Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
  • Sticky
Mimi Mama wawili (naamini na wengine wengi) nina nia sana ya kujifunza na kuboresha uwezo wangu wa kutumia Lugha ya Kiingereza. Nimeomba ushauri na nimepata jibu kuwa kuna washiriki wengi hapa...
48 Reactions
2K Replies
199K Views
  • Sticky
Nimeona kuna haja ya kuanzisha uzi huu ili kusaidia watu kujua virefu vya maneno mafupi tunayokutana nayo. Hii ni baada ya kusoma uzi mmoja na mtu kuuliza nini maana ya LED! LED - Light Emitting...
10 Reactions
710 Replies
221K Views
  • Sticky
Mambo vipi waungwana,naomba kama kuna mtu ana Dictionary ya kiingereza yaani English to Swahili au Swahili to English anisaidie nilikuwa nayo kwenye Computer yangu baada ya kui-format imekuwa kati...
10 Reactions
94 Replies
106K Views
Ekyawe kyawe kijunda nokala!
13 Reactions
1K Replies
221K Views
It s not a competition but let us be entertained and entertain ourselves by debating . Other may also join but only english. Feel free and lets not be afraid of "kuchapia" as we did in in...
11 Reactions
764 Replies
64K Views
Achari yalisha. The pickle is an appetizer. Pickles make the guest relish the food. (If you need something from someone request for it in a polite and pleasant manner.) Ada ya mja hunena...
4 Reactions
606 Replies
774K Views
Kumekuwepo na kasumba ya watu kutamka maneno ya kingereza kimakosa ima kwa kujua au pasina kujua, ifuatayo ni orodha ya hayo maneno, waweza ongezea mengine msomaji wangu ikiwa unayo...
12 Reactions
574 Replies
64K Views
Kama ilivyo ada basi uzi huu ni maalum wa kuelekezana kutamka maneno ya kiingereza ambayo yanakuchanganya kutamka, weka utasaidiwa humu.
3 Reactions
554 Replies
72K Views
1.Ukitaka kujua raha ya daladala kusiwe na foleni. 2. ............................
5 Reactions
553 Replies
97K Views
Jamani napenda mno kujifunza Kingereza na ukizingatia sasa hivi kila sehemu ni ENGLISH sasa wale tulosoma kayumba njooni tujifunze kuandika na kuongea hapa. Najua wengi wetu humu watakuwa...
11 Reactions
491 Replies
30K Views
Huku Taifa likipokea wawekezaji wengi kutoka nchi zinazozungumza lugha ya kiarabu duniani na pia kuwepo kwa fursa za ajira na biashara katika nchi zinazozungumza kiarabu (Morocco, Algeria, UAE...
22 Reactions
410 Replies
45K Views
Nipo natafakari namna nchi hii imekuwa, hakuna jambo baya kama kumtambua mtu na kumponda kwa kutumia kiashiria cha kabila lake. Hivi karibuni kumezuka tabia ya watumiaji wa mitandao hasa katika...
30 Reactions
409 Replies
32K Views
Nimekuwa nasikia maneno haya lakini yananichanganya kujua matumizi yake sahihi. Vukiza au fukiza? Vundika au vumbika? Kompyuta? Mtandao ila ingawa msanii puchu mkwara mwake chuna mbongo Ninayo...
1 Reactions
362 Replies
260K Views
Kwa nilivyosikia mimi neno shikamoo maana yake ni "niko chini ya miguu yako. Pia nimesikia hilo neno ni la kitumwa na lilikuwa linatumiwa na watumwa kuwaonyesha heshima wakuu wao. Kuna baadhi...
7 Reactions
356 Replies
101K Views
Wanaosema hii lugha ilikuja na meli hawakukosea. Kuna maneno ya Kiingereza nilikuwa nayatamka visivyo kwa kipindi kireeefu. Nimekuja gundua baadaye nikajiona kilaza sana. Haya baadhi ya maneno...
4 Reactions
354 Replies
30K Views
The 6 most spoken language in Africa 1) Kiarabu 200 Million 2) Kiingereza 150 Million 3) Kiswahili 140 Million 4) Kifaransa 115 Milliion 5) Hausa 50 Million 6) Amrik 25 Milion
5 Reactions
325 Replies
35K Views
Zawadi Lupelo Wanajamvi salamu kwanza! Nimeusikiliza wimbo mpya wa Diamond Platnumz kwa makini sana. Kitu kilichonitatiza na kuja kunishughulisha hapa jamvini ni neno hallelujah na namna...
31 Reactions
298 Replies
53K Views
  • Closed
Jamani Rais wetu bora aongee kiswahili tu. Everyone have ndo nini?
22 Reactions
295 Replies
24K Views
Wakuu, Nilijifunza Kifaransa na nikawa mzuri mno, ila kwa sasa nimesahau karibu mambo mengi mno tatizo likiwa ufinyu wa wazungumzaji hivyo nikashindwa kukuza lugha. Tuliowahi kujifunza hii...
8 Reactions
294 Replies
20K Views
WanaJF, Jana kuna MwanaJF alianzisha thread akilalamika kuwa Mbunge wake wa Arumeru Mashariki ni mgonjwa sana na hivyo hawana mwakilishi jimboni kwao. Alitaka kujua serikali inaonaje kama...
13 Reactions
278 Replies
63K Views
Habari wakuu ! Natumaini wote ni wazima wa afya , kwa upande wangu niko poa . Sasa twende moja kwa moja kwenye mada yetu . g Tenses huelezea wakati au muda tendo linafanyika , lilifanyika au...
33 Reactions
267 Replies
31K Views
Salaamu wandugu, Sio kila siku kupondana tu ,siku nyengine kusifiana na kutiana moyo ni bora.Kwa leo ningependa tuwape pongezi kwa kuwataja majina wazee wa umombo uliokwenda shule.Mimi ninaanza na...
11 Reactions
266 Replies
28K Views
Sikuwahi kufahamu kuwa katika kiswahili kuna neno linaitwa mubashara, likimaanisha "matangazo ya moja kwa moja yaani live". Jana kwa mara ya kwanza nilivyoona hilo neno chini ya nembo ya ITV...
13 Reactions
261 Replies
63K Views
Back
Top Bottom