa Mwana Jamii, nimekuwa nikitanganza kazi zangu mbalimbali hususani majengo ambayo yamenakshiwa na material za kisasa mbalimbali.
Nashukuru Mimi na team yangu tumepata ushirikiano wa...
Habari wapendwa,
Jina langu naitwa Jerry, najihusisha na biashara ya uuzaji wa magari ambayo yametumika Tanzania, kupitia uzi huu ntakuwa naweka magari mbalimbali ambayo nmekabidhiwa na wahusika...
Nimeona sio jambo baya Kama tukawa na Uzi maalum kwa ajili ya kuuza vitu used especially vitu vya ndani pia ikumbukwe gharama ya vitu used inakuwa nafuu kwa mnunuaji.
Kama hali ilivyo kuwa ngumu...
Salute bosses!!
Awali ya yote nitakua mnafiki sana kama sitatanguliza shukrani zangu za dhati kwa Jamii Forums. Bila ya hii platform (JF) tusingeweza kupata kushare taarifa kuhusu hii fursa ya...
Dealer wa electronics mbali mbali kama TV, hometheatre, n.k bidhaa ni mpya zinakua na warranty ya mwaka mmoja
Kwa maelezo zaidi piga namba 0754891344/0713086602
NB: Tunafanya delivery mpaka...
Habari,Natumaini mko salama na poleni na majukumu ya kila siku.Karibu ujipatie miche ya kisasa ya matunda.
Tunapatikana Chuo kikuu cha kilimo (SUA) lakini tunatuma na mikoani kwa uaminifu...
Salaam ndugu zangu, kwanza napenda kuwashukuru kwa kuunga mkono uzi wetu pendwa wa, "Wapenzi wa magari mazuri ”. Ahadi yangu kwenu ni kuendeleza mazuri.
Ili magari yetu yaendelee kuwa mazuri...
Hello members ,
Jina langu Renyo Msuya,
Nafanya kazi na makampuni ya kuuza magari kutoka japan kuja Tanzania.
Niulize swali lolote kuhusu magari na bei zake , pia tuna import magari kwa bei nafuu...
Salute bosses
Awali ya yote ningeomba nitoe shukrani zangu za dhati kwa team nzima ya Jamii Forums. Bila hii platform kiuhalisia wengi wetu wangekua bado wapo gizani, nisingekua inspired kushare...
Habarini wana JF, hope mko gud mnaendelea na harakati za weekend.
Mimi ni mdau wa mobile software na mara zote huwa napenda kushare contents na skills zangu na kujifunza vitu vipya kutoka kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.