Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Hivi wakuu Wazaramo, wakwere na wadengereko ni jamii moja katika mfanano wa lugha? Jee lugha yao ni moja au zinafanana?
0 Reactions
23 Replies
1K Views
Hello Jf, Everyone has got something thrilling in life, to me is learning new language. Recently I have becoming desperately of learning English language but unfortunately my settings are not...
3 Reactions
41 Replies
5K Views
Amani iwe juu yenu.. Naomba kufahamu hili neno "eti" huwa linamaansha nn zaid ktk sentensi kama linavyotumka na baadhi ya wanawake, hususani mkiwa mnachati... Mfano:- - Nimekumic eti -Sijala eti...
1 Reactions
21 Replies
8K Views
Jakaya =Za Nyumbani Kikwete = Asiyejali Namnani Havae = Vipi Aisee Uitwanga nani? = Unaitwa Nani? Watonga wapi = Unaenda wapi Nigavie Havae = Nigawie Aisee(Jamaa) Nienda kukodhoa kidogo =...
0 Reactions
87 Replies
69K Views
Naomba utambuzi hapo tafadhali.
0 Reactions
22 Replies
665 Views
MASHAIRI YA SHAGALABAGALA NCHI YA AZMA ******* Nchi ya AZMA wasomi wake wanauza elimu kwa teuzi na mishahara, sina shaka na uelekeo unapoenda, Shaka ninalo namna utakavyofika unakoenda. Nguvu...
1 Reactions
4 Replies
269 Views
Hivi ilikuwaje kwenye lugha ya kiswahili mpaka mke wa kaka akaitwa "shemeji" kwa ndugu wote wa mume yaani wakiume, na wa kike wanamwita "wifi". Ila mume wa dada akaitwa "shemeji" na jinsia zote...
1 Reactions
18 Replies
840 Views
Tofauti ya Mwizi na Tapeli ni nini?
0 Reactions
3 Replies
261 Views
Ndugu zangu kuna Msukuma anakijua vizuri zaidi basi please: Umo wing'we anambeleje kutafsiri Lugano lwenulu na mambo gose du. Tusaidiane tafadhali wasukuma. Nitumie tafsiri yake kupitia...
0 Reactions
1 Replies
254 Views
Moja ya maneno ninayoyaona sana yakitumika na baadhi ya watu mitandaoni hata baadhi ya wasanii pia...!! DAMSHI PAMBE TUNUNU CHUCHUNGE TUKINAO
2 Reactions
29 Replies
14K Views
My dear Tanzanian compatriots, my fellow JF companions, it is with great eloquence and fervor that I implore you to eschew your linguistic provincialism and embrace the vast expanse of the English...
10 Reactions
41 Replies
2K Views
It is with great erudition and lexical dexterity that I make the assertion that Diamond Platinumz, the prodigious Tanzanian musician, should consider transitioning to singing in English. While it...
2 Reactions
14 Replies
835 Views
Imeibuka kasumba kwa wanaume nao kuiga misemo ambayo kusema kweli inatia ukakasi haiwezekan mwanaume na wewe unatumia neno tyuuu aisee tuangalie baadhi ya maneno sio kila kitu tunaiga binafsi...
2 Reactions
60 Replies
7K Views
  • Redirect
Ninasikitika sana na ongezeko la watu wa jinsi ya kiume wanavyoandika na kutumia maneno kama tyu! Yako maneno mengi yenye kero kubwa mfano "xaxa" akimaanisha "sasa". Hata hivyo kati ya maneno...
3 Reactions
Replies
Views
"In humans (homo sapiens): The storytellers control the world, Of course, each of us free to tell stories."
1 Reactions
3 Replies
325 Views
Habari zenu wakuu? Kuna hili swali Huwa najiulizaga muda mrefu sipatii jibu pengine hapa naweza pata ufahamu! Nilipenda kujua muwa ni nini he ni tunda, kinywaji, mboga, nyasi au nini? Asanteni
6 Reactions
28 Replies
1K Views
Thread ya Kujifunza Kiingereza pole pole [Thread for Learning English bit by bit[
0 Reactions
55 Replies
3K Views
Mara nyingi nimekutana na hili neno "shemela" kwenye mitandao ya kijamii likitumika lakini kila nikitafuta maana yake siipati. Ebu nijuze wana jamvi
0 Reactions
13 Replies
9K Views
Hizi ni 'brand zenye hati miliki ya kitanzania' Vitumbua, chapati, makange, ugali, kachumbali, mtori, "ebyenshoro(wahaya)", "enumbu", "ensharazi", "amakongo", "entutunu", "ebila", "ebitomasi"...
7 Reactions
42 Replies
2K Views
Wajuvi wa lugha mnisaidie,kwakuzingatia mzizi wa neno,kitenzi na matamshi upi ni usahihi wa maneno au sentensi hizi: Onyesha-onesha Kaka wake-kakaake Hajala-hajakula Hajaja-hajakuja NB...
2 Reactions
4 Replies
272 Views
Back
Top Bottom