JamiiForums Exclusive: Kiranga and Fellow members English Debate

Mtazamaji

JF-Expert Member
Feb 29, 2008
5,937
1,437
It s not a competition but let us be entertained and entertain ourselves by debating . Other may also join but only english. Feel free and lets not be afraid of "kuchapia" as we did in in those old days kanumbas secondary school debate sessions

Motion on The table: Life in Village is better than life in Town
Key speaker on Village= Mwita25
Key speaker on Town= Kiranga
Speaker = Gaijin
Member of the floor= all chit chatters


Happy festive season to all JFers
 
Nitaanza kwa kumuhoji mtoa mada kwa nini anafikiri mdahalo kwa kupitia lugha isiyo mantiki wala uwiano wa kihesabu katika sheria za nomino kama Kiingereza unafaa zaidi kuliko katika lugha yenye kueleweka na wengi, iliyo na urahisi wa kueleweka na mantiki lukuki kama Kiswahili?

Zaidi ya hayo, unachotaka kufanya ni nini? Kama unataka kufanya watu wacheze kama wanasesere ili wengine wacheke mie sio kazi yangu na wala ngoma hizo siwezi.

Kama kuna kingine cha ziada tuambizane.
 
Wewe uliyeanzisha thread kwa kutumia jina langu ni mpuuzi, mjinga na punguwani. Una mawazo mgando yaliyochanganyika na chembechembe za uwendawazimu. Ni kinara wa wodi ya vichaa ya hospitali ya Mirembe na hustahili kukabidhiwa kutunza hata kijiko kwasababu utakitafuna.
 
Wewe uliyeanzisha thread kwa kutumia jina langu ni mpuuzi, mjinga na punguwani. Una mawazo mgando yaliyochanganyika na chembechembe za uwendawazimu. Ni kinara wa wodi ya vichaa ya hospitali ya Mirembe na hustahili kukabidhiwa kutunza hata kijiko kwasababu utakitafuna.

mwita come down brother.
wewe ndio unaaminika unajua kiinglishi kuliko member wote wa Jf,nafikiri aliyeanzisha mada anataka kujua uwezo wako,just go for it,wengi tunasubiri hii
 
Nitaanza kwa kumuhoji mtoa mada kwa nini anafikiri mdahalo kwa kupitia lugha isiyo mantiki wala uwiano wa kihesabu katika sheria za nomino kama Kiingereza unafaa zaidi kuliko katika lugha yenye kueleweka na wengi, iliyo na urahisi wa kueleweka na mantiki lukuki kama Kiswahili?

Zaidi ya hayo, unachotaka kufanya ni nini? Kama unataka kufanya watu wacheze kama wanasesere ili wengine wacheke mie sio kazi yangu na wala ngoma hizo siwezi.

Kama kuna kingine cha ziada tuambizane.

Kiranga mimi huwa unaniacha hoi mkuu!Lol!

BTW nasikia wewe unazungumza multiple languages fluently, sikuuliza ni lugha zipi, however you must be a genious, how can you utilize it for our country's benefits?

Have you ever thought about that?
 
Wewe uliyeanzisha thread kwa kutumia jina langu ni mpuuzi, mjinga na punguwani. Una mawazo mgando yaliyochanganyika na chembechembe za uwendawazimu. Ni kinara wa wodi ya vichaa ya hospitali ya Mirembe na hustahili kukabidhiwa kutunza hata kijiko kwasababu utakitafuna.

Somebody is :angry: here.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom