Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

  • Sticky
Hapa tutakuwa tunatoa documents (nyaraka) mbalimbali za kisheria ambazo mtu atahitaji kama vile case laws, hasa ambazo ni unreported, legislations, law books n.k. Binafsi nina e-library kubwa...
67 Reactions
995 Replies
209K Views
  • Sticky
Mkataba wa ajira, kama ilivyo desturi kwa mikataba mingine kwa mujibu wa sheria, huzaliwa, huishi na kufa; kama ilivyo kwa binadamu na viumbe hai vingine. Unazaliwa mara baada ya mwajiriwa na...
13 Reactions
725 Replies
321K Views
  • Sticky
Raia ana haki ya kumwomba askari ajitambulishe kwako. Mwulize jina lake Mwulize namba yake ya uaskari Raia ana haki ya kujulishwa kwanini anatiliwa mashaka ama kukamatwa. Raia ana haki ya...
107 Reactions
601 Replies
225K Views
  • Sticky
"Why do we Kill People who Kill People to Show that Killing People is Wrong ?" Je ni sawa kuwa na Hukumu ya Kifo? Baada ya yule Chizi wa Norway kuua kadamnasi ya watu (ukizingatia Norway life...
16 Reactions
329 Replies
94K Views
  • Sticky
Asha Mkwizu Hauli akipelekwa Mahakamani R. v. Asha Mkwizu Hauli, Crim Sessions Case No 3 of 1984 (DSM) (unreported).[/COLOR] Mnamo tarehe 19 Novemba , 1983 mwanamke mmoja aliyejulikana kwa...
82 Reactions
272 Replies
149K Views
  • Sticky
When I was in secondary school, the girl used to sit next to me died after performing illegal abortion. It was very sad because it happened a week before we started our final exams. Women who...
9 Reactions
153 Replies
72K Views
  • Sticky
Ndugu zangu mliopita au mliopo kwenye uwanja wa mapambano(Law school) tujuzeni hali halisi ya pale..naanza kwa kuuliza maswali yafuatayo; 1.Ni kozi ngapi zinafundishwa 2.Utaratibu wa malipo ya...
6 Reactions
104 Replies
52K Views
  • Sticky
SURA YA KWANZA HISTORIA YA MFUMO WA MILKI YA ARDHI Chimbuko na misingi ya mfumo wa umiliki na matumizi ya ardhi yaliyopo sasa umepitia katika vipindi vifuatavyo:- A. MFUMO WA MILKI YA ARDHI...
11 Reactions
18 Replies
11K Views
Maana ya ndoa Kwa mujibu wa Sheria ya ndoa ya mwaka 1971, ndoa ni muungano wa hiari kati ya mwanamme na mwanamke unaokusudiwa kudumu kwa muda wa maisha yao. Aina za ndoa Kuna aina mbili za...
8 Reactions
1K Replies
262K Views
It is sad to concede that in NECTA there is no comprehensive privacy legislation. To disclose the names and results of students NECTA go against the constitution of URT . It brings bad picture to...
10 Reactions
442 Replies
53K Views
Nikirejea Ibara ya 19 ya Katiba yetu ya JMT ya Mwaka 1977 inatoia Uhuru wa Mtu Kuabudu. Hali kwa Chuo Kikuu cha Theophile Kisanji ni Tofauti kwani wanafunzi wapatao 8 wamefukuzwa Chuoni hapo kwa...
10 Reactions
424 Replies
50K Views
Mbunge wa kyela Dr. Harison Mwakyembe amekataa kuhojiwa na TAKUKURU kama baadhi ya wabuge wengine walivyohojiwa na taasisi hiyo kwa madai kuwa hizo ni mbinu za kutaka kuwaziba midomo wabunge...
0 Reactions
415 Replies
36K Views
Naomba ufafanuzi wa hii skendo kwa wale waijuao. Je hii ni dalili ya nguvu mpya dhidi ya ujambazi au over confidence ya ma afande imezua soo...
1 Reactions
396 Replies
72K Views
Mahakama Kuu, Dar es Salaam, imetengua hukumu iliyoiamuru kampuni ya simu za mkononi MIC (T) Limited, maarufu Tigo, kuwalipa wanamuziki wa kizazi kipya Hamisi Mwinjuma (MwanaFA) na Ambwene Yesaya...
