Yoso
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 340
- 239
Je unaijua maana ya neno Msasani ambalo ni jina la eneo maarufu jijini ambalo alipata kuishi mwasisi wa taifa hili Mwl JK Nyerere?
Jina hili linatokana Mzee maarufu aliyeishi maeneo hayo aliyejulikana kwa jina la MUSA HASANI miaka ya 1930's.
Wwahamiaji wengi wa jamii ya kimakonde waliofika maeneo hayo walitamka jina la mzee huyo kwa lafudhi ya kikwao walimwita MUCHA CHANI ,hivyo ndiyo ikawa chimbuko la jina MSASANI.
Je wewe unafahamu chimbuko la jina gani? Lete hapa jukwaani!
Jina hili linatokana Mzee maarufu aliyeishi maeneo hayo aliyejulikana kwa jina la MUSA HASANI miaka ya 1930's.
Wwahamiaji wengi wa jamii ya kimakonde waliofika maeneo hayo walitamka jina la mzee huyo kwa lafudhi ya kikwao walimwita MUCHA CHANI ,hivyo ndiyo ikawa chimbuko la jina MSASANI.
Je wewe unafahamu chimbuko la jina gani? Lete hapa jukwaani!