BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,011
| ||
|
| ||
|
Kweli nchi imeoza maana kama takwimu zilikosewa takwimu ambazo ziko accurate ni zipi kama zipo? Kama hakuna je Serikali ina mpango gani katika kuhakikisha inapata takwimu ambazo ziko accurate?
Shangaa na wewe mkuu,wengine tukihoji tunaitwa wadini.
Kweli nchi imeoza maana kama takwimu zilikosewa takwimu ambazo ziko accurate ni zipi kama zipo? Kama hakuna je Serikali ina mpango gani katika kuhakikisha inapata takwimu ambazo ziko accurate?
Hapa kwa maoni yangu si swala la udini hata kidogo. Kama hao TBC wamefanya makosa na kukubali makosa yao basi Serikali ina wajibu wa kuhakikisha inakuwa na takwimu ambazo ziko up to date na ambazo ziko accurate. Sioni kwanini hii sensa itakayofanyika August 26 isitumike katika kupata takwimu ambazo zitakuwa hazina utata hasa ukitilia maanani kwamba sensa hufanyika kila baada ya miaka 10 na wakati mwingine Serikali ilipokuwa na ukata ilifanyika tena baada ya zaidi ya miaka 10.
Imeoza haswaaa sio kidogo..........inasikitisha mno!
Mkuu tulishawahi changia hivi hivi kama unavyosema wewe tukaitwa UAMSHO.Jamani hivi kujua idadi ya wananchi na dini zao ni dhambi?Kwanini kwenye vyombo baadhi vya serikali vinaweka kama bodi ya utalii wanaweka takwimu hizi hawakemewi lakini wakisema wengine wanaambulia kejeli na matusi? LIWALO NA LIWE hiyo sensa nyie hesabiweni tu mimi nitakuwa busy na shughuli zangu.
Wee acha tu sweetlady...Hii Serikali jamani!!! dah! madudu kila mahali hakuna hata moja la kusema hili lina ahueni....halafu wanajipiga kifua na kujiita eti Serikali sikivu!!!! mxchyuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
Unahangaika na mambo madogo ambayo hayakusaidii kuleta mkate mezani kwako,ukiugua wewe na familia yako huwezi tibiwa kwasababu ya kutetea dini yako,elimu yako na wanao inategemea wewe kuchapa kazi siyo dini yako!! Hivi kwa akili yako ni nini majukumu ya serikali?
Serikali yawaangukia Waislamu
• Walimu 108 waenguliwa kwenye semina ya Sensa Dar
na Waandishi wetu
Tanzania Daima
TBC ilirusha matangazo hayo siku ya Sikukuu ya Muungano (Aprili 26) mwaka huu na kuonesha idadi ya Wakristo ni asilimia 52, Waislamu asilimia 32 na madhehebu mengine asilimia 14.