13 Reactions
383 Replies
33K Views
Ndugu watanzania, Redio kadhaa na magazeti zimetuambia tar 30 Oct wana review tena kesi ya Babu Seya na wanae waliofungwa maisha milele kwa kubaka. Tukisubiri usanii tena wa serikali...
1 Reactions
347 Replies
56K Views
UDHALILISHWAJI WA WAISLAM NA VYOMBO VYA DOLA VYA TANZANIA Utangulizi Sheikh wa kwanza kudhalilishwa na serikali ya Tanzania alikuwa Mufti wa Tanzania kwa wakati ule Sheikh Hassan bin Amir...
10 Reactions
326 Replies
32K Views
UNITED REPUBLIC OF TANZANIA DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS Telephone: 255-22-2114512, 2116539 E-mail: press@ikulu.go.tz Website: www.mawasilianoikulu.go.tz Fax: 255-22-2113425...
0 Reactions
325 Replies
39K Views
Nchi hii ina Rundo la Vituko, Kubwa zaidi ni kuzidi kuongezeka Kwa Wanasheria njaa, waganga matumbo, walafi wa kila kitu Kwenye Fani hii Muhimu sana. Mimi nilikwepa sana kusomea Sheria ili...
4 Reactions
325 Replies
24K Views
Serikali yawaangukia Waislamu • Walimu 108 waenguliwa kwenye semina ya Sensa Dar na Waandishi wetu Tanzania Daima WAKATI shinikizo la baadhi ya waumini wa dini ya Kiislamu...
5 Reactions
300 Replies
21K Views
Tukio lenyewe lilitokea hapo majira ya asubuhi mnamo Februari 21, 1978. Ni baada ya kuambiwa mumewe wakati anaenda kazini kwamba akirudi asimkute hapo nyumbani, na kama akimkuta, atamtoa hapo...
53 Reactions
287 Replies
89K Views
Naomba msaada wa namna bora au mwanasheria atakayenisaidia kumpeleka mahakaman baba mtoto wangu ili angalau awe analipa ada tu. Mtoto ana miaka 9 yuko darasa la nne siku zote nimekua nikimlipia...
25 Reactions
283 Replies
13K Views
Hapa Watanzania ni kama tunamtafuta mchawi nani wakati wote tunajua kuwa haya yote yanayotokea yanafanywa na watanzania wenzetu ambao tunaishi nao hapa hapa nchini na tunaweza kuwawajibisha kwa...
0 Reactions
281 Replies
22K Views
Marital Rape: Je, Mume anaweza kumbaka mke wake? Ni ukweli unaokubalika ya kwamba Mume na Mke katika zama hizi za kisasa wako sawa kama ‘partners na kila mmoja akiwa na haki iliyo kamili...
0 Reactions
277 Replies
57K Views
Naomba kuwafahamisha kilichotokea leo with regards and respect. =================== ONLINE REPORTER, 11th February 2010 Daily News THE Court of Appeal has sustained both conviction and life...
1 Reactions
262 Replies
50K Views
  • Closed
Assume wewe ni muislam na una wake watatu na watoto 5:4:3 yaani 12 jumla kwa wake watatu..umefariki Kwa sheria za ndoa ya 1971; ugawaji wa urithi huo hauwezekani japo muislam huyu aliruhusiwa...
3 Reactions
258 Replies
16K Views
  • Closed
Kama ni hivyo basi Waislam watanzisha hiyo Mahakama ya Kadhi na wala hawata tegemea hela za hao wavuja jasho na hao makafiri, katika hii dunia Waislam ni matajiri sana ukiangalia wewe huko...
8 Reactions
256 Replies
23K Views
Chadema ni chama chenye ndoto za kushika dola na kilitegemewa kiwe chama cha kwanza kuheshimu amri za vyombo vya dola ikiwemo mahakama. Sote tuna fahamu zitto kabwe aliweka zuio mahakamani dhidi...
9 Reactions
251 Replies
19K Views
Muda ni leo Jumamosi mpaka jumapili tu (16-17 february 2019). tunaendelea tena leo February 22 mpaka February 24. wakili.
5 Reactions
250 Replies
31K Views
Back
Top Bottom