1. Naanza ona mikasa, yawezaleta balaa,
Viongozi wengi tasa, kwa hoja zisizo zaa,
Hasa kwa Wana siasa, wao ni kama tabia,
Wajifanya ni matasa, wafanyacho wakijua.
2. Ni kutafuta majanga, kuvunja mzinga nyuki hi,
Mambo tunayoyalenga, mbele yataleta chuki,
Badala sisi kujenga, wengi twatafuta kiki,
Ni sawa kuwa kitonga, mkafeliwa na breki.
3. Tuepuke Mambo tasa, ya kufelisha bureki,
Eti kwa kupenda pesa, Ya Taifa twayapisha,
Taifa tutalitesa mambo tukiyapotosha,
Usiwaze ya pekee, waza na ya wengineo.
Viongozi wengi tasa, kwa hoja zisizo zaa,
Hasa kwa Wana siasa, wao ni kama tabia,
Wajifanya ni matasa, wafanyacho wakijua.
2. Ni kutafuta majanga, kuvunja mzinga nyuki hi,
Mambo tunayoyalenga, mbele yataleta chuki,
Badala sisi kujenga, wengi twatafuta kiki,
Ni sawa kuwa kitonga, mkafeliwa na breki.
3. Tuepuke Mambo tasa, ya kufelisha bureki,
Eti kwa kupenda pesa, Ya Taifa twayapisha,
Taifa tutalitesa mambo tukiyapotosha,
Usiwaze ya pekee, waza na ya wengineo.