Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
1. Naanza ona mikasa, yawezaleta balaa, Viongozi wengi tasa, kwa hoja zisizo zaa, Hasa kwa Wana siasa, wao ni kama tabia, Wajifanya ni matasa, wafanyacho wakijua. 2. Ni kutafuta majanga, kuvunja...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Habari za wakati huu wadau! Natambua uwepo wa watu wenye asili ya kabila maarufu pale mkoani mbeya yaani Wanyakyusa. Kutokana na mihangaiko ya maisha wengi wetu tumejikuta tumekosa fursa ya...
2 Reactions
91 Replies
36K Views
1. Mgeni siku ya kwanza, mpe mchele na panza, mtilie kifuuni, mkaribishe mgeni. 2. Mgeni siku ya pili, Mpe maziwa na samli, Mahaba yakizidia, Mzidishie mgeni. 3. Mgeni siku ya tatu, Nyumbani...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Adhabu ya kaburi aijua maiti, The touture of the grave is only known by the corpse Akiba haiozi, A reserve will not decay Asifuye mvuwa imemnyea. He who praises rain has been rained on. Akili...
4 Reactions
6 Replies
7K Views
Namkumbuka Rais Mwinyi kwa mengi, moja wapo ni pale alipoanzisha kipindi chake cha kiswahili RTD (Radio Tanzania Dar es salaam). Moja ya somo alilofundisha lilihusu tarakimu. Alisema, "katika...
4 Reactions
9 Replies
841 Views
Hello, ladies and gentlemen I'd like to welcome you all to this English language 101 Club. This club is for those who want to learn English language and excel. We are sometimes tirelessly...
4 Reactions
37 Replies
2K Views
Huu msemo Waliosoma Cuba una maana gani kiutani coz nausikia tu na sielewi!!!
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Nipo ndani ya jukwaa la lugha na pia napenda kutumia fursa hii kuwashukuru members wote wa jamii forums. Lengo langu nikutaka kukuletea fursa mbalmbali za kujifunza lugha wakati unapokua KWENYE...
38 Reactions
83 Replies
5K Views
Mzuka wana JF! Ni matumaini yangu wote wazima wa afya na mwenyezi Mungu anaendelea kutujalia uzima, amani, nguvu, afya na faraja wakati huu mgumu wa kumpoteza ndugu yetu Bernard Kamilius Membe...
5 Reactions
47 Replies
2K Views
Watanzania mmenishinda! Msemo wa mitano tena umeshika kasi. Kila kikitokea kitu hasi mtu anaposti......mitano tena! Saa hapa ni kukata tamaa au kebehi za wazi? Kwa kweli Watanzania ni watu wa...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Wakazi wa makkah ambao ni maquraish walikuwa na mashaka juu ya Utume wa Muhammad rehma na amani ziwe juu yake, hivyo walitaka kujiridhisha je huyu kweli ni Mtume wa Mungu au laa! Basi kwakuwa...
6 Reactions
9 Replies
351 Views
1. Nchonyo-sehemu ya haja kubwa 2. Mwandu-uke 3. Kifuku-masika 4. Kureresa-hali ya pombe kutokuwa kali kuwa tamutamu 5. Kukaruka-pombe kuChacha yaani kuwa kali iliyochangamka 6...
2 Reactions
20 Replies
885 Views
Mbwa wa jirani Mbwa wa jirani Mtaji ni wangu Hajui niliupate Amenikuta nanunua na kuuza Hajawai nipa hata mia Mbwa wa jirani wanibwekeaje mimi Mbwa wa jirani Hacha fokea mimi Mbwa wa jirani...
0 Reactions
1 Replies
173 Views
1 - English: Wazungumzaji bilioni 1.456 2 - Mandarin Chinese (普通话): Wazungumaji bilioni 1.138 3 - Hindi (मानक हिन्दी, हिन्दी): Wazungumzaji milioni 609.5 4 - Spanish (castellano, español)...
1 Reactions
24 Replies
894 Views
Habari Wakuu, Katika Jukwaa letu la Lugha nimeweka huu uzi tusaidiane kwenye kujulishana maneno ya Kiingera ya kutumia ili walau mtu unapoandika Kiingereza usionekana kama upo kawaida sawa...
1 Reactions
4 Replies
296 Views
Hamjambo wanaJF, Hili neno chawa au Machawa Huwa najiuliza maswali mengi bila majibu!Nikiwa Mtanzania Mwenye afya ya akili timamu huwa najiuliza sana, mtu anawezaje kujiita au kuitwa Chawa!Nikiwa...
0 Reactions
8 Replies
775 Views
Habari zenu. Jina langu ni James Munn na mimi ni mwandishi wa kozi mpya ya msingi ya Kiingereza kwa wazungumzaji wa Kiswahili, inayoitwa Kiingereza - Hatua kwa Hatua. Ninaamini kuwa katika miaka...
0 Reactions
4 Replies
383 Views
Vitabu vingi vya sarufi vinadai kwamba badiliko hili ni sawa lakini siamini Wakuu wa lugha ya kiswahili, lahaja ipi inaruhusu "ninyi"?
0 Reactions
5 Replies
275 Views
Mwenzenu ninajongea, taratibu nawajia Kwa haya yalotokea, ya kisima nawaambia Hofu menisogelea, na nguvu zimeishia kisima nimekiacha, maji hayanyweki tena Kisima nilitumia, na mtu...
7 Reactions
46 Replies
10K Views
Anatafutwa mwalimu mahiri wa lugha ya Kikinga. SIFA: 1. Ajue kuongea, kusoma na kuandika kikinga na KISWAHILI 2. Awe tayari kufanya kazi popote kwa muda wa miezi sita. 3. Umri kuanzia miaka...
0 Reactions
0 Replies
210 Views
Back
Top Bottom