pet geo pet
JF-Expert Member
- Jun 30, 2018
- 466
- 661
Wakuu jana nimelipia pesa kwaajili ya mechi ya Yanga dhidi ya Geita kwa bahati mbaya nimepata shida, sitoweza kufika uwanjani.
Je, pesa yangu itabaki kwenye kadi au ndiyo imepotea hivyo? Mwenye uelewa kuhusu N-Card naomba kujuzwa hili.
Je, pesa yangu itabaki kwenye kadi au ndiyo imepotea hivyo? Mwenye uelewa kuhusu N-Card naomba kujuzwa hili.