Mimi ni Yanga na niwe wazi tu siuungi mkono maamuzi mabovu ya Waamuzi na huwa najiuliza ni hatua gani huchukuliwa kwa waamuzi wanaofanya maamuzi mabovu?
Binafsi ndio maana siku zote mimi huwa...
Baada ya kuitazama Kwa makini mechi ya Yanga na Geita hapo Jana, niligundua ya kuwa Azam sports walifunga kamera upande wa magharibi tu wa uwanja na kufanya matukio makuu yasionekane Kwa ukaribu...
Inauma sana asee, Refa anatoa maamuzi kwa hisia, ama kweli nchi hii ina watu wa hovyo.
Maamuzi ya Refa kutoa penaiti dhidi ya Geita Gold hakika hayakuwa sawa. Mchezaji amepigiwa mpira ukafuata...
Ili kutendea haki timu zingine, ni bora mechi wanazoshiriki Simba na Yanga zichezeshwe na waamuzi kutoka nje ya nchi.
Najua itakuwa ni changamoto kutekeleza hili wazo, ila huu ndio ukweli...
Swala la Simba na Yanga kubebwa na marefa ni kitu endelevu na haitatokea siku itaisha. Leo Simba wanawazomea Yanga kwa kupewa penati isiyo ya halali kesho hao hao Simba watafunga goli la offside...
Kwanza sifa zote ziende kwa mwenyezi Mungu mwingi wa rehema kwa kunipa pumzi, Alhamdullilah.
Tulidharauliwa sana.
Kipindi naenda kusoma ndugu walikaa kikao wakawa wanasema "unapoteza muda tu, hiyo...
Akina GENTAMYCINE tukiwa tunasema kuwa kwa sasa Klabu ya Yanga imejipanga vyema hasa kwa upande wa Propaganda muwe mnaelewa/mnatuelewa.
Ukweli ni kwamba Yanga SC siyo wapumbavu kama labda ambavyo...
Uzembe wetu na kufungwa kipumbavu na Azam FC juzi umeshatugharimu na leo ndiyo tunaenda rasmi kuachwa kwa alama (points) tatu (3) na Yanga SC.
Na hata kesho kuna uwezekano Mtibwa Sugar FC naye...
𝗧𝗛𝗔𝗡𝗞 𝗬𝗢𝗨 | 𝗙𝗥𝗔𝗡𝗖𝗜𝗦 𝗕𝗔𝗥𝗔𝗭𝗔
Uongozi wa Kagera Sugar Football Club umefikia makubaliano ya pande zote mbili ya kuvunja mkataba na Kocha Fransic Otieno Baraza.
Uongozi wa klabu unapenda kumshukuru...
Hawa jamaa waliujua mpira bana. Maana kama ni wingi ya kushoto au kulia ilikuwa lazima mtu akae.
Nilikulia jirani na mitaa ya Ghana Mwanza na hapa ilikuwa karibu na CCM Kirumba.
Hawq jamaa...
Hii tamthilia inaendelea na wapenzi wa tamthilia hii wameamini kuwa huenda ni true story.
Mtengenezaji na mwongozaji wamejitahidi kwa viwango vya hali ya juu sana.
Hii imekuwa nzuri kibiashara...
Sisi tunaoifahamu Simba bila ushabiki oya oya tunajua kuwa wachezaji wetu wengi ndani ya Simba hawawezi kutoa ushindani, lazima uongozi, wapenzi, mashabiki na wanachama wakubali kuwa kikosi chetu...
Kwa nini Yanga anabebwa kwenye mbeleko ambayo hata kipofu anaona aibu? Kuna haja ya TAKUKURU kuingilia kati maana hii ni harufu ya bahasha la kaki kwenye umati wa watu.
Ilikuwa mechi ngumu sana iliyojaa ufundi na kukamiana na mwishowe ESS ikafanikiwa kushinda kwa uzembe wa mabeki. Timu za ukanda cecafa zinajifunza nini?
Hali hiyo inaweza kutokea ikiwa ni mwezi mmoja tu umesalia kabla ya kuanza kwa michuano hiyo Nchini Qatar kama Serikali ya Tunisia itaendelea kuingilia masuala ya soka.
Onyo hilo limetolewa na...
Wakuu jana nimelipia pesa kwaajili ya mechi ya Yanga dhidi ya Geita kwa bahati mbaya nimepata shida, sitoweza kufika uwanjani.
Je, pesa yangu itabaki kwenye kadi au ndiyo imepotea hivyo? Mwenye...
Siku ukisikia hawa jamaa wamefungwa na timu za ndani, ujue pesa zilizochotwa kwenye viroba kipindi kile zimeisha.
Kwa sasa wala hamna sababu ya kutarajia hawa jamaa kuwa watapoteza mechi yoyote...
Inashangaza sana mara baada ya beki aliyeisha makali yake, Joash Onyango kupeleka ombi la uhamisho kwa uongozi wa Klabu ya Simba, mambo yakaanza kubadilika kwa beki gwiji raia wa Ivory Coast...
Ni bandika bandua leo katika uwanja wa Benjamin Mkapa, pale miamba ya soka Afrika mnyama mkali mwituni wekundu wa msimbazi, watakapo karibishwa na matajiri wa Azam FC katika kuwania pointi 3...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.