Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali
Hapa tutakuwa tunatoa documents (nyaraka) mbalimbali za kisheria ambazo mtu atahitaji kama vile case laws, hasa ambazo ni unreported, legislations, law books n.k.
Binafsi nina e-library kubwa...
Mkataba wa ajira, kama ilivyo desturi kwa mikataba mingine kwa mujibu wa sheria, huzaliwa, huishi na kufa; kama ilivyo kwa binadamu na viumbe hai vingine.
Unazaliwa mara baada ya mwajiriwa na...
Raia ana haki ya kumwomba askari ajitambulishe kwako.
Mwulize jina lake
Mwulize namba yake ya uaskari
Raia ana haki ya kujulishwa kwanini anatiliwa mashaka ama kukamatwa.
Raia ana haki ya...
"Why do we Kill People who Kill People to Show that Killing People is Wrong ?"
Je ni sawa kuwa na Hukumu ya Kifo?
Baada ya yule Chizi wa Norway kuua kadamnasi ya watu (ukizingatia Norway life...
Asha Mkwizu Hauli akipelekwa Mahakamani
R. v. Asha Mkwizu Hauli, Crim Sessions Case No 3 of 1984 (DSM) (unreported).[/COLOR]
Mnamo tarehe 19 Novemba , 1983 mwanamke mmoja aliyejulikana kwa...
When I was in secondary school, the girl used to sit next to me died after performing illegal abortion. It was very sad because it happened a week before we started our final exams.
Women who...
Ndugu zangu mliopita au mliopo kwenye uwanja wa mapambano(Law school) tujuzeni hali halisi ya pale..naanza kwa kuuliza maswali yafuatayo;
1.Ni kozi ngapi zinafundishwa
2.Utaratibu wa malipo ya...
SURA YA KWANZA
HISTORIA YA MFUMO WA MILKI YA ARDHI
Chimbuko na misingi ya mfumo wa umiliki na matumizi ya ardhi yaliyopo sasa umepitia katika vipindi vifuatavyo:-
A. MFUMO WA MILKI YA ARDHI...
Maana ya ndoa
Kwa mujibu wa Sheria ya ndoa ya mwaka 1971, ndoa ni muungano wa hiari kati ya mwanamme na mwanamke unaokusudiwa kudumu kwa muda wa maisha yao.
Aina za ndoa
Kuna aina mbili za...
It is sad to concede that in NECTA there is no comprehensive privacy legislation. To disclose the names and results of students NECTA go against the constitution of URT . It brings bad picture to...
Nikirejea Ibara ya 19 ya Katiba yetu ya JMT ya Mwaka 1977 inatoia Uhuru wa Mtu Kuabudu.
Hali kwa Chuo Kikuu cha Theophile Kisanji ni Tofauti kwani wanafunzi wapatao 8 wamefukuzwa Chuoni hapo kwa...
Mbunge wa kyela Dr. Harison Mwakyembe amekataa kuhojiwa na TAKUKURU kama baadhi ya wabuge wengine walivyohojiwa na taasisi hiyo kwa madai kuwa hizo ni mbinu za kutaka kuwaziba midomo wabunge...
Mahakama Kuu, Dar es Salaam, imetengua hukumu iliyoiamuru kampuni ya simu za mkononi MIC (T) Limited, maarufu Tigo, kuwalipa wanamuziki wa kizazi kipya Hamisi Mwinjuma (MwanaFA) na Ambwene Yesaya...
Ndugu watanzania,
Redio kadhaa na magazeti zimetuambia tar 30 Oct wana review tena kesi ya Babu Seya na wanae waliofungwa maisha milele kwa kubaka.
Tukisubiri usanii tena wa serikali...
UDHALILISHWAJI WA WAISLAM NA VYOMBO VYA DOLA VYA TANZANIA
Utangulizi
Sheikh wa kwanza kudhalilishwa na serikali ya Tanzania alikuwa Mufti wa Tanzania kwa wakati ule Sheikh Hassan bin Amir...
UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
Telephone: 255-22-2114512, 2116539
E-mail: press@ikulu.go.tz
Website: www.mawasilianoikulu.go.tz
Fax: 255-22-2113425...
Nchi hii ina Rundo la Vituko, Kubwa zaidi ni kuzidi kuongezeka Kwa Wanasheria njaa, waganga matumbo, walafi wa kila kitu Kwenye Fani hii Muhimu sana.
Mimi nilikwepa sana kusomea Sheria ili...
Serikali yawaangukia Waislamu
• Walimu 108 waenguliwa kwenye semina ya Sensa Dar
na Waandishi wetu
Tanzania Daima
WAKATI shinikizo la baadhi ya waumini wa dini ya Kiislamu...
Tukio lenyewe lilitokea hapo majira ya asubuhi mnamo Februari 21, 1978. Ni baada ya kuambiwa mumewe wakati anaenda kazini kwamba akirudi asimkute hapo nyumbani, na kama akimkuta, atamtoa hapo...
Naomba msaada wa namna bora au mwanasheria atakayenisaidia kumpeleka mahakaman baba mtoto wangu ili angalau awe analipa ada tu.
Mtoto ana miaka 9 yuko darasa la nne siku zote nimekua nikimlipia...
Hapa Watanzania ni kama tunamtafuta mchawi nani wakati wote tunajua kuwa haya yote yanayotokea yanafanywa na watanzania wenzetu ambao tunaishi nao hapa hapa nchini na tunaweza kuwawajibisha kwa...
Marital Rape: Je, Mume anaweza kumbaka mke wake?
Ni ukweli unaokubalika ya kwamba Mume na Mke katika zama hizi za kisasa wako sawa kama ‘partners na kila mmoja akiwa na haki iliyo kamili...
Naomba kuwafahamisha kilichotokea leo
with regards and respect.
===================
ONLINE REPORTER,
11th February 2010
Daily News
THE Court of Appeal has sustained both conviction and life...
Assume wewe ni muislam na una wake watatu na watoto 5:4:3 yaani 12 jumla kwa wake watatu..umefariki
Kwa sheria za ndoa ya 1971; ugawaji wa urithi huo hauwezekani japo muislam huyu aliruhusiwa...
Kama ni hivyo basi Waislam watanzisha hiyo Mahakama ya Kadhi na wala hawata tegemea hela za hao wavuja jasho na hao makafiri, katika hii dunia Waislam ni matajiri sana ukiangalia wewe huko...
Chadema ni chama chenye ndoto za kushika dola na kilitegemewa kiwe chama cha kwanza kuheshimu amri za vyombo vya dola ikiwemo mahakama.
Sote tuna fahamu zitto kabwe aliweka zuio mahakamani dhidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